Pre GE2025 Ijumaa ya mwanzo wa mwaka wa uchaguzi, tuitumie kuiombea Nchi katika Haki na Kweli

Pre GE2025 Ijumaa ya mwanzo wa mwaka wa uchaguzi, tuitumie kuiombea Nchi katika Haki na Kweli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Screenshot_2024-01-02-02-31-40-1.png


Asalaam Aleykhum , Ukweli ambao uko wazi ni huu , sisi Watanzania hatuna nchi nyingine zaidi ya hii tuliyomo , tunayoishi , hii ambayo wamezikwa wazazi wetu na ndugu zetu

Nachukua nafasi hii katika hii ijumaa ya kwanza ya mwaka , kuwaomba watukufu Waislam kuiombea nchi hii katika haki na kweli , na hasa kwenye masuala yote yanayohusu uchaguzi , masuala ya Uchaguzi ndio chimbuko kuu la uvunjifu wa amani na mauaji kwenye nchi nyingi Duniani .

Tuombe sana Allah awape uvumilivu viongozi wetu ili waweze kukubali kuwa na uchaguzi ulio huru na haki , Kila siku siyo jana , kwamba unaweza kufanya yaleyale na Wananchi wakanyamaza .

Wabhillah Tawfiq
 
Mwaka huu tutahakikisha Hampati hata mtaa mmoja kwa maendeleo tuliyoyafanya
 
Back
Top Bottom