inauzwa sh?Ule mfuniko wake unaufungua kidogo sana ili harufu itoke kidogo kidogo wengi wanakosea wanapotoa mfuniko wote harufu ni kali sana hasa ukifunga na vioo
Dodoma zinapatikana wapi?Inaleta mpaka usingizi
Kuanzia 18000inauzwa sh?
Si kila kitu kinapotokea lazima tukitumie.. Tuwe tayari kukubali baadhi ya vitu vitupite. Tangu nilipotambua hili najiona nimekuwa na maisha mazuri sana. Yaani mimi huwa sipelekeshwi na "trends" hata siku moja.Mchina katuletea fursa bei cheee, Harufu Kali ambayo inasababisha kifua/mafua kila ukiivuta. Chukua tahadhari kabla hujaumaliza mwendo. Asante
Ushawahi kujipulizia perfume nyingi(yenye kiwango sio feki) ukaumwa kifua,mafua,kuvimba macho?Ule mfuniko wake unaufungua kidogo sana ili harufu itoke kidogo kidogo wengi wanakosea wanapotoa mfuniko wote harufu ni kali sana hasa ukifunga na vioo
Mie mpaka kitandani nilikuwa nasikia manukato yake..Aisee hii kitu ina ukweli, the very first time niliikuta kwenye gari ya jamaa yangu tulikuwa na roadtrip moro-iringa-dom-mikoa ya kanda ya kati.. zile siku mbili kifua kilikuwa kizito mno.. baada ya safari nikapigwa na mafua makali na maumivu ya kichwa (nikawa na mixed thoughts kuwa labda ni kacovid au niko alergic na yale manukato)
Over time nikaja kuconfirm kile kidude kwangu ni changamoto kuna jamaa yangu aliazima usafiri na akajiongeza akakanunua kile kidubwasha akakiweka, alivyorudisha nikawa napitia hali ya kifua kuwa kizito, mafua feki, kichwa kinagonga na usiku kama nakuwa nawashwa hivi, halafu ile harufu inabaki kwenye mwili..
Yale manukato hayajatengenezwa kwa ajili ya mjumbe kama mimi..
Biashara ya Ikeda inakwenda kufa kwenye soko la Tanzania.Hi kitu nilikua natamani kuiagiza niwekee dukan Na kwenye gari
Mimi kuna duka nilienda jamaa aliniambia original elf 90,nikaaga fast...Biashara ya Ikeda inakwenda kufa kwenye soko la Tanzania.
Nilishaenda kwenye maduka ya urembo wa magari mara kadhaa nikawa kila mara naulizia bei, wengine elfu 25, wengine wanakwambia original elfu 70 nikaachana nazo nikawa nanunua hizi za kawaida za elfu 10, elfu 12 kwenye supermarket.
Wajinga sana hao wafanyabiashara, yaani ninunue air freshener kwa elfu sijui 70, siwezi. Hata elfu 20 siwezi nununua, sanasana ikizidi labda elfu 15.Mimi kuna duka nilienda jamaa aliniambia original elf 90,nikaaga fast...
Hata TOZO haikupelekeshi sio?Si kila kitu kinapotokea lazima tukitumie.. Tuwe tayari kukubali baadhi ya vitu vitupite. Tangu nilipotambua hili najiona nimekuwa na maisha mazuri sana. Yaani mimi huwa sipelekeshwi na "trends" hata siku moja.
jiandae na bidhaa mpya sokoniHi kitu nilikua natamani kuiagiza niwekee dukan Na kwenye gari[emoji848]
Sasa Tozo inahusiana vipi na huo Uturi Mkuu?Hata TOZO haikupelekeshi sio?
Ule mfuniko wake unaufungua kidogo sana ili harufu itoke kidogo kidogo wengi wanakosea wanapotoa mfuniko wote harufu ni kali sana hasa ukifunga na vioo
Ushawahi kujipulizia perfume nyingi(yenye kiwango sio feki) ukaumwa kifua,mafua,kuvimba macho?
Hi kitu nilikua natamani kuiagiza niwekee dukan Na kwenye gari[emoji848]
Bidhaa za Kichina nyingi zinazokuja kuuzwa Africa ni Fake. Hata wenyewe wanajua hilo.Don’t
Nimeuza malalamiko ni mengi