Ikeda air Freshener Vs matatizo ya kifua!

Ikeda air Freshener Vs matatizo ya kifua!

Mchina katuletea fursa bei cheee, Harufu Kali ambayo inasababisha kifua/mafua kila ukiivuta. Chukua tahadhari kabla hujaumaliza mwendo. Asante
Si kila kitu kinapotokea lazima tukitumie.. Tuwe tayari kukubali baadhi ya vitu vitupite. Tangu nilipotambua hili najiona nimekuwa na maisha mazuri sana. Yaani mimi huwa sipelekeshwi na "trends" hata siku moja.
 
Aisee hii kitu ina ukweli, the very first time niliikuta kwenye gari ya jamaa yangu tulikuwa na roadtrip moro-iringa-dom-mikoa ya kanda ya kati.. zile siku mbili kifua kilikuwa kizito mno.. baada ya safari nikapigwa na mafua makali na maumivu ya kichwa (nikawa na mixed thoughts kuwa labda ni kacovid au niko alergic na yale manukato)

Over time nikaja kuconfirm kile kidude kwangu ni changamoto kuna jamaa yangu aliazima usafiri na akajiongeza akakanunua kile kidubwasha akakiweka, alivyorudisha nikawa napitia hali ya kifua kuwa kizito, mafua feki, kichwa kinagonga na usiku kama nakuwa nawashwa hivi, halafu ile harufu inabaki kwenye mwili..

Yale manukato hayajatengenezwa kwa ajili ya mjumbe kama mimi..
Mie mpaka kitandani nilikuwa nasikia manukato yake..
Sasa nimeamka usiku na wenge naanza kutafuta harufu ya nini nilijua kuna kitu nimekilalia...

Hatari sana...
Kalivyoisha sijanunua ukichanganya na mafua yalikuwa yananizonga...
Haya nipo hapa nasoma comments turudi kwenye poppy au?
 
Hi kitu nilikua natamani kuiagiza niwekee dukan Na kwenye gari
emoji848.png
Biashara ya Ikeda inakwenda kufa kwenye soko la Tanzania.

Nilishaenda kwenye maduka ya urembo wa magari mara kadhaa nikawa kila mara naulizia bei, wengine elfu 25, wengine wanakwambia original elfu 70 nikaachana nazo nikawa nanunua hizi za kawaida za elfu 10, elfu 12 kwenye supermarket.
 
Biashara ya Ikeda inakwenda kufa kwenye soko la Tanzania.

Nilishaenda kwenye maduka ya urembo wa magari mara kadhaa nikawa kila mara naulizia bei, wengine elfu 25, wengine wanakwambia original elfu 70 nikaachana nazo nikawa nanunua hizi za kawaida za elfu 10, elfu 12 kwenye supermarket.
Mimi kuna duka nilienda jamaa aliniambia original elf 90,nikaaga fast...
 
Si kila kitu kinapotokea lazima tukitumie.. Tuwe tayari kukubali baadhi ya vitu vitupite. Tangu nilipotambua hili najiona nimekuwa na maisha mazuri sana. Yaani mimi huwa sipelekeshwi na "trends" hata siku moja.
Hata TOZO haikupelekeshi sio?
 
Iliyonipa mafua jamaa hakutoa mfuniko wote , alitoboa tu vitundu vidogo kama vitatu hivi,
Leo pia nimeingia kwa gari ya jamaa yangu nikaona katoa kabisa na mfuniko wenyewe, asee nimetoa very lame exucuse nikafungua mlango na kutoka nje, akaondoka peke yake
Ule mfuniko wake unaufungua kidogo sana ili harufu itoke kidogo kidogo wengi wanakosea wanapotoa mfuniko wote harufu ni kali sana hasa ukifunga na vioo
 
Back
Top Bottom