Ikeda air Freshener Vs matatizo ya kifua!

Mchina katuletea fursa bei cheee, Harufu Kali ambayo inasababisha kifua/mafua kila ukiivuta. Chukua tahadhari kabla hujaumaliza mwendo. Asante
Duh!
Ukute kuna madhara mengine ya kudumu kutokana na hizo vituπŸ™„
Vitu toxic kama hivyo vingezuiwa tu kuingia nchini..
Sijui mamlaka gani inahusika, TBS, TFDA, nk?!!!
 
asante kwa kunivumbua..jana nlikua namkagulia mdau gari yake.Nilikaa ndani ya gari almost 5mins..hicho kilikua kipo wazi chote kwa juu..Leo ninaumwa sana mafua..na kichwa.nadhani hio ndio sababu.
 
asante kwa kunivumbua..jana nlikua namkagulia mdau gari yake.Nilikaa ndani ya gari almost 5mins..hicho kilikua kipo wazi chote kwa juu..Leo ninaumwa sana mafua..na kichwa.nadhani hio ndio sababu.
Ikeda sio kifua Tu kinaathirika hata nguvu za kiume zinakata wengi wanaotumia ikeda wanachapiwa Sana wake zao
 
Hahahaha πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜…πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Uongo? Yaani kila kitu watakisingizia kinawakosesha nguvu. Ili mradi tu wapate excuse. Sisi wengine tunatumia hizo perfumes na game inapigwa dk 120 hadi penalty. No excuses
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…