Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchina katuletea fursa bei cheee, Harufu Kali ambayo inasababisha kifua/mafua kila ukiivuta. Chukua tahadhari kabla hujaumaliza mwendo. Asante
Duh!Aisee hii kitu ina ukweli, the very first time niliikuta kwenye gari ya jamaa yangu tulikuwa na roadtrip moro-iringa-dom-mikoa ya kanda ya kati.. zile siku mbili kifua kilikuwa kizito mno.. baada ya safari nikapigwa na mafua makali na maumivu ya kichwa (nikawa na mixed thoughts kuwa labda ni kacovid au niko alergic na yale manukato)
Over time nikaja kuconfirm kile kidude kwangu ni changamoto kuna jamaa yangu aliazima usafiri na akajiongeza akakanunua kile kidubwasha akakiweka, alivyorudisha nikawa napitia hali ya kifua kuwa kizito, mafua feki, kichwa kinagonga na usiku kama nakuwa nawashwa hivi, halafu ile harufu inabaki kwenye mwili..
Yale manukato hayajatengenezwa kwa ajili ya mjumbe kama mimi..
Hizi hazina shidaKuna inayoitwa Grandy, vipi hii nayo?
Dah! Afadhali! Nimetoka kuinunua jana na kuiweka tu nikakutana na huu uzi.Hizi hazina shida
Ikeda sio kifua Tu kinaathirika hata nguvu za kiume zinakata wengi wanaotumia ikeda wanachapiwa Sana wake zaoasante kwa kunivumbua..jana nlikua namkagulia mdau gari yake.Nilikaa ndani ya gari almost 5mins..hicho kilikua kipo wazi chote kwa juu..Leo ninaumwa sana mafua..na kichwa.nadhani hio ndio sababu.
Nyie hamna nguvu tu za kiume. Mnakuwa na visingizio vingi.Ikeda sio kifua Tu kinaathirika hata nguvu za kiume zinakata wengi wanaotumia ikeda wanachapiwa Sana wake zao
[emoji3][emoji3]Ikeda sio kifua Tu kinaathirika hata nguvu za kiume zinakata wengi wanaotumia ikeda wanachapiwa Sana wake zao
Hahahaha 😂🤣😅🤣😂😂😂😂Nyie hamna nguvu tu za kiume. Mnakuwa na visingizio vingi.
Uongo? Yaani kila kitu watakisingizia kinawakosesha nguvu. Ili mradi tu wapate excuse. Sisi wengine tunatumia hizo perfumes na game inapigwa dk 120 hadi penalty. No excusesHahahaha 😂🤣😅🤣😂😂😂😂