Iker Casillas ajitangaza kuwa yeye ni mshiriki wa mapenzi ya jinsia mmoja

Iker Casillas ajitangaza kuwa yeye ni mshiriki wa mapenzi ya jinsia mmoja

Ali Nassor Px

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2022
Posts
2,384
Reaction score
3,926
ALIJIUNGA na Real Madrid akiwa na Umri wa miaka tisa.

Akaweza kuichezea Klabu hiyo Kwa miaka 25 huku akifanya Makubwa na kuweza kubeba Makombe 19,Baba wa watoto wanne,IKER FERNANDEZ CASILASS amejitangaza rasmi kuwa anajihusisha na Mapenzi ya Jinsia Moja ikiwa ni Mwaka Mmoja tangu aachane na aliyekuwa Mke wake,Sara Carbonero.

Kwenye Tangazo hilo alilolitoa huko Twitter,Casilass ameungwa mkono na Beki wa zamani wa Barcelona,Carles Puyol kuwa ni wakati wake wa kutangaza story zao kuhusu Mapenzi ya Jinsia Moja.

MPIRA unaanza kuonekana Mchezo wa hovyo,kihuni na haramu kuliko kawaida.....Walioupa Heshima ndio wanaouvua heshima hiyo hiyo.

IMG_20221009_183426.jpg


DUNIA inaelekea ambako sio kwenyewe....INASIKITISHA SANA😥
 
ALIJIUNGA na Real Madrid akiwa na Umri wa miaka tisa.

Akaweza kuichezea Klabu hiyo Kwa miaka 25 huku akifanya Makubwa na kuweza kubeba Makombe 19,Baba wa watoto wanne,IKER FERNANDEZ CASILASS amejitangaza rasmi kuwa anajihusisha na Mapenzi ya Jinsia Moja ikiwa ni Mwaka Mmoja tangu aachane na aliyekuwa Mke wake,Sara Carbonero.

Kwenye Tangazo hilo alilolitoa huko Twitter,Casilass ameungwa mkono na Beki wa zamani wa Barcelona,Carles Puyol kuwa ni wakati wake wa kutangaza story zao kuhusu Mapenzi ya Jinsia Moja.

MPIRA unaanza kuonekana Mchezo wa hovyo,kihuni na haramu kuliko kawaida.....Walioupa Heshima ndio wanaouvua heshima hiyo hiyo.

DUNIA inaelekea ambako sio kwenyewe....INASIKITISHA SANA😥
Si wanadai anamdate shakira?

Jamaa hovyo kabisa atakuwa freemason tu!
 
MPIRA unaanza kuonekana Mchezo wa hovyo,kihuni na haramu kuliko kawaida.....Walioupa Heshima ndio wanaouvua heshima hiyo hiyo.
Mpira ni kwa vile can fetch a lot of money, na heshima yake inatoka hapo tu, short of that mpira inherently ni hooliganism. Ni activity ya watu wahuni, failure upstairs in classroom, (ingawa with modern education mtu anaweza akajichomeka). Hivyo haya mambo yanayotajwa sioni kuwa mageni kwao...lugha chafu, matendo, kunywa sana, uasherati, kuonea watu kwa vile atalipa, etc etc
 
Mpira ni kwa vile can fetch a lot of money, na heshima yake inatoka hapo tu, short of that mpira inherently ni hooliganism. Ni activity ya watu wahuni, failure upstairs in classroom, (ingawa with modern education mtu anaweza akajichomeka). Hivyo haya mambo yanayotajwa sioni kuwa mageni kwao...lugha chafu, matendo, kunywa sana, uasherati, kuonea watu kwa vile atalipa, etc etc
true kbs 100%
 
Kakanusha, kasema yeye sio.
Kaomba radhi
 
Hiyo habari haina ukweli wowote. Iker casillas ametangaza kuwa hackers walidukua akaunti yake na kuposti huo ujumbe.
 
Hiyo habari haina ukweli wowote. Iker casillas ametangaza kuwa hackers walidukua akaunti yake na kuposti huo ujumbe.
na puyol nae alisupport je alkuw n hacker pia alichkua account ya puyol pia
 
Back
Top Bottom