Pique hawakudate na Shakira ila waliishi na kupata watoto kwa muda wa zaidi ya miaka 10 kama partners. Lakini baada ya kuachana ikasemekana Casillas ameanza kumdate shakira.pique ndo alidate na shakira
Wote Casillas na Pique ni Catalans.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pique hawakudate na Shakira ila waliishi na kupata watoto kwa muda wa zaidi ya miaka 10 kama partners. Lakini baada ya kuachana ikasemekana Casillas ameanza kumdate shakira.pique ndo alidate na shakira
Hiyo habari haina ukweli wowote. Iker casillas ametangaza kuwa hackers walidukua akaunti yake na kuposti huo ujumbe.
Puyol anasema alijibu kwa kutania tu ila mwamba sio shogana puyol nae alisupport je alkuw n hacker pia alichkua account ya puyol pia
kwahy tumuamin nan kati ya puyol , iker Casillas ,hacker au wwPuyol anasema alijibu kwa kutania tu ila mwamba sio shoga
Mwenye akaunti kashatoa ufafanuzi halafu unaniuliza uniamini mimi au casillas?kwahy tumuamin nan kati ya puyol , iker Casillas ,hacker au ww
Taarifa hii hapa
nusu ya watu baada ya ile post walimshambulia casillas km ungekuw ww ucngekanushaMwenye akaunti kashatoa ufafanuzi halafu unaniuliza uniamini mimi au casillas?
Hiyo tweet mbona ni ya kukanusha? Anasema alikuwa hackedALIJIUNGA na Real Madrid akiwa na Umri wa miaka tisa.
Akaweza kuichezea Klabu hiyo Kwa miaka 25 huku akifanya Makubwa na kuweza kubeba Makombe 19,Baba wa watoto wanne,IKER FERNANDEZ CASILASS amejitangaza rasmi kuwa anajihusisha na Mapenzi ya Jinsia Moja ikiwa ni Mwaka Mmoja tangu aachane na aliyekuwa Mke wake,Sara Carbonero.
Kwenye Tangazo hilo alilolitoa huko Twitter,Casilass ameungwa mkono na Beki wa zamani wa Barcelona,Carles Puyol kuwa ni wakati wake wa kutangaza story zao kuhusu Mapenzi ya Jinsia Moja.
MPIRA unaanza kuonekana Mchezo wa hovyo,kihuni na haramu kuliko kawaida.....Walioupa Heshima ndio wanaouvua heshima hiyo hiyo.
DUNIA inaelekea ambako sio kwenyewe....INASIKITISHA SANA😥
Em akafi-r-w-e mbele huko, ptuuu
Mchezo hauwezi kuonekana ovyo kwa sababu mchezaji au wachezaji fulani ni shoga. Sio kweli mpira ni "hooliganism" na ni mchezo wa wasio na akili. Mimi nimesoma na wachezaji wazuri wa mpira na ambao pia walikuwa na akili nyingi darasani kuwazidi wasiocheza mpira. Kwa hiyo dhana kuwa mpira ni kwa wakora na wajinga siyo kweliMpira ni kwa vile can fetch a lot of money, na heshima yake inatoka hapo tu, short of that mpira inherently ni hooliganism. Ni activity ya watu wahuni, failure upstairs in classroom, (ingawa with modern education mtu anaweza akajichomeka). Hivyo haya mambo yanayotajwa sioni kuwa mageni kwao...lugha chafu, matendo, kunywa sana, uasherati, kuonea watu kwa vile atalipa, etc etc