Ikianza kodi ya vitambi kwa jinsia zote vitaadimika

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Ikianza kodi ya vitambi kwa jinsi a zote. Vitambi vitakuwa adimu sana. Yaani wizara ya afya ishirikiane na TRA, mwenye uzito uliozidi BMI apigwe fine, gym zitajaa na watu wataacha kula kula bila mpango.

Baba yeyoo anapiga ugali, nyama choma, kachumbari na 🍺🍺 mbili kila siku kabla ya kulala. Utaacha kusimamisha ki mini fridge-freezer πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…