Ikifika 2025, Utajisikiaje ukijua kumbe Lissu naye ni Askari (planted)

Why 2025 not now? Kwanini awe planted askari not other positions. Japo umeacha discuss open lakini ungeanza na kilichokusukuma.
 
Unajaribu kusema nini? Lisu,Lowasa,Sumaye, Magufuli,makamba,Rostam Mo etc ....................Binafsi naona unaweweseka ndio maana hutulii katika hoja na unajaribu kutuaminisha kuwa wewe ni smart sana kwa hiyo hutaki kushughulika na siasa bora ukashughulika na kina Rostam.Angalia maisha katika upana wake utagundua kila kitu hutokea kwa sababu.
 
Sasa ndo tunasubiri tuone askari wakiwakamata waliompiga risasi askari mwenzao
 
"I DON'T TRUST ANYONE EXCEPT THE DEAD ONE, BECAUSE THE DEAD ONE WILL NEVER BETRAY ME"

Kwahiyo hata wewe uliyeandika Uzi huu siwezi kukuamini kwa hichi ulichokiandika..
 
Tatzo humu ndan kuna watu wanajikuta wajuaji hafu wengine wanapenda kukaza ubongo yaaaniii MTU utakuta katoa fact ye atapinga tuuuuu huo ni ujinga na upuuzi sijamtaja mtu

usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau
 
Boss chipa GM Wapinzani wengi wametokea Serikalini au CCM. Wachache sana ndio hawajatokea huko.

So swali lako, sisi Wananchi haijalishi 2020 tukute Mh. Lissu ni Askari aka MwanaUsalama. Kikubwa tunataka Mtu atakayesimama na Wananchi. Tunataka Mtu atakayetusikiliza. Tunataka Mtu atakayefuata Katiba na Sheria za Nchi.

So far ni Mh. Lissu pekee aliyeonyesha kutokuogopa. Ndie mwiba wa sasa kwa Serikali na CCM. Ndio karata turufu ya Wapinzani.


 
Mkuu uliona mbali....

Kauli ya Rais juzi akipokea makinikia inanifikirisha sana... Juu ya kupandikiza askari upande wa maadui na akasisitiza wakijulikana wanuawa..

Akajitapa kuwa na taarifa zote...akatuonyesha na flash..

Kumbe huku wanaume wanaload risasi.

... Wacha tuendelee kusubiri.

BTW Lowassa kashaongea kitu!!?
 
Hao mnaowadhania kuwa ni planted mmejiridhisha kweli kuwa ni planted au ndio kila linalosemwa ndilo hata kama ni la kufichiana aibu na kuzuga watu kama wewe mleta mada
 
Ukweli hua mgumu kuupokea kwa mara ya kwanza. Ila ukikaa na kuufikiria taratibu utakuingia tu.

[emoji252]You get what you work for not What you wish for [emoji252]


wataupokea taratibu tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…