Ikifika 2025, Utajisikiaje ukijua kumbe Lissu naye ni Askari (planted)

Ikifika 2025, Utajisikiaje ukijua kumbe Lissu naye ni Askari (planted)

heri nawewe mtoa mada umeliona hilo na ulipoliweka wazi, hakuna mtu hata mmoja anaeujua moyo wa mtu ila mungu peke yake, na hata mtu mwenyewe atakalo liwaza kesho halijui! ninani angekaa kudhani lowasa ni mwanachama mwandamizi wa chadema?
 
Ndio maana huwa nashangaa watu kuleta ushabiki maandazi humu.

Eti Leo Fatuma karume nae ni wakili huru,wa kumtetea lissu,hahaaaaaaaa

Wacha nikasafishe shamba,nisubili kilimo,nataka nilime mwaka huu mpaka basi.
 
Ndio maana huwa nashangaa watu kuleta ushabiki maandazi humu.

Eti Leo Fatuma karume nae ni wakili huru,wa kumtetea lissu,hahaaaaaaaa

Wacha nikasafishe shamba,nisubili kilimo,nataka nilime mwaka huu mpaka basi.


Maisha haya. hahahah..
 
Haitatokea Kwa Lissu The Great.
The Guy Is Voraciously Rigid ( Ana Msimamo Mkali) Toka Kitambo Sana
Pia Amefichua Maovu Ming Ming Ambayo Kama Angekuwa Planted
Angechomoa Msimamo Wake Kilaini.
Bhado Atapambana Kindakindaki.
Muulize Jacob Zuma Anauelewa
Umaridadi Na Mziki Wa Lissu.
Wana Lumumba Lazima Waucheze.
Kijana wewe hukuwa umezaliwa wakati Lyatonga Mrema akiwa juu.
 
mtoa mada bwana # 2 unatuone tu, tukio la kusaini bomba la mafuta lilikuwa la kimataifa ila jamaa akapeleka mambo ya ajabu (kupatanisha watu )

wananchi tunajadili jamaa kupeleka usuruhishi pale na kuacha mambo ya manufaa, wewe unakuja tulaumu sisi kwa nini tunajadili. kwa nini usimlaumu bro. kwa kupereka mambo ya ajabu pale
 
mtoa mada bwana # 2 unatuone tu, tukio la kusaini bomba la mafuta lilikuwa la kimataifa ila jamaa akapeleka mambo ya ajabu (kupatanisha watu )

wananchi tunajadili jamaa kupeleka usuruhishi pale na kuacha mambo ya manufaa, wewe unakuja tulaumu sisi kwa nini tunajadili. kwa nini usimlaumu bro. kwa kupereka mambo ya ajabu pale

YEYE ameshawapatanisha..sasa siye attention kwann iwe kwa Ruge na Makonda, Inamaana ufahamu wetu mdogo
 
Mtoa maada, wwe uko upande upi kati ya siasa na maisha ya kawaida!? Je, unataka tujitenge mbali na wanasiasa wote kwa vile hatujui ukweli juu ya maisha yao kisiasa km ni TISS au sivyo? Funguka moja kwa moja tukuelewe kisha ndipo tujadili hatua za kuchukua kimaamzi! Wakati huo huo, elewa kwamba, hakuna maisha bila siasa
 
YEYE ameshawapatanisha..sasa siye attention kwann iwe kwa Ruge na Makonda, Inamaana ufahamu wetu mdogo
haikuwa sehemu maalumu ya kufanya jambo ilo, lazima tujadiri upotovu huu. yeye alikuwa na nafasi kubwa ya kujadiri faida za bomba lile ila kwa makusudi kaacha kaanza patanisha watu.

wewe unatutaka sisi tujadiri faida za bomba ambazo mkuu kaona ni upuuzi, ila upatanisho ni bora
 
Mtoa maada, wwe uko upande upi kati ya siasa na maisha ya kawaida!? Je, unataka tujitenge mbali na wanasiasa wote kwa vile hatujui ukweli juu ya maisha yao kisiasa km ni TISS au sivyo? Funguka moja kwa moja tukuelewe kisha ndipo tujadili hatua za kuchukua kimaamzi! Wakati huo huo, elewa kwamba, hakuna maisha bila siasa
Sina cha kuongeza hapa
 
haikuwa sehemu maalumu ya kufanya jambo ilo, lazima tujadiri upotovu huu. yeye alikuwa na nafasi kubwa ya kujadiri faida za bomba lile ila kwa makusudi kaacha kaanza patanisha watu.

wewe unatutaka sisi tujadiri faida za bomba ambazo mkuu kaona ni upuuzi, ila upatanisho ni bora
Kama sisi tukiwa wapuuzi basi yeye atakuwa mpuuzi zaidi.
 
Back
Top Bottom