Ikifika 2025, Utajisikiaje ukijua kumbe Lissu naye ni Askari (planted)

Suala la kuwa planted sio mantiki hata ww Unaweza ukawa kamanda unajaribu kutuaminisha Hayo uliyonayo bila siasa Hakuna maendeleo Acha watu wafanye siasa kwa maono yao. Suala Lowasa, lisu waachie wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala la kuwa planted sio mantiki hata ww Unaweza ukawa kamanda unajaribu kutuaminisha Hayo uliyonayo bila siasa Hakuna maendeleo Acha watu wafanye siasa kwa maono yao. Suala Lowasa, lisu waachie wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app

'Acha kulalamika, umechelewa, muda haukungoji, majadiliano ya siasa huleta uchomvu wa akili na upofu wa fursa
 
You are hallucinating Mkuu, Lissu will always keep you wondering. he he.
 
Usiseme hivyo ndugu.hata gear ya angani hukuwahi kuifikilia lakini ilitokea na kiswahili kikabadilika mitaani

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Asee mkuu upo sawa kabisa ila wale jamaa wao hupingatu kila kitu.

SIJUI KESHO.
 
Tatizo wengi mmeanza kusikia habari za TL hivi karibuni.

na 'mapandikizi' ni projects za miaka miiingi kabla haijaanza kufanya kazi.leo mnazungumzia 'bei' ya Lipumba wakati kiukweli kabisa hana bei ila 'yuko kazini' kutekeleza wajibu wake wa kila siku.
so usitishe watu na kumfahamu huyo bwana eti toka sijui sekondari, Mikhail Gorbachev alionekana ni mzaliwa kabisa wa USSR lakini naamini unajua kilichokuja kutokea!!
 
Ndio maana huwa nashangaa watu kuleta ushabiki maandazi humu.

Eti Leo Fatuma karume nae ni wakili huru,wa kumtetea lissu,hahaaaaaaaa

Wacha nikasafishe shamba,nisubili kilimo,nataka nilime mwaka huu mpaka basi.
Wazo zuri sana kiongozi.

SIJUI KESHO.
 
TL sio planted TISS

Ila Mbowe, sumaye na Lowassa hao ndo iko wazi
Haishindikani na kwa Lissu mkuu,hata Maalim kule Unguja anawachezea picha tu yuko kwenye payroll ya siri-kali.
'mwamini mwanasiasa at your own risk'!
 
Soma nilichoandika..then utaelewa naamanisha nini. Tatzo tunapenda kusoma vitu vinavyotufurahisha tu. Dhana ya maisha bila siasa ni dhana ya uwabijikaji kati ya serikali na wananchi. Siyo kupinga kila jambo.

Kwa 'mashabiki' na wafia vyama wanaoendeshwa kwa mihemko,wanaishi kwa kuambiwa na kuamini na kushabikia wanachotaka kusikia tu.........hawatakuelewa hapa mkuu.
ila mimi haya mawazo yalianza na dokta enzi za Richmond,yaani tu najikuta kama kuna sauti inaniambia hakua akimaanisha ile vita...aaah.sitaki siasa mimi.naitafuta kesho ya wanangu tu,bhaasi!
 
Nibachotaka kukuuliza ni hivi naomba unieleze ugomvi wa Lowassa na Sumaye utuambia ugomvi wao ni upi na wao wenyewe kama walidhibitisha kuwa wana ugomvi kwasababu sintapenda maneno ya ooh nilisikia au walisema. Pata uhakika kutoka kwa hao watu wawili ndio utuambie kuhusu haya unayoyaandika. Fanya maojiano nao then utapata ukweli. Tatizo lenu watanzania mnapenda kusikia kuliko kumwoji muhusika
 
Wewe ndo mbumbu sana huijui Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna upinzani nchi hii, viongozi wao wote ni planted

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu japo unaonekana wazi wewe si mfuasi wa UKAWA ila huenda uliwahi kuwa mfuasi, kuna kitu waweza kuwa sahihi. Mimi binafsi nilishatia shaka juu ya TL, hasa nikiunganisha dots za toka enzi ya list of shame. Tangia pale EL hakuwahi kuwaona akina Dr WS, ZZK, TL, JJM kuwa watu wema kwake. Uchaguzi mkuu ulipokaribia EL akatega ACT Tanzania ili ikibuma kuteuliwa CCM apitie huko. Huko kukatokea msuguano ACT Tanzania ikazikwa ikabrandiwa ACT Wazalendo ila EL akaona upepo hauko poa ikawa hana jinsi akajiunga na maadui zake aliokuwa anawakwepa waliomchafua kitambo ampako upepo wa Dr WS ulikua poa ilimradi kaahidiwa gia kuchenjiwa juu kwa juu.

Akapokelewa huko wahusika yaani mahasimu wake wakawa wanaonesha kumuunga mkono mdomoni mioyoni hawakuwa naye. Baadhi wakaonesha vitendo wakamkataa, waliobaki akiwemo TL na JJM wakaendeleza ngoma kishingoupande nikajikita kwenye MILITARY SCIENCE kuandaa vita SWORT ANALYSIS ni kitu muhimu. Nikapata picha strongness ya CDM ni ujio wa EL na timu kubwa na misingi ya mabunge ya kina Dr WS na ZZK na harakati nyingine za kupinga ufisadi walivyovifanya.

Nikaangalia weakness ya CDM ni kumpokea waliemuita fisadi kwa miaka mingi na kuwa ushahidi wanao kisha kumpa nafasi ya kuwa mgombea urais. Weakness nyingine nikaona EL ana uchungu asiouonesha waziwazi ila wanajuana dhidi ya Dr WS, TL, JJM etc kuwa ndio waliomchafua na kuondoa imani ya walio wengi. Nikaona hiyo nyumba itakalika kwa mashaka na nyumba inayokalika kwa mashaka huku mnachukiana kichinichini hapo ndipo adui anaingilia na kumchomoa moja ya majogoo na kumuandaa kumtumia kwa gharama yoyote. Je TL ana ubavu wa kukaa na hasimu wake anayemnyima nafasi ya wazi ya yeye kuwa prezidaa wa TZ, mtu ambaye ana ushahidi wake wa kisheria ya kuwa ni fisadi asikubaliane na kutumiwa huku akila bingo la maana?

Ukimuondoa EL 2020 ukamuweka TL, watanzania tutampa kura TL kuwa rais wetu. He has been fighting up and down for CDM since long long time ago, he is strong and bright enough more than an illegal immigrant from no where who killed many CDM followers during his reign in PM's office. Hold down time will tell!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…