Ikifika 2025, Utajisikiaje ukijua kumbe Lissu naye ni Askari (planted)

Ikifika 2025, Utajisikiaje ukijua kumbe Lissu naye ni Askari (planted)

Haitatokea Kwa Lissu The Great.
The Guy Is Voraciously Rigid ( Ana Msimamo Mkali) Toka Kitambo Sana
Pia Amefichua Maovu Ming Ming Ambayo Kama Angekuwa Planted
Angechomoa Msimamo Wake Kilaini.
Bhado Atapambana Kindakindaki.
Muulize Jacob Zuma Anauelewa
Umaridadi Na Mziki Wa Lissu.
Wana Lumumba Lazima Waucheze.
Lissu hana misimamo ya kudumu. Msimamo wake dhidi ya ufisadi wa Lowassa bado anao? Kigeugeu tu kama wanafiki wengine wa Lumumba au kama wanafiki wengine wa ufipa.
 
Mungu asante sana kwa utukufu wako na uhai unaotupa watoto wako.

'Acha kulalamika, umechelewa, muda haukungoji, majadiliano ya siasa huleta uchomvu wa akili na upofu wa fursa'


Nilikuwa nawaza kwa sauti kubwa sana Leo asubuhi. Ivi ilikuwaje maadui wawili wa muongo mmoja ( lowasa na Sumaye) kupatana ndani ya wiki moja na kuhamia chadema? Tunajua kabsa Lowasa alikuwa anautaka Urais, lakin swali la kujiuliza Lowasa alikuwa hajui hawez kuwa Rais wa Nchi bila tume huru ya Uchaguzi.

Na Sumaye alikatwa kwenye kura za maoni. Kilichompeleka Sumaye Chadema ni nini? Yaani Sumaye amfate adui yake wa siku nyingi Upinzani. Sisi wadaganyika tukafurahia kuwa two retired senior government officers ktk chama chetu. what happened? tukaaminishwa uchaguzi tulishinda, vijana wakawa tayari, tukaambiwa tusubili kwanza viongozi wa chama wanaenda kushitaki ughaibuni ( wajanja tukajua shughuli imeisha..na kweli imeisha), kule Zanzibar Seif akaanza kuzunguka zunguka mara BBC,CNN, mara UN. SEIF AKASEMA MIPANGO INAANDALIWA YA YEYE KUPEWA HAKI YA KUWA RAIS WA ZANZIBAR, Mtu anapewa urais wa mezani..Kama Simba tu point za mezani TFF walikataa kuwapa sembuse Urais, shughuli nayo ikaishia hapo.

tukaambiwa elimu elimu elimu (Mission done)

'Acha kulalamika, umechelewa, muda haukungoji, majadiliano ya siasa huleta uchomvu wa akili na upofu wa fursa
'

Kila MTU alimuamini sana Dr. Slaa. Tunajua kilichotokea. Wengi tuliamini mzee slaa hakuwa na bei. Hayo ni 2015.

Tu project 2025. Itakuwaje kumbe na huyu tunaye muabudu sana kwa sasa kumbe naye planted. Tutajisikiaje wana mabadiliko tukiona huyu mwanasheria wetu nguli kumbe ni planted. Sahau kuhusu rasha rasha za mahabusu na mahakamani. Hizo n njia za kumuaandaa mtu awe relevant na aminike sana.

Ushauri:

1- vijana tunalaumu sana na kuponda kila kitu.

Mfano mdogo, Serikali inakusanya only 1.1 trillion kwa mwezi. Mishahara kwa watumishi wa umma ni 570 bilioni. Inayobaki ni 530 bilioni. Ebu inyambue hiyo pesa kwa matumizi ya mwezi kwa serikali alafu uone kwann Magu anakuwa mkali sana.

2- Vijana tuache kujadili pet issues ambazo hazisaidii jamii yetu.
Mfano: kwenye tukio la bomba la mafuta vijana tumejikita kujadili Ruge na Makonda badala ya fursa iliyopo kwenye bomba hilo individually na Nchi pia. Nilitegemea vijana tujikite kujadili jins gani tupata ajira hapo na jins gani tutaenda kuuza vitu kwenye mradi huo. Tegemea mradi huu utawanufaisha sana wakenya na waganda.
Kuna kipind mitandao ili jam kwa habari za Bashite..kila mtu bashite..nikawa najiuliza ni kukosa kazi au watanzania tuna upeo mdogo sana wa kung'amua mambo.

3- mwisho, Magufuli ndiyo Rais, ndiyo Baba. Kila mtu acheze ngoma yake, yeye ndiyo the most powerful man kwa Ardhi yetu ya Tanzania. Yeye ndiye namba moja. Hata akiwa angani, anga lote linajua namba 1 yupo angani. Jk anajua hilo, Mwinyi,Mkapa wanajua hayo...hata seif anajua hilo. Ana mazuri yake na anaubaya wake. Hatukuchagua malaika atuongoze.

Cha msingi tushauri, tukosoe but tusikebehi, tusitukane MTU...vision ya Namba 1 kasema Nchi ya viwanda. Jukumu letu wananchi ni kushauri vipambaule viwe wapi kwenye viwanda..mfano kilimo, uvuvi n.k. Serikali IPO pale kukuwezesha tu kufanikiwa siyo kukupa mtaji na pesa za kuishi. Nilimsikia waziri wa kilimo akisema China kuna soko kubwa sana la mihogo, hizi ndizo information ambazo zinatusaidia wananchi siyo za makonda na Ruge.

Vijana tumekuwa wajuaji na wakosoaji sana. Tunasema huyu wa sasa ni dikteta, kwani mauaji ya Arusha ambayo lema alisema anayo video, Singida na Morogoro yalitokea kipind gani. Kwan Ulimboka, kibanda walitekwa kipind gani? Bila kubadili mindset zetu hata chadema waje watawale hatutakuwa na maendeleo. Tuwe logic oriented na siyo emotional.

2025; utajisikiaje moyoni kama kamanda lisu kumbe naye alikuwa planted. Who know? Unajua historia Lisu vizuri. Huu ushauri kwa vijana wenzangu wa Ukawa. Next time ntawashauri vijana wa Lumumba. Pambana na hali yako. wenzetu wakina Lema wanalipwa kwa kazi hiyo. Sisi bado maskini sana hatuwezi kufika uchumi kati ikiwa wengi tunaishi mlo mmoja. serikali ni kama mwalimu darasani, mwalimu anajikumu la kufundisha tu suala la kufaulu mitihani ya necta ni jukumu la kwako wewe, wewe unajukumu la kusoma tuition, kukesha. Serikali ina jukumu la kuhakikishia miundombinu ya kiuchumi na kijamii inakuwepo, sisi wana Nchi tunajukumu la kutumia fursa za kimiundombinu kupambana na hali yetu.

Kuwafanya sana wakina Lisu, Lema, Zito, Mbowe, Sugu ( wakina makamba, POLEPOLE siwataji leo, ntawataja kwenye ushauri wa Lumumba) ndiyo ma model wetu tunapoteza na muda na tutakuwa maskini wa akili na mali. tunafatilia maisha ya wanasiasa ambayo hayatusaidii. Leo Nape tulimiwita Vuvuzela Kisa katofautiana na Bosi wake leo amekuwa na yeye Kamanda. are we serious?

Ali Mufuruki, Rostam, Said Bahkressa, Mo dewji, Manji, Mengi hawa ni watanzania ambao tunabidi tuwafanye wawe ma model wetu na mijadala yetu ijikite kwao kwa jinsi gani wameweza kuwa matajiri Tanzania. Mfano umeona Tanzania hakuna ajira, je umeshwahi kufikiria kutafuta Kazi Nchi za Jirani;; kwann wakenya wapo Tanzania na sisi hatwendi Nchi zao. Biashara ngumu Tanzania mfano umeshawahi kusoma demand ya malawi wananunua vitu gani ambavyo kwa mtaji wako wa milioni 5 waweze supply. Au story nzuri ni zile Lisu amjibu Magufuli..Au daimond afumaniwa. We are not cheap to that.

'Acha kulalamika, umechelewa, muda haukungoji, majadiliano ya siasa huleta uchomvu wa akili na upofu wa fursa'

pambana na hali yako.

Sijasema Lisu ni Askari but utajisikiaje kumbe ni planted; usiamini MTU. Trust No Body. System huwa ina plant askari ambao ni pro system and ant - system. This is Tanzania.

Unakumbuka Steven Masato Wasira, Mpinzani na former senior minister.

Kwahiyo unaamini Esta bulaya aliamua kuhamia chadema kwa sababu ya Lowasa au kwa sababu ya urafiki wa na Halima mdee. Sijasema Dada naye askari.

Vyuma vimekaza.


Mungu asante kwa utukufu wako, Bongo siyo bahati mbaya.
Ni wachache sana watakaokulewe hapa, weng watajib kimihemuko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo wengi mmeanza kusikia habari za TL hivi karibuni.
Tumeanza kusikia zamani sana hadi zikafika nyakati za kati akiweka msimamo Lowassa ni Fisadi kubwa sana, baadae Lowassa msafi, tukafika hapa tulipo anapigania uhuru wa kuongea n.k. Pia anasema tusizuie makinikia tutanyolewa ...... mara MIGA. Kisha tunaona wazungu wanakunywa juice na Le Profeseri Pala mwenye MAGAMBA huku waki negotiate namna ya kucheua mpunga wa kutuchezea rafu kwenye uwanja wa makinikia.
 
Lissu hana misimamo ya kudumu. Msimamo wake dhidi ya ufisadi wa Lowassa bado anao? Kigeugeu tu kama wanafiki wengine wa Lumumba au kama wanafiki wengine wa ufipa.
Cha ajabu Slaa alikua ana misimamo balaa lkn alikua anafungiwa na mkewe kulala ndani ya nyumba anaishia kulala kwenye gari usiku kucha.Hatariii
 
One of the longest inpiratinal Quotes I have never heard no where before...*umesiliba mkuu HEKO!
 
Mungu asante sana kwa utukufu wako na uhai unaotupa watoto wako.

'Acha kulalamika, umechelewa, muda haukungoji, majadiliano ya siasa huleta uchomvu wa akili na upofu wa fursa'


Nilikuwa nawaza kwa sauti kubwa sana Leo asubuhi. Ivi ilikuwaje maadui wawili wa muongo mmoja ( lowasa na Sumaye) kupatana ndani ya wiki moja na kuhamia chadema? Tunajua kabsa Lowasa alikuwa anautaka Urais, lakin swali la kujiuliza Lowasa alikuwa hajui hawez kuwa Rais wa Nchi bila tume huru ya Uchaguzi.

Na Sumaye alikatwa kwenye kura za maoni. Kilichompeleka Sumaye Chadema ni nini? Yaani Sumaye amfate adui yake wa siku nyingi Upinzani. Sisi wadaganyika tukafurahia kuwa two retired senior government officers ktk chama chetu. what happened? tukaaminishwa uchaguzi tulishinda, vijana wakawa tayari, tukaambiwa tusubili kwanza viongozi wa chama wanaenda kushitaki ughaibuni ( wajanja tukajua shughuli imeisha..na kweli imeisha), kule Zanzibar Seif akaanza kuzunguka zunguka mara BBC,CNN, mara UN. SEIF AKASEMA MIPANGO INAANDALIWA YA YEYE KUPEWA HAKI YA KUWA RAIS WA ZANZIBAR, Mtu anapewa urais wa mezani..Kama Simba tu point za mezani TFF walikataa kuwapa sembuse Urais, shughuli nayo ikaishia hapo.

tukaambiwa elimu elimu elimu (Mission done)

'Acha kulalamika, umechelewa, muda haukungoji, majadiliano ya siasa huleta uchomvu wa akili na upofu wa fursa
'

Kila MTU alimuamini sana Dr. Slaa. Tunajua kilichotokea. Wengi tuliamini mzee slaa hakuwa na bei. Hayo ni 2015.

Tu project 2025. Itakuwaje kumbe na huyu tunaye muabudu sana kwa sasa kumbe naye planted. Tutajisikiaje wana mabadiliko tukiona huyu mwanasheria wetu nguli kumbe ni planted. Sahau kuhusu rasha rasha za mahabusu na mahakamani. Hizo n njia za kumuaandaa mtu awe relevant na aminike sana.

Ushauri:

1- vijana tunalaumu sana na kuponda kila kitu.

Mfano mdogo, Serikali inakusanya only 1.1 trillion kwa mwezi. Mishahara kwa watumishi wa umma ni 570 bilioni. Inayobaki ni 530 bilioni. Ebu inyambue hiyo pesa kwa matumizi ya mwezi kwa serikali alafu uone kwann Magu anakuwa mkali sana.

2- Vijana tuache kujadili pet issues ambazo hazisaidii jamii yetu.
Mfano: kwenye tukio la bomba la mafuta vijana tumejikita kujadili Ruge na Makonda badala ya fursa iliyopo kwenye bomba hilo individually na Nchi pia. Nilitegemea vijana tujikite kujadili jins gani tupata ajira hapo na jins gani tutaenda kuuza vitu kwenye mradi huo. Tegemea mradi huu utawanufaisha sana wakenya na waganda.
Kuna kipind mitandao ili jam kwa habari za Bashite..kila mtu bashite..nikawa najiuliza ni kukosa kazi au watanzania tuna upeo mdogo sana wa kung'amua mambo.

3- mwisho, Magufuli ndiyo Rais, ndiyo Baba. Kila mtu acheze ngoma yake, yeye ndiyo the most powerful man kwa Ardhi yetu ya Tanzania. Yeye ndiye namba moja. Hata akiwa angani, anga lote linajua namba 1 yupo angani. Jk anajua hilo, Mwinyi,Mkapa wanajua hayo...hata seif anajua hilo. Ana mazuri yake na anaubaya wake. Hatukuchagua malaika atuongoze.

Cha msingi tushauri, tukosoe but tusikebehi, tusitukane MTU...vision ya Namba 1 kasema Nchi ya viwanda. Jukumu letu wananchi ni kushauri vipambaule viwe wapi kwenye viwanda..mfano kilimo, uvuvi n.k. Serikali IPO pale kukuwezesha tu kufanikiwa siyo kukupa mtaji na pesa za kuishi. Nilimsikia waziri wa kilimo akisema China kuna soko kubwa sana la mihogo, hizi ndizo information ambazo zinatusaidia wananchi siyo za makonda na Ruge.

Vijana tumekuwa wajuaji na wakosoaji sana. Tunasema huyu wa sasa ni dikteta, kwani mauaji ya Arusha ambayo lema alisema anayo video, Singida na Morogoro yalitokea kipind gani. Kwan Ulimboka, kibanda walitekwa kipind gani? Bila kubadili mindset zetu hata chadema waje watawale hatutakuwa na maendeleo. Tuwe logic oriented na siyo emotional.

2025; utajisikiaje moyoni kama kamanda lisu kumbe naye alikuwa planted. Who know? Unajua historia Lisu vizuri. Huu ushauri kwa vijana wenzangu wa Ukawa. Next time ntawashauri vijana wa Lumumba. Pambana na hali yako. wenzetu wakina Lema wanalipwa kwa kazi hiyo. Sisi bado maskini sana hatuwezi kufika uchumi kati ikiwa wengi tunaishi mlo mmoja. serikali ni kama mwalimu darasani, mwalimu anajikumu la kufundisha tu suala la kufaulu mitihani ya necta ni jukumu la kwako wewe, wewe unajukumu la kusoma tuition, kukesha. Serikali ina jukumu la kuhakikishia miundombinu ya kiuchumi na kijamii inakuwepo, sisi wana Nchi tunajukumu la kutumia fursa za kimiundombinu kupambana na hali yetu.

Kuwafanya sana wakina Lisu, Lema, Zito, Mbowe, Sugu ( wakina makamba, POLEPOLE siwataji leo, ntawataja kwenye ushauri wa Lumumba) ndiyo ma model wetu tunapoteza na muda na tutakuwa maskini wa akili na mali. tunafatilia maisha ya wanasiasa ambayo hayatusaidii. Leo Nape tulimiwita Vuvuzela Kisa katofautiana na Bosi wake leo amekuwa na yeye Kamanda. are we serious?

Ali Mufuruki, Rostam, Said Bahkressa, Mo dewji, Manji, Mengi hawa ni watanzania ambao tunabidi tuwafanye wawe ma model wetu na mijadala yetu ijikite kwao kwa jinsi gani wameweza kuwa matajiri Tanzania. Mfano umeona Tanzania hakuna ajira, je umeshwahi kufikiria kutafuta Kazi Nchi za Jirani;; kwann wakenya wapo Tanzania na sisi hatwendi Nchi zao. Biashara ngumu Tanzania mfano umeshawahi kusoma demand ya malawi wananunua vitu gani ambavyo kwa mtaji wako wa milioni 5 waweze supply. Au story nzuri ni zile Lisu amjibu Magufuli..Au daimond afumaniwa. We are not cheap to that.

'Acha kulalamika, umechelewa, muda haukungoji, majadiliano ya siasa huleta uchomvu wa akili na upofu wa fursa'

pambana na hali yako.

Sijasema Lisu ni Askari but utajisikiaje kumbe ni planted; usiamini MTU. Trust No Body. System huwa ina plant askari ambao ni pro system and ant - system. This is Tanzania.

Unakumbuka Steven Masato Wasira, Mpinzani na former senior minister.

Kwahiyo unaamini Esta bulaya aliamua kuhamia chadema kwa sababu ya Lowasa au kwa sababu ya urafiki wa na Halima mdee. Sijasema Dada naye askari.

Vyuma vimekaza.


Mungu asante kwa utukufu wako, Bongo siyo bahati mbaya.
Mkuu umenikuna sana. Wengi hawaelewi ya kwamba ccm ina watu wamesomea siasa nchi mbalimbali za dunia hii hivyo wana mbinu nyingi sana za kuhusiana na swala zima la siasa.

Mfano mzuri ni Lowasa. Kwa miaka mingi mh huyo akiwa mbunge amekuwa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya Bunge. Wala hatujiulizi sifa za m'kiti wa kamati hiyo ni zipi. Matikeo yake ndiye kawa lulu ya upinzani.

Tutakumbuka shuka saa 1 asubuhi.
 
Vichwa vyenyewe hivi masiponji na bado unaleta mambo magumu hivi, watakuelewa lini hawa? Kwani za mavideo kwiini hamna?
 
Mungu asante sana kwa utukufu wako na uhai unaotupa watoto wako.

'Acha kulalamika, umechelewa, muda haukungoji, majadiliano ya siasa huleta uchomvu wa akili na upofu wa fursa'


Nilikuwa nawaza kwa sauti kubwa sana Leo asubuhi. Ivi ilikuwaje maadui wawili wa muongo mmoja ( lowasa na Sumaye) kupatana ndani ya wiki moja na kuhamia chadema? Tunajua kabsa Lowasa alikuwa anautaka Urais, lakin swali la kujiuliza Lowasa alikuwa hajui hawez kuwa Rais wa Nchi bila tume huru ya Uchaguzi.

Na Sumaye alikatwa kwenye kura za maoni. Kilichompeleka Sumaye Chadema ni nini? Yaani Sumaye amfate adui yake wa siku nyingi Upinzani. Sisi wadaganyika tukafurahia kuwa two retired senior government officers ktk chama chetu. what happened? tukaaminishwa uchaguzi tulishinda, vijana wakawa tayari, tukaambiwa tusubili kwanza viongozi wa chama wanaenda kushitaki ughaibuni ( wajanja tukajua shughuli imeisha..na kweli imeisha), kule Zanzibar Seif akaanza kuzunguka zunguka mara BBC,CNN, mara UN. SEIF AKASEMA MIPANGO INAANDALIWA YA YEYE KUPEWA HAKI YA KUWA RAIS WA ZANZIBAR, Mtu anapewa urais wa mezani..Kama Simba tu point za mezani TFF walikataa kuwapa sembuse Urais, shughuli nayo ikaishia hapo.

tukaambiwa elimu elimu elimu (Mission done)

'Acha kulalamika, umechelewa, muda haukungoji, majadiliano ya siasa huleta uchomvu wa akili na upofu wa fursa
'

Kila MTU alimuamini sana Dr. Slaa. Tunajua kilichotokea. Wengi tuliamini mzee slaa hakuwa na bei. Hayo ni 2015.

Tu project 2025. Itakuwaje kumbe na huyu tunaye muabudu sana kwa sasa kumbe naye planted. Tutajisikiaje wana mabadiliko tukiona huyu mwanasheria wetu nguli kumbe ni planted. Sahau kuhusu rasha rasha za mahabusu na mahakamani. Hizo n njia za kumuaandaa mtu awe relevant na aminike sana.

Ushauri:

1- vijana tunalaumu sana na kuponda kila kitu.

Mfano mdogo, Serikali inakusanya only 1.1 trillion kwa mwezi. Mishahara kwa watumishi wa umma ni 570 bilioni. Inayobaki ni 530 bilioni. Ebu inyambue hiyo pesa kwa matumizi ya mwezi kwa serikali alafu uone kwann Magu anakuwa mkali sana.

2- Vijana tuache kujadili pet issues ambazo hazisaidii jamii yetu.
Mfano: kwenye tukio la bomba la mafuta vijana tumejikita kujadili Ruge na Makonda badala ya fursa iliyopo kwenye bomba hilo individually na Nchi pia. Nilitegemea vijana tujikite kujadili jins gani tupata ajira hapo na jins gani tutaenda kuuza vitu kwenye mradi huo. Tegemea mradi huu utawanufaisha sana wakenya na waganda.
Kuna kipind mitandao ili jam kwa habari za Bashite..kila mtu bashite..nikawa najiuliza ni kukosa kazi au watanzania tuna upeo mdogo sana wa kung'amua mambo.

3- mwisho, Magufuli ndiyo Rais, ndiyo Baba. Kila mtu acheze ngoma yake, yeye ndiyo the most powerful man kwa Ardhi yetu ya Tanzania. Yeye ndiye namba moja. Hata akiwa angani, anga lote linajua namba 1 yupo angani. Jk anajua hilo, Mwinyi,Mkapa wanajua hayo...hata seif anajua hilo. Ana mazuri yake na anaubaya wake. Hatukuchagua malaika atuongoze.

Cha msingi tushauri, tukosoe but tusikebehi, tusitukane MTU...vision ya Namba 1 kasema Nchi ya viwanda. Jukumu letu wananchi ni kushauri vipambaule viwe wapi kwenye viwanda..mfano kilimo, uvuvi n.k. Serikali IPO pale kukuwezesha tu kufanikiwa siyo kukupa mtaji na pesa za kuishi. Nilimsikia waziri wa kilimo akisema China kuna soko kubwa sana la mihogo, hizi ndizo information ambazo zinatusaidia wananchi siyo za makonda na Ruge.

Vijana tumekuwa wajuaji na wakosoaji sana. Tunasema huyu wa sasa ni dikteta, kwani mauaji ya Arusha ambayo lema alisema anayo video, Singida na Morogoro yalitokea kipind gani. Kwan Ulimboka, kibanda walitekwa kipind gani? Bila kubadili mindset zetu hata chadema waje watawale hatutakuwa na maendeleo. Tuwe logic oriented na siyo emotional.

2025; utajisikiaje moyoni kama kamanda lisu kumbe naye alikuwa planted. Who know? Unajua historia Lisu vizuri. Huu ushauri kwa vijana wenzangu wa Ukawa. Next time ntawashauri vijana wa Lumumba. Pambana na hali yako. wenzetu wakina Lema wanalipwa kwa kazi hiyo. Sisi bado maskini sana hatuwezi kufika uchumi kati ikiwa wengi tunaishi mlo mmoja. serikali ni kama mwalimu darasani, mwalimu anajikumu la kufundisha tu suala la kufaulu mitihani ya necta ni jukumu la kwako wewe, wewe unajukumu la kusoma tuition, kukesha. Serikali ina jukumu la kuhakikishia miundombinu ya kiuchumi na kijamii inakuwepo, sisi wana Nchi tunajukumu la kutumia fursa za kimiundombinu kupambana na hali yetu.

Kuwafanya sana wakina Lisu, Lema, Zito, Mbowe, Sugu ( wakina makamba, POLEPOLE siwataji leo, ntawataja kwenye ushauri wa Lumumba) ndiyo ma model wetu tunapoteza na muda na tutakuwa maskini wa akili na mali. tunafatilia maisha ya wanasiasa ambayo hayatusaidii. Leo Nape tulimiwita Vuvuzela Kisa katofautiana na Bosi wake leo amekuwa na yeye Kamanda. are we serious?

Ali Mufuruki, Rostam, Said Bahkressa, Mo dewji, Manji, Mengi hawa ni watanzania ambao tunabidi tuwafanye wawe ma model wetu na mijadala yetu ijikite kwao kwa jinsi gani wameweza kuwa matajiri Tanzania. Mfano umeona Tanzania hakuna ajira, je umeshwahi kufikiria kutafuta Kazi Nchi za Jirani;; kwann wakenya wapo Tanzania na sisi hatwendi Nchi zao. Biashara ngumu Tanzania mfano umeshawahi kusoma demand ya malawi wananunua vitu gani ambavyo kwa mtaji wako wa milioni 5 waweze supply. Au story nzuri ni zile Lisu amjibu Magufuli..Au daimond afumaniwa. We are not cheap to that.

'Acha kulalamika, umechelewa, muda haukungoji, majadiliano ya siasa huleta uchomvu wa akili na upofu wa fursa'

pambana na hali yako.

Sijasema Lisu ni Askari but utajisikiaje kumbe ni planted; usiamini MTU. Trust No Body. System huwa ina plant askari ambao ni pro system and ant - system. This is Tanzania.

Unakumbuka Steven Masato Wasira, Mpinzani na former senior minister.

Kwahiyo unaamini Esta bulaya aliamua kuhamia chadema kwa sababu ya Lowasa au kwa sababu ya urafiki wa na Halima mdee. Sijasema Dada naye askari.

Vyuma vimekaza.


Mungu asante kwa utukufu wako, Bongo siyo bahati mbaya.

Probably! Unaweza ukawa na Hoja Njema na Nzuri kwa vijana Wapenda mabadiliko! Kuna Mambo hapo Umeeleza ya na sense kabisa! Kulalamika na Kuamini Wanasiasa 100% ni jambo la hatari kwa sababu Wanasiasa hawaaminiki! Wanabadilika ni Tofauti na Wanafalsafa! Leo anaweza akasema Maji sio Kipaumbele chetu! kesho Akasema Tanzania bila maji Haiwezekani!
Kuhusu Tundu A. Lisu! Hujamtendea haki hata kidogo! Unamshuku bila hoja za msingi! Kama una hoja juu ya loyalty ya Tundu Lisu juu ya anayoyapigania weka doubts zako vema zieleweke! Unganisha Matukio ya Historia yake Kisiasa! Kitaaluma! Unapomfikiria Kuwa anawezekana ni Planted! bila kuonesha hizo dalili ya kwamba yeye ni Planted! Unakuwa hujatenda Haki.
 
Leo nimebahatisha kukutana na thread maridhawa, sawasawa na zilizokuwa zikitolewa na gt's siku za mwanzo mwanzo za kuasisiwa jf.
Hii hoja ya moto hakika imetoka kwa mtu makini, msomi na anayejitambua.
Hongera kuibuka ulikotoka na kuja kuwashika jf.
Mtu yeyote anayewaza bila kutumia u-chama, ufusadi na ukabila, hoja yako hii lazima imbambe.
Hoja nyingi zinazotolewa jf sasa hivi ni za mfano wa mashabiki wa mpira uwanjani zichezapo timu hasimu, kutafuta visingizio vya kukataa goli la wazi.
Yaani kuzomea na kukataa jambo la wazi na haki, kisa ni wa upande kinzani!
Mkipatikana watu mfano wako zaidi ya wawili na mkadumbukiza hoja zenu za kujenga namna hii mara kwa mara, hakika tafakuri katika jf zaweza badilika pakubwa na pakawa ni mahali pa kubadilishana mawazo na hoja mbalimbali kama zamani.
Mchango wako kwa hakika nimeupenda, ni wa kujenga.
 
Probably! Unaweza ukawa na Hoja Njema na Nzuri kwa vijana Wapenda mabadiliko! Kuna Mambo hapo Umeeleza ya na sense kabisa! Kulalamika na Kuamini Wanasiasa 100% ni jambo la hatari kwa sababu Wanasiasa hawaaminiki! Wanabadilika ni Tofauti na Wanafalsafa! Leo anaweza akasema Maji sio Kipaumbele chetu! kesho Akasema Tanzania bila maji Haiwezekani!
Kuhusu Tundu A. Lisu! Hujamtendea haki hata kidogo! Unamshuku bila hoja za msingi! Kama una hoja juu ya loyalty ya Tundu Lisu juu ya anayoyapigania weka doubts zako vema zieleweke! Unganisha Matukio ya Historia yake Kisiasa! Kitaaluma! Unapomfikiria Kuwa anawezekana ni Planted! bila kuonesha hizo dalili ya kwamba yeye ni Planted! Unakuwa hujatenda Haki.
Tundu Lisu katika hoja ametolewa kama mfano tu na muandishi kaweka hilo angalizo.
Maana yake ni kwamba tuache kujenga imani kwa wanasiasa 100%.
Lakini hata katika hali halisi Tundu Lisu alituaminisha kuwa Lowasa fisadi, lakini kalipoenda kakarudi akaja na hoja kuwa Lowasa siyo fisadi!
Mdomo mmoja hoja mbili kinzani, tena kutoka kwa wakili msomi!
Akiyatamka hayo yote ya kuchefua bila hata kuwa na kilevi chochote kichwani mwake, yaani macho makavu!
Utasemaje anaaminika na kwamba kumtolea mfano wa watu vizabizabina wanaoweza kugeuka muda wowote bila kujali maumivu ya mashabiki zao walowaamini kwa 100% ni kutomtendea haki?
 
Tundu Lisu katika hoja ametolewa kama mfano tu na muandishi kaweka hilo angalizo.
Maana yake ni kwamba tuache kujenga imani kwa wanasiasa 100%.
Lakini hata katika hali halisi Tundu Lisu alituaminisha kuwa Lowasa fisadi, lakini kalipoenda kakarudi akaja na hoja kuwa Lowasa siyo fisadi!
Mdomo mmoja hoja mbili kinzani, tena kutoka kwa wakili msomi!
Akiyatamka hayo yote ya kuchefua bila hata kuwa na kilevi chochote kichwani mwake, yaani macho makavu!
Utasemaje anaaminika na kwamba kumtolea mfano wa watu vizabizabina wanaoweza kugeuka muda wowote bila kujali maumivu ya mashabiki zao walowaamini kwa 100% ni kutomtendea haki?

Nimeona Hoja hapo! Bravo! Brother. Lakini hata katika hali halisi Tundu Lisu alituaminisha kuwa Lowasa fisadi, lakini kalipoenda kakarudi akaja na hoja kuwa Lowasa siyo fisadi!
 
Vichwa vyenyewe hivi masiponji na bado unaleta mambo magumu hivi, watakuelewa lini hawa? Kwani za mavideo kwiini hamna?
Jukumu letu kuwabadilisha mindset hawa watanganyika. Siye tuandike sana humu. Jukwaa limekosa hoja hili kuna wapingaji na wasifiaji. Namalizia kuwashauri wasifiaji
 
Jukumu letu kuwabadilisha mindset hawa watanganyika. Siye tuandike sana humu. Jukwaa limekosa hoja hili kuna wapingaji na wasifiaji. Namalizia kuwashauri wasifiaji
Sio watanganyika peke yao brother hata ndugu zangu wa kule visiwani nao hawana tofauti sana. Kibaya zaidi kule kuna siasa za chuki na visasi, hata ukiwapa hoja zilizowazi watu hawana mda wa kufukiria. Vijana tunaendeshwa na mihemko na ushabiki wa kisiasa bila kuelewa na kuangalia faida au hasara yake katika maisha yetu binafsi

[emoji252]You get what you work for not What you wish for [emoji252]
 
Nimependeza sana signature yako..
Sio watanganyika peke yao brother hata ndugu zangu wa kule visiwani nao hawana tofauti sana. Kibaya zaidi kule kuna siasa za chuki na visasi, hata ukiwapa hoja zilizowazi watu hawana mda wa kufukiria. Vijana tunaendeshwa na mihemko na ushabiki wa kisiasa bila kuelewa na kuangalia faida au hasara yake katika maisha yetu binafsi

[emoji252]You get what you work for not What you wish for [emoji252]
 
Nimependeza sana signature yako..
Ahsante mkuu.
Huu ni ukumbusho ili vijana tuache kulalama katika mambo yanayotuhusu.

[emoji252]You get what you work for not What you wish for [emoji252]
 
Back
Top Bottom