Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
desayi miaka 35 mbona bado kijana. Utu uzima ni kuanzia 45 yearsWe unaweza kuoa mwanamke mwenye miaka 35
Ikiwa bwana ako yupo hivyo mimi sipo hivyo, sijawahi hitaji msaada wa mwanamkeila mwanaume ukimuachia nyumba au watoto peke yake wote tunajua lazima atahitaji msaada wa mwanamke, haijalishi ni mke au housegirl kwahiyo endeleeni kuukwepa ukweli
Usitake watu tukaongea siri za kikeni bana, wanawake hawalii hadharani kama usemavyo kwasababu “kila mwanamke anaye mtu inbox kwake anayetaka kumuoa “ namaanisha kila…… Tatizo ni kwanini hawaolewi? ni kwasababu ya vigezo ambavyo kila mmoja amejiwekea ambapo mi sioni tatizo, Hizi pressure zinafanya watu wafanye wrong choices, hence muda ukifika wa kuoneshana shege mje mtulilie humu!Wanawake wanalia kimya kimya wanajua wakipaza sauti watachezea za uso kutoka kwa wanajamii.
Kimsingi hakuna cha ku achieve katika kusema ukweli zaidi ya kuongea ukweli wenyewe.
Kusema mapenzi ni jambo binafsi ni sawa na kusema kodi ni maamuzi binafsi kumbe ni sheria na wajibu wa raia.
Mapenzi unaweza kuwa ni jambo unaamua binafsi ila maamuzi yako yanakuwa na impact jamii inayokuzunguka.
Ukituletea mtoto mzuri anakuwa kiongozi, ukituletea mtoto mwizi mwizi anatusumbua tunamkung'uta anadedi.
Hivi ni mimi tu peke yangu ninayeona kwamba suala la wanawake kuanza kutafuta ndoa wakiwa na 35+ ni tatizo au wapo wengine wanaoona hilo pia, kama wanawake wangekuwa wanaona umuhimu wa ndoa kwanini wasianze kuzitafuta wakiwa kwenye early 20s, hujiulizi kwanini wanaanza kuhangaika huko kwa manabii na waganga baada ya kuwa wameshatumika sanaNani anajifariji Wakati Uhalisia unaonekana Wanaosaka ndoa Zaidi ni kina nani?
Simply tuulize wanaoenda kwa mwamposa kutaka ndoa asilimia kubwa ni kina nani?
Utasema Ni kwa sababu ya influence but if that is the realty Chunguza umri wao wale wanaoenda pale na wengine wengi wanaoenda Sehemu zisizo rasmi most of them are 35+ WHY THIS??.
Wengi wao wanajiweza kiuchumi. Sasa wanataka nini tena?
Nakusisitizia ukiacha ujeuri wa kisichana Mwanamke anahitaji vitu vingi sana kutoka kwa Mwanaume na sio tuu mali(Financial security)kama unavyohangaika kupotosha.
Jifunzage kukaa kimya Mkuu, sio vyema sana ukawa mtu wa mashindano kila wakati.Kijana wanawake wa sasa wanachofuata kwenye ndoa ni financial security tu hakuna kingine, yani mkubali mkatae huku ndiko dunia ilikofikia kwahiyo kama wanaume hawako tayari kuoffer hiko kitu kwenye ndoa, basi wanawake wataachana nazo na kujitafutia wenyewe kwahiyo acheni kujifariji
Yani kamwe msifikiri kwamba eti wanawake watarudi zile enzi za kuwabembeleza na kuwanyenyekea ili wapate ndoa, tunakoelea wanaume mkisusa ndoa wanawake nao watatafuta namna ya kuishi bila ndoa, halafu mwisho wa siku tuone nani atasanda
By the way hivyo vibinti mnavyosema mtavioa ndio hivi hivi ambavyo vinatolewa bikira vikiwa primary na vinasema havitaki ndoa vinataka kuzaa tu vilee watoto au kuna vingine, ninyi wenyewe si ndio huwa mnasema hivyo vibinti hata vikiolewa mapema huwa ni visumbufu kwenye ndoa, vinakuwa bado haviko tayari kuwa wake na mama hivyo hupelekea kuachika mapema
Jifunzage kukaa kimya Mkuu, sio vyema sana ukawa mtu wa mashindano kila wakati.
Hivi ni mimi tu peke yangu ninayeona kwamba suala la wanawake kuanza kutafuta ndoa wakiwa na 35+ ni tatizo au wapo wengine wanaoona hilo pia, kama wanawake wangekuwa wanaona umuhimu wa ndoa kwanini wasianze kuzitafuta wakiwa kwenye early 20s, hujiulizi kwanini wanaanza kuhangaika huko kwa manabii na waganga baada ya kuwa wameshatumika sana
Hilo tu lilitakiwa likupe picha kwamba wengi kinachowasukuma kutafuta ndoa hadi kuhangaika huko ni either umasikini au wako desperate kutokana na msukumo wa jamii, yani kitendo cha wanawake kuanza kuona umuhimu wenu pale wanapozeeka tu basi hilo halikutakiwa kuwa suala la ninyi kufurahia, bali mjiulize mnakosea wapi hadi umuhimu wenu kuonekana pale watu wanapokuwa na matatizo au kasoro tu
Yani ilitakiwa wanawake waanze kuona umuhimu wenu tangu wakiwa mabinti kama ambavyo ninyi mnaona umuhimu wao tangu mkiwa vijana, by the way mwanaume anahitaji vitu vingi zaidi kwa mwanamke kuliko mwanamke anavyohitaji kwa mwanaume, ndio maana ninyi pamoja na kwamba hampati pressure toka kwenye jamii ila bado mnaoa bila kulazimishwa na factors kama za umri wala maumbile
Hapo kwenye udangaji hapooo, binti haoni mwili wake kama una thamani mbele ya pesa, simu n.kAkili mbovu hujadili mleta mada akili nzima huzingatia mada.
Wewe ni wapi nimeongea kwamba hiyo 2030 mimi natakiwa kutoa kibali ili hicho nilichosema kitokee?
Umeshindwa kujipa tafakari ya uhalisia unaniwaza mimi? [emoji848]
Nyie ndio wale wale mtu anakwambia nyumbani kwako kuna wezi wanavunja au nyumba inawaka moto unasema wanakufuatilia maisha yako.
Umeshindwa hata kuelewa mada unakuja straight kushoot bullets kwangu, nonsense.
Kwahiyo MUNGU ndio alipanga watu waje wadange, watoe mimba, watange tange halafu wapoteze muda hadi miaka ifike 30 ndio wawaze kutulia, huo mpango ni wa MUNGU wa goba au MUNGU wa ukoo wenu?
Idiot.
Kaeni singosingo ili vijana wanaobalehe muwalee.Kijana wanawake wa sasa wanachofuata kwenye ndoa ni financial security tu hakuna kingine, yani mkubali mkatae huku ndiko dunia ilikofikia kwahiyo kama wanaume hawako tayari kuoffer hiko kitu kwenye ndoa, basi wanawake wataachana nazo na kujitafutia wenyewe kwahiyo acheni kujifariji
Yani kamwe msifikiri kwamba eti wanawake watarudi zile enzi za kuwabembeleza na kuwanyenyekea ili wapate ndoa, tunakoelea wanaume mkisusa ndoa wanawake nao watatafuta namna ya kuishi bila ndoa, halafu mwisho wa siku tuone nani atasanda
By the way hivyo vibinti mnavyosema mtavioa ndio hivi hivi ambavyo vinatolewa bikira vikiwa primary na vinasema havitaki ndoa vinataka kuzaa tu vilee watoto au kuna vingine, ninyi wenyewe si ndio huwa mnasema hivyo vibinti hata vikiolewa mapema huwa ni visumbufu kwenye ndoa, vinakuwa bado haviko tayari kuwa wake na mama hivyo hupelekea kuachika mapema
Naona una obzev Kama Stagomena Tax.Usitake watu tukaongea siri za kikeni bana, wanawake hawalii hadharani kama usemavyo kwasababu “kila mwanamke anaye mtu inbox kwake anayetaka kumuoa “ namaanisha kila…… Tatizo ni kwanini hawaolewi? ni kwasababu ya vigezo ambavyo kila mmoja amejiwekea ambapo mi sioni tatizo, Hizi pressure zinafanya watu wafanye wrong choices, hence muda ukifika wa kuoneshana shege mje mtulilie humu!
Hao mnaowaona wanalia kwa mwamposa kama asemavyo Me and me Sio kwamba hawana wakuwaoa, Nasikikitika kulisema hili 😂😂😂😂 halikutakuwa kusemwa hadharani. Watu wanaombea Mr.right wao nyie mnadhani wanaombea “chochote”. Tatizo wanaume kila siku nawaambia mnapenda kuzungumzia mambo ya wanawake wakati completely hamyajui. Sijasema ni kitu sahihi wanafanya naomba nisinukuliwe vibaya 😆 Najaribu tu kuwasanua wanaume mambo yanayoendelea kwenye maisha ya wanawake, Kila siku nawaambia mko worried na watu ambao hawako worried.
Tunaijua hii ni psychological manipulations mnafanya. Na some of you mnafanya kwa kujua, wengine hamjui kama mna fanya. Mi nipo hapa kuobserve.
Humu wanawake wengi ni singo mothers,walishajikatia tamaa kuolewa.Ujumbe umekupiga kwenye mshono unatapatapa tu hapa kuandika upumbavu wako.
Haha 😂 Mama Tax ukute alitaka kutrend tu.Naona una obzev Kama Stagomena Tax.
Mimi humu siongelei nadharia naongelea uhalisia ninaoonaIkiwa bwana ako yupo hivyo mimi sipo hivyo, sijawahi hitaji msaada wa mwanamke
Wakiandika wao hoja zao wako sahihi, ila nikiandika mimi hoja zangu napenda mashindano, kubalini ukweli hata kama unauma msilazimishe kila mtu akubaliane na kila mnachosema hata kama ni ujingaJifunzage kukaa kimya Mkuu, sio vyema sana ukawa mtu wa mashindano kila wakati.
Hata hujui unachokiandika.Hivi ni mimi tu peke yangu ninayeona kwamba suala la wanawake kuanza kutafuta ndoa wakiwa na 35+ ni tatizo au wapo wengine wanaoona hilo pia, kama wanawake wangekuwa wanaona umuhimu wa ndoa kwanini wasianze kuzitafuta wakiwa kwenye early 20s, hujiulizi kwanini wanaanza kuhangaika huko kwa manabii na waganga baada ya kuwa wameshatumika sana
Kama wanatafuta ndoa kwa sababu ya msukumo wa jamii hiyo jamii katika miaka ya 20+ haikuwepo mbona haikuwasukuma waolewe at that time mbona hatuwaoni mabinti wa umri huo kwenda kuombewa msukumo wa jamii ni upo kwa wale wa 35+pekee?? SOKO LINAKUWA LIMEISHA BIDHAA HAINUNULIKI TENA.Hilo tu lilitakiwa likupe picha kwamba wengi kinachowasukuma kutafuta ndoa hadi kuhangaika huko ni either umasikini au wako desperate kutokana na msukumo wa jamii,
Wanakosea wanawake kwa kuto utumia vizuri Umri wao Wengi mnahadaika na Afya na Maumbile yenu ambayo yanakuwa yanawapa soko la wanaume. Kinacho kuja kuwastua ni pale umri unakutupa mkono na sasa wale wanaume wa age yako wanakuwa tayari na familia zao wewe unabaki mchepuko ndo kinachowakuta baadhi ya watu maarufu nchini kuanza kudate na vijana wadogo with no futureyani kitendo cha wanawake kuanza kuona umuhimu wenu pale wanapozeeka tu basi hilo halikutakiwa kuwa suala la ninyi kufurahia, bali mjiulize mnakosea wapi hadi umuhimu wenu kuonekana pale watu wanapokuwa na matatizo au kasoro tu
Kwani mabinti hawaoni umuhimu wa kuwa Na mume wanajua shida ni akili na malezi kupambanua kipi ni sahihi kwa wakati huo. Akikosa akili hiyo ndio wale wadangaji na wauzaji.Yani ilitakiwa wanawake waanze kuona umuhimu wenu tangu wakiwa mabinti kama ambavyo ninyi mnaona umuhimu wao tangu mkiwa vijana,
Are you serious? Toa Sex na watoto sema kitu ambacho Wanaume wanahitaji zaidi kwa mwanamke?by the way mwanaume anahitaji vitu vingi zaidi kwa mwanamke kuliko mwanamke anavyohitaji kwa mwanaume, ndio maana ninyi pamoja na kwamba hampati pressure toka kwenye jamii ila bado mnaoa bila kulazimishwa na factors kama za umri wala maumbile
Aje atuambie now ndoa yake imefika miaka mingapi. FEMINISTS AKILI ZAO WANAZIJUA WENYEWE.View attachment 3079880
Alisema amedumu kwenye ndoa kwa miaka ishirini na hiyo ilikuwa 2019, Kuna ID alikuwa anatumia ya zamani
2019 ndoa ilikuwa na miaka 20 hadi sasa. Ndoa kama haikuvunjika ina Miaka 25.
Wakuu mnatema nondo sana.Mwanamke hasa wa kizazi hiki anakuwa na Jeuri kama bado Watu wanamfukizia inbox anajiona Queen uki plus na viela vya kununua Lotion basi anajidanganya Hana haja ya Mume.
In reality Mwanamke Anahitaji more than just sex from man.
Anahitaji security na vitu vingine vingi.
Mbaya zaidi mabinti wa zama hivi hawa Wahitimu wa vyuo vikuu nao wamekuwa wadangaji bali wauzaji kabisa tena wapo more sophisticated katika hilo wanafanya kisasa.
Lengo kubwa ni Kupata pesa kuishi maisha ya gharama ya kwenye screen at this time huyu binti atatukana matusi Yote kuhusu Ndoa na wanaume kwa sababu mwili wake muda na mazingira bado vinamsapport.
Mashavu yakishaanza kushuka na ile damu ikikata kutoka na Wale Waliokuwa wana hit inbox wakishaacha hapo ndo akili huwa inarudi.
Nilikuwa nawasikiaga kina Bibi wakisema "Tatizo sisi Wanawake mwalimu wetu ni kipofu".
Nature haiwezi kubadilika ila sisi tunaweza kuamua kwenda against it na tuwe tayari for the consequences.
Mada imekuzidi uwezo, ungekaa kimya tu.Tuoneshe msichana aliyekataa ndoa akiwa mbichi 😅 Kama wapo Ni wachache Sana. Bytheway maamuzi yakuoa kwa asilimia kubwa yapo kwa sisi wanaume. Ukiona mabinti hawaolewi ujue sisi wanaume ndio hatuoi tukioa hutaona msichana ambaye hajaolewa