Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Umeandika ukweli
Umeona mbali sana. Na wenye kuwahusu waipitie kwa makini. Pamoja na kuikataa kwa faraja tu ya muda lakini mioyoni waishi na hili neno. Inanihunisu pia,ksbb nina mabinti. Lakini kama baba nimejipanga kisaikorojia.

Nafuatilia harakati za ephen_ yuko vizuri anajua namna ya kuchangamka. Atapata wake. (Natania).

Wanapokosea wasichana wa siku hizi. Hawajui jinsi ya kumtengeneza mume. Unajua hata mpiga debe tu unaweza kumbadirisha mpaka kufikia kuwa mfanyabiashara wa ukweli na akawa mume bora sana.
 
ila mwanaume ukimuachia nyumba au watoto peke yake wote tunajua lazima atahitaji msaada wa mwanamke, haijalishi ni mke au housegirl kwahiyo endeleeni kuukwepa ukweli
Ikiwa bwana ako yupo hivyo mimi sipo hivyo, sijawahi hitaji msaada wa mwanamke
 
Wanawake wanalia kimya kimya wanajua wakipaza sauti watachezea za uso kutoka kwa wanajamii.

Kimsingi hakuna cha ku achieve katika kusema ukweli zaidi ya kuongea ukweli wenyewe.

Kusema mapenzi ni jambo binafsi ni sawa na kusema kodi ni maamuzi binafsi kumbe ni sheria na wajibu wa raia.

Mapenzi unaweza kuwa ni jambo unaamua binafsi ila maamuzi yako yanakuwa na impact jamii inayokuzunguka.

Ukituletea mtoto mzuri anakuwa kiongozi, ukituletea mtoto mwizi mwizi anatusumbua tunamkung'uta anadedi.
Usitake watu tukaongea siri za kikeni bana, wanawake hawalii hadharani kama usemavyo kwasababu “kila mwanamke anaye mtu inbox kwake anayetaka kumuoa “ namaanisha kila…… Tatizo ni kwanini hawaolewi? ni kwasababu ya vigezo ambavyo kila mmoja amejiwekea ambapo mi sioni tatizo, Hizi pressure zinafanya watu wafanye wrong choices, hence muda ukifika wa kuoneshana shege mje mtulilie humu!

Hao mnaowaona wanalia kwa mwamposa kama asemavyo Me and me Sio kwamba hawana wakuwaoa, Nasikikitika kulisema hili 😂😂😂😂 halikutakiwa kusemwa hadharani. Watu wanaombea Mr.right wao nyie mnadhani wanaombea “chochote”. Tatizo wanaume kila siku nawaambia mnapenda kuzungumzia mambo ya wanawake wakati completely hamyajui. Sijasema ni kitu sahihi wanafanya naomba nisinukuliwe vibaya 😆 Najaribu tu kuwasanua wanaume mambo yanayoendelea kwenye maisha ya wanawake, Kila siku nawaambia mko worried na watu ambao hawako worried.


Tunaijua hii ni psychological manipulations mnafanya. Na some of you mnafanya kwa kujua, wengine hamjui kama mna fanya. Mi nipo hapa kuobserve.
 
Nani anajifariji Wakati Uhalisia unaonekana Wanaosaka ndoa Zaidi ni kina nani?

Simply tuulize wanaoenda kwa mwamposa kutaka ndoa asilimia kubwa ni kina nani?
Utasema Ni kwa sababu ya influence but if that is the realty Chunguza umri wao wale wanaoenda pale na wengine wengi wanaoenda Sehemu zisizo rasmi most of them are 35+ WHY THIS??.

Wengi wao wanajiweza kiuchumi. Sasa wanataka nini tena?

Nakusisitizia ukiacha ujeuri wa kisichana Mwanamke anahitaji vitu vingi sana kutoka kwa Mwanaume na sio tuu mali(Financial security)kama unavyohangaika kupotosha.
Hivi ni mimi tu peke yangu ninayeona kwamba suala la wanawake kuanza kutafuta ndoa wakiwa na 35+ ni tatizo au wapo wengine wanaoona hilo pia, kama wanawake wangekuwa wanaona umuhimu wa ndoa kwanini wasianze kuzitafuta wakiwa kwenye early 20s, hujiulizi kwanini wanaanza kuhangaika huko kwa manabii na waganga baada ya kuwa wameshatumika sana

Hilo tu lilitakiwa likupe picha kwamba wengi kinachowasukuma kutafuta ndoa hadi kuhangaika huko ni either umasikini au wako desperate kutokana na msukumo wa jamii, yani kitendo cha wanawake kuanza kuona umuhimu wenu pale wanapozeeka tu basi hilo halikutakiwa kuwa suala la ninyi kufurahia, bali mjiulize mnakosea wapi hadi umuhimu wenu kuonekana pale watu wanapokuwa na matatizo au kasoro tu

Yani ilitakiwa wanawake waanze kuona umuhimu wenu tangu wakiwa mabinti kama ambavyo ninyi mnaona umuhimu wao tangu mkiwa vijana, by the way mwanaume anahitaji vitu vingi zaidi kwa mwanamke kuliko mwanamke anavyohitaji kwa mwanaume, ndio maana ninyi pamoja na kwamba hampati pressure toka kwenye jamii ila bado mnaoa bila kulazimishwa na factors kama za umri wala maumbile
 
Kijana wanawake wa sasa wanachofuata kwenye ndoa ni financial security tu hakuna kingine, yani mkubali mkatae huku ndiko dunia ilikofikia kwahiyo kama wanaume hawako tayari kuoffer hiko kitu kwenye ndoa, basi wanawake wataachana nazo na kujitafutia wenyewe kwahiyo acheni kujifariji

Yani kamwe msifikiri kwamba eti wanawake watarudi zile enzi za kuwabembeleza na kuwanyenyekea ili wapate ndoa, tunakoelea wanaume mkisusa ndoa wanawake nao watatafuta namna ya kuishi bila ndoa, halafu mwisho wa siku tuone nani atasanda

By the way hivyo vibinti mnavyosema mtavioa ndio hivi hivi ambavyo vinatolewa bikira vikiwa primary na vinasema havitaki ndoa vinataka kuzaa tu vilee watoto au kuna vingine, ninyi wenyewe si ndio huwa mnasema hivyo vibinti hata vikiolewa mapema huwa ni visumbufu kwenye ndoa, vinakuwa bado haviko tayari kuwa wake na mama hivyo hupelekea kuachika mapema
Jifunzage kukaa kimya Mkuu, sio vyema sana ukawa mtu wa mashindano kila wakati.
 
Jifunzage kukaa kimya Mkuu, sio vyema sana ukawa mtu wa mashindano kila wakati.
Screenshot_20240826-183323.png

Alisema amedumu kwenye ndoa kwa miaka ishirini na hiyo ilikuwa 2019, Kuna ID alikuwa anatumia ya zamani
 
Hivi ni mimi tu peke yangu ninayeona kwamba suala la wanawake kuanza kutafuta ndoa wakiwa na 35+ ni tatizo au wapo wengine wanaoona hilo pia, kama wanawake wangekuwa wanaona umuhimu wa ndoa kwanini wasianze kuzitafuta wakiwa kwenye early 20s, hujiulizi kwanini wanaanza kuhangaika huko kwa manabii na waganga baada ya kuwa wameshatumika sana

Hilo tu lilitakiwa likupe picha kwamba wengi kinachowasukuma kutafuta ndoa hadi kuhangaika huko ni either umasikini au wako desperate kutokana na msukumo wa jamii, yani kitendo cha wanawake kuanza kuona umuhimu wenu pale wanapozeeka tu basi hilo halikutakiwa kuwa suala la ninyi kufurahia, bali mjiulize mnakosea wapi hadi umuhimu wenu kuonekana pale watu wanapokuwa na matatizo au kasoro tu

Yani ilitakiwa wanawake waanze kuona umuhimu wenu tangu wakiwa mabinti kama ambavyo ninyi mnaona umuhimu wao tangu mkiwa vijana, by the way mwanaume anahitaji vitu vingi zaidi kwa mwanamke kuliko mwanamke anavyohitaji kwa mwanaume, ndio maana ninyi pamoja na kwamba hampati pressure toka kwenye jamii ila bado mnaoa bila kulazimishwa na factors kama za umri wala maumbile
Screenshot_20240826-183323.png
 
Akili mbovu hujadili mleta mada akili nzima huzingatia mada.

Wewe ni wapi nimeongea kwamba hiyo 2030 mimi natakiwa kutoa kibali ili hicho nilichosema kitokee?

Umeshindwa kujipa tafakari ya uhalisia unaniwaza mimi? [emoji848]

Nyie ndio wale wale mtu anakwambia nyumbani kwako kuna wezi wanavunja au nyumba inawaka moto unasema wanakufuatilia maisha yako.

Umeshindwa hata kuelewa mada unakuja straight kushoot bullets kwangu, nonsense.

Kwahiyo MUNGU ndio alipanga watu waje wadange, watoe mimba, watange tange halafu wapoteze muda hadi miaka ifike 30 ndio wawaze kutulia, huo mpango ni wa MUNGU wa goba au MUNGU wa ukoo wenu?

Idiot.
Hapo kwenye udangaji hapooo, binti haoni mwili wake kama una thamani mbele ya pesa, simu n.k
 
Kijana wanawake wa sasa wanachofuata kwenye ndoa ni financial security tu hakuna kingine, yani mkubali mkatae huku ndiko dunia ilikofikia kwahiyo kama wanaume hawako tayari kuoffer hiko kitu kwenye ndoa, basi wanawake wataachana nazo na kujitafutia wenyewe kwahiyo acheni kujifariji

Yani kamwe msifikiri kwamba eti wanawake watarudi zile enzi za kuwabembeleza na kuwanyenyekea ili wapate ndoa, tunakoelea wanaume mkisusa ndoa wanawake nao watatafuta namna ya kuishi bila ndoa, halafu mwisho wa siku tuone nani atasanda

By the way hivyo vibinti mnavyosema mtavioa ndio hivi hivi ambavyo vinatolewa bikira vikiwa primary na vinasema havitaki ndoa vinataka kuzaa tu vilee watoto au kuna vingine, ninyi wenyewe si ndio huwa mnasema hivyo vibinti hata vikiolewa mapema huwa ni visumbufu kwenye ndoa, vinakuwa bado haviko tayari kuwa wake na mama hivyo hupelekea kuachika mapema
Kaeni singosingo ili vijana wanaobalehe muwalee.
Mambo ya akina MUMAMA na MUBABA.
Mwendo wa kunywewa MIKONGO,machalii wapate financial security,dadeki.
 
Usitake watu tukaongea siri za kikeni bana, wanawake hawalii hadharani kama usemavyo kwasababu “kila mwanamke anaye mtu inbox kwake anayetaka kumuoa “ namaanisha kila…… Tatizo ni kwanini hawaolewi? ni kwasababu ya vigezo ambavyo kila mmoja amejiwekea ambapo mi sioni tatizo, Hizi pressure zinafanya watu wafanye wrong choices, hence muda ukifika wa kuoneshana shege mje mtulilie humu!

Hao mnaowaona wanalia kwa mwamposa kama asemavyo Me and me Sio kwamba hawana wakuwaoa, Nasikikitika kulisema hili 😂😂😂😂 halikutakuwa kusemwa hadharani. Watu wanaombea Mr.right wao nyie mnadhani wanaombea “chochote”. Tatizo wanaume kila siku nawaambia mnapenda kuzungumzia mambo ya wanawake wakati completely hamyajui. Sijasema ni kitu sahihi wanafanya naomba nisinukuliwe vibaya 😆 Najaribu tu kuwasanua wanaume mambo yanayoendelea kwenye maisha ya wanawake, Kila siku nawaambia mko worried na watu ambao hawako worried.


Tunaijua hii ni psychological manipulations mnafanya. Na some of you mnafanya kwa kujua, wengine hamjui kama mna fanya. Mi nipo hapa kuobserve.
Naona una obzev Kama Stagomena Tax.
 
Hivi ni mimi tu peke yangu ninayeona kwamba suala la wanawake kuanza kutafuta ndoa wakiwa na 35+ ni tatizo au wapo wengine wanaoona hilo pia, kama wanawake wangekuwa wanaona umuhimu wa ndoa kwanini wasianze kuzitafuta wakiwa kwenye early 20s, hujiulizi kwanini wanaanza kuhangaika huko kwa manabii na waganga baada ya kuwa wameshatumika sana
Hata hujui unachokiandika.

Tumeshasema Mwanamke akiwa bado mwili ,, Mazingira na Muda vinamsapport Plus na Akili ya kisichana kwa kule kuwa anatongozwa tongozwa hovyo anajiona ni queen na kama hana malezi mazuri na usimamizi mzuri nyumbani ni rahisi kutumbukia katika kuutumia mwili wake vibaya. And this is why unaweza kuta mabinti wazuri ambao wapo katika maeneo ambayo yanadharirisha utu wako hadi unajiuliza kwa nini binti mzuri hivi hajaolewa?

Hilo tu lilitakiwa likupe picha kwamba wengi kinachowasukuma kutafuta ndoa hadi kuhangaika huko ni either umasikini au wako desperate kutokana na msukumo wa jamii,
Kama wanatafuta ndoa kwa sababu ya msukumo wa jamii hiyo jamii katika miaka ya 20+ haikuwepo mbona haikuwasukuma waolewe at that time mbona hatuwaoni mabinti wa umri huo kwenda kuombewa msukumo wa jamii ni upo kwa wale wa 35+pekee?? SOKO LINAKUWA LIMEISHA BIDHAA HAINUNULIKI TENA.
yani kitendo cha wanawake kuanza kuona umuhimu wenu pale wanapozeeka tu basi hilo halikutakiwa kuwa suala la ninyi kufurahia, bali mjiulize mnakosea wapi hadi umuhimu wenu kuonekana pale watu wanapokuwa na matatizo au kasoro tu
Wanakosea wanawake kwa kuto utumia vizuri Umri wao Wengi mnahadaika na Afya na Maumbile yenu ambayo yanakuwa yanawapa soko la wanaume. Kinacho kuja kuwastua ni pale umri unakutupa mkono na sasa wale wanaume wa age yako wanakuwa tayari na familia zao wewe unabaki mchepuko ndo kinachowakuta baadhi ya watu maarufu nchini kuanza kudate na vijana wadogo with no future

Yani ilitakiwa wanawake waanze kuona umuhimu wenu tangu wakiwa mabinti kama ambavyo ninyi mnaona umuhimu wao tangu mkiwa vijana,
Kwani mabinti hawaoni umuhimu wa kuwa Na mume wanajua shida ni akili na malezi kupambanua kipi ni sahihi kwa wakati huo. Akikosa akili hiyo ndio wale wadangaji na wauzaji.

Na ndio maana utaona wengi katika ambao wanaolewa mapema wanakuwa sio wale mabinti wa kuvutiwa na kila mtu ila wale Wenye kupendwa na kila mtu huchelewa sana kuolewa na huishia tuu kutumiwa na ndio tunaona wadada wauzaji ni wazuri acha wale wa bar wazuri balaa wale wa guest hivyo hivyo wale wa casino usiseme. USICHANA UNAWASUMBUA
by the way mwanaume anahitaji vitu vingi zaidi kwa mwanamke kuliko mwanamke anavyohitaji kwa mwanaume, ndio maana ninyi pamoja na kwamba hampati pressure toka kwenye jamii ila bado mnaoa bila kulazimishwa na factors kama za umri wala maumbile
Are you serious? Toa Sex na watoto sema kitu ambacho Wanaume wanahitaji zaidi kwa mwanamke?
 
Mwanamke hasa wa kizazi hiki anakuwa na Jeuri kama bado Watu wanamfukizia inbox anajiona Queen uki plus na viela vya kununua Lotion basi anajidanganya Hana haja ya Mume.
In reality Mwanamke Anahitaji more than just sex from man.

Anahitaji security na vitu vingine vingi.

Mbaya zaidi mabinti wa zama hivi hawa Wahitimu wa vyuo vikuu nao wamekuwa wadangaji bali wauzaji kabisa tena wapo more sophisticated katika hilo wanafanya kisasa.

Lengo kubwa ni Kupata pesa kuishi maisha ya gharama ya kwenye screen at this time huyu binti atatukana matusi Yote kuhusu Ndoa na wanaume kwa sababu mwili wake muda na mazingira bado vinamsapport.

Mashavu yakishaanza kushuka na ile damu ikikata kutoka na Wale Waliokuwa wana hit inbox wakishaacha hapo ndo akili huwa inarudi.

Nilikuwa nawasikiaga kina Bibi wakisema "Tatizo sisi Wanawake mwalimu wetu ni kipofu".

Nature haiwezi kubadilika ila sisi tunaweza kuamua kwenda against it na tuwe tayari for the consequences.
Wakuu mnatema nondo sana.
 
Back
Top Bottom