Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Kanaongea tu hapa kwenye screen kwenye real life kanahaha kutafuta mahusiano na penzi serious.
 
Wapo wengi sana. Na wanakiri kuwa maisha bila stable relationship kwao ni kiama. Umri wao wa kuwindwa ukipita tu huko juu ni majuto na kulia na yesu.
 
Amepaniki. Ukina mtu kavimbiwa jua amekula zaidi ya share yake.
 
Mbona wewe unanipangia thread ya kuchangia, unanipangia kama nani yangu nakuuliza? Nimeenda off topic inakuhusu we ni mwalimu wangu? Acha shobo hujaelewa nilichoandika sio kazi yangu kukuelewesha na si lazima uniquote
Kiukweli umekwenda off topic hiyo usikatae.
 
Mbona wewe unanipangia thread ya kuchangia, unanipangia kama nani yangu nakuuliza? Nimeenda off topic inakuhusu we ni mwalimu wangu? Acha shobo hujaelewa nilichoandika sio kazi yangu kukuelewesha na si lazima uniquote
Usijali huu uzi umekuwa ni operation kwa wengi na wewe usishupaze shingo elewa kilichoandikwa halafu uishi kwenye mstari. Alafu inaonekana huu uzi umekuumiza sana eeh
 
Mabadiliko hasi kwa wanaume ni mengi na huko tuendako ni kubaya zaidi kuliko tulipo na tulipotokea, mnatumia nguvu kubwa kusakama wanawake wakati nyie wanaume mko pabaya zaidi, ndipo nikawakumbusha kuwa mmeanza na kuvaa pedi hilo tu linatosha kumuacha mwanamke na ya kwake, kutoolewa kulala na vijana wadogo haina madhara kulinganisha na janga la ushoga mpk kufikia kuvaa pedi na diapers
 
Ushoga ulikuwepo toka zamani sanaaa enzi za sodoma na gomora(sema nowadays inakuwa popular kwasabu ya utandawazi), lakini wanawake wa enzi hizo mwili wao ulikuwa na thamani sanaa ijapokuwa wanasema makahaba walikuwepo pia ...

Lakini kwa tamaduni zetu sisi waafrika kwa sasa mwili wa mwanamke umeshuka thamani sana kwa kweli, na wanaoumia sana ni wanawake kwa sababu wao wanamuhitaji mwanaume kwa kiasi kikubwa sana (security,money nk)

Wakati kitu mwanaume anachokitaka sana kwa mwanamke ni utrezii(ndo maana akipata hiki anakuona kama feaces tu) sasa si bora akanunue tu kwa kahaba maana utofauti wa mwanamke asiyejiuza na anayejiuza hauonekani coz wote wapo after 💰

"Take care when you dare"
 
Wanaume wao itakuwaje?
 
Usijali huu uzi umekuwa ni operation kwa wengi na wewe usishupaze shingo elewa kilichoandikwa halafu uishi kwenye mstari. Alafu inaonekana huu uzi umekuumiza sana eeh
Comment yangu imegusa uhalisia wa maisha yenu ndo maana imewaumiza sana,

Kwamba naishi nje ya mstari! Upi huo? Ulioniwekea wewe? Mbona unajipa umuhimu ambao huna juu yangu, nimekwambia acha shobo, nipo humu kwa ajili yangu, simu yangu bando langu na muda wangu
 
Ndio nikakuuliza ukichukua wanaume 1000 mashoga watakuwa wangapi miongoni mwao? [emoji848]

But idadi ya wanawake wanao angukia kategori ya nje ya ndoa si unaiona inavyoongezeka kwa kasi?

Hata hilo la watoto wa kiume kuwa mashoga ni product ya wanawake kuwapo nje ya ulinzi wa ndoa, watoto wao ndio huwa wanapatwa na hiyo kasumba kwa wingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…