Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

huku mtandaoni ndio sio kipaumbele, unamkumbuka mama wa kisuli suli?(marehemu mama Lwakatare) ukitaka kujua ndoa ni kipaumbele njoo makanisani useme wanaohitaji kuolewa wapite mbele waombewe utaelewa
Mabinti waliokulia vijijini pengine ndio wanapokea msukukumo huo lakini Dunia ya Sasa haiko hivyo tena
 
mnaongea tu humu, ndoa mnazitaka wengi

sema sio wanawake peke yao ndo hawana nidhamu ya mahusiano, hata wanaume

shida ya Zemanda ni chawa wa motivational speaker mmoja, anamfatiza kuhangaika na wanawake



Hivi Jadda unampata Kevin Samuels? Huyo kwenye avatar ya Zemanda?
Nani alikuomba umuoe? Hivi kabisa unajidanganya wanawake wa ss hivi tunalilia ndoa??

Hakuna kipindi wanawake wamezidharau ndoa km hiki… labda vijijini.

Wanaume wanataka kuolewa na mashangazi na wajomba zao, hao ndio wenye uhitaji.. kidogo na wale waganga njaa ambao hawana uwezo wa kujihudumia.
 
Ni miaka 6 imebakia kufika mwaka 2030 ambapo kwa hali ya sasa ya wanawake na tabia na mienendo yao then kuna uwezekano mkubwa wakaingia umri wa utu uzima a.k.a Ukuta wa babeli wakiwa hawana watoto, familia, mume, ndoa ya kueleweka wala anuani ya mji wao.

Hii ni matokeo ya matumizi mabaya ya rasilimali za thamani sana yaani mwili na muda, walizopewa na MUNGU bure bila kulipia hata mia.

Ni ukweli usio pingika kuwa wanawake wa sasa wamejiweka mbali sana na uanaumke kiasi kwamba wanajiendea tu na trends na upepo wa walimwengu wasijue kesho inawajia kwa kasi ya fuso isiyo na break.

Huo mwaka nimeutaja nimelenga uzao wa kuanzia miaka fulani sitoitaja hapa ili kupunguza tension but ukipiga hesabu unaweza jua kama wewe unaangukia wapi.

Najua watakuja wadada wapenda ligi akina Jadda na wengineo na kupinga haya nisemayo ili tu kuipa amani mioyo yao ila ndani ya nafsi wanajua kuwa hali si nzuri.

Watasema wanaume kwao itakuwa same story. Wanaume story yao huwa si sawa na ya mwanamke. Mwanaume huo wakati target audience yake ni younge females ambao wewe watakuwa wanakuita mama au shangazi.

Tazama akina auntie Ezekiel,shilole, wolper, wema, buheti, kajala, etc hao nimewataja sababu ni maarufu ila huku mtaani wapo wengi zaidi ya hao ambao kwa umri wao wanavulia chupi vibwana vidogo umri sawa na wadogo zao au watoto zao wa kuwazaa. Imagine hao 2030 haijafika bado.

Hiki kitakuwa kipindi kigumu sana katika historia ya mahusiano watakachopitia wanawake katika taifa letu na ulimwenguni sababu ya kujitoa ufahamu, kukengeuka, na kuishi nje ya mfumo wa jamii vile uliagiza.

Siku zote kukopa raha kurudisha maumivu. Wengi kwa sasa mnataka kufosi kuishi mafanikio ambayo muda wake hamjaufikia. Matokeo ni kusaliti, kuumiza hisia, kukufuru, kukaranganya jamii, na kuharibu ustawi wa jamii.

This is the price you will pay when that time gets here. Maisha yakianza kukuadabisha hakuna atakaye kutetea wala kuingilia hata awe anakupenda vipi na yupo tayari kwa namna gani kujitoa kukupigania.

Mjiandae kisaikolojia. Maumivu yake si ya ulimwengu huu.
Ila huu utafiti ulifanywa kwa nchi ya US, kwamba kufika mwaka huo zaidi ya asilimia 50 ya wanawake, watakuwa wapo single na hawana watoto,kwa Africa bado.
 
Mabinti waliokulia vijijini pengine ndio wanapokea msukukumo huo lakini Dunia ya Sasa haiko hivyo tena
Kijiji gani mkuu tunaongelea Dar es salaam, kwani mlima wa moto uko Nanjilinji, Mwamposa yuko Kilosa? wanaume wanashinda kwa waganga ili wapate utajiri ila wanawake wnashinda kwa waganga wawape limbwata wanaume, halafu useme ndoa sio kipaumbele, kuna mtangazaji kila baada ya muda anaolewa anaachika anaolewa tena anaachika anaolewa tena😂😂😂 au amekulia kijijini, au basi naye tuseme anatafuta fainensho statasi eee, Kwani Shish food si yeye ndo alikuwa anahudumia ndoa?😂😂😂, Ni kelele zinapigwa humu mtandaoni tu lakini kwenye maisha halisi haiko hivyo
 
Ila huu utafiti ulifanywa kwa nchi ya US, kwamba kufika mwaka huo zaidi ya asilimia 50 ya wanawake, watakuwa wapo single na hawana watoto,kwa Africa bado.
Mbona hata Tanzania watanzania wengi hawako kwenye ndoa 😅 ,, Dunia imebadilika mkuu Sasa sio zamani. Haya huko US , sababu walisema ninini? Kwatanzania sababu no 1 niugumu wa maisha
 
Kijiji gani mkuu tunaongelea Dar es salaam, kwani mlima wa moto uko Nanjilinji, Mwamposa yuko Kilosa? wanaume wanashinda kwa waganga ili wapate utajiri ila wanawake wnashinda kwa waganga wawape limbwata wanaume, halafu useme ndoa sio kipaumbele, kuna mtangazaji kila baada ya muda anaolewa anaachika anaolewa tena anaachika anaolewa tena😂😂😂 au amekulia kijijini, au basi naye tuseme anatafuta fainensho statasi eee, Kwani Shish food si yeye ndo alikuwa anahudumia ndoa?😂😂😂, Ni kelele zinapigwa humu mtandaoni tu lakini kwenye maisha halisi haiko hivyo
Nina maana hao mabinti huenda wanapokea influence kutuka huko kijijini walikozaliwa
 
Kuna msemo unasema
Time heals wound
Jipe muda utapona kutukana hapa hadharani ni kujiongezea uchungu na maumivu moyoni mwako.
Kama mahusiano ya kimapenzi yalikuumiza na kukuachia uchungu bado una muda wa kupona na kumove on. Hasira, matusi na maneno yenye kudharirisha hayakusaidii lolote zaidi ya kukuumiza mwenyewe. Many times kwenye posts zako umekuwa ukiandika maneno harsh sana. Haikusaidii. Jifunze kuishi na watu vizuri hata hapa Jamiiforums na utakuwa na maisha yenye kuridhisha lakini ukitaka kujifanya ni Mwajuma Gangstar utaumia wewe na roho yako.
We all have Pains
We all have sorrow
But we are trying to be wise. Because there is tomorrow na haupo hapa jamii forums kwa bahati mbaya bali kwa makusudi maalumu. Huwezi kuivimbia nature utakuwa ni mtu wa huzuni na maumivu maisha yako yote na baadae umri ukienda unapata magonjwa ya kiharusi, presha na magonjwa mengine
Nipone nini? Ulinipa wewe hilo donda ndugu au gonjwa? Mbona kujifanya kunijua sana we ngumbaru? Unanishobokea sana kumbe na comment zangu unazifatiliaga asante shabiki wangu ila acha kunisoma ili usipate jakamoyo, ama bonyeza ignore, tofauti na hapo nitaendelea kukukera, sipo humu kwa ajili ya kukufurahisha wewe wala yeyote yule na ningekiuka sheria za jf ningeshalambwa ban
 
Hilo siyo swali ambalo linahitaji jibu la moja kwa moja, yani inategemea na mwanamke, wanawake wanatofautiana mahitaji
Jibu kulingana na wewe kama wewe, kwa sasa unadhani mumeo/atakaekuja kuwa mumeo, anatakiwa awe na kipato cha tsh ngapi kwa mwezi ili aweze kukupa "financial security" Jadda
 
D
Ni miaka 6 imebakia kufika mwaka 2030 ambapo kwa hali ya sasa ya wanawake na tabia na mienendo yao then kuna uwezekano mkubwa wakaingia umri wa utu uzima a.k.a Ukuta wa babeli wakiwa hawana watoto, familia, mume, ndoa ya kueleweka wala anuani ya mji wao.

Hii ni matokeo ya matumizi mabaya ya rasilimali za thamani sana yaani mwili na muda, walizopewa na MUNGU bure bila kulipia hata mia.

Ni ukweli usio pingika kuwa wanawake wa sasa wamejiweka mbali sana na uanaumke kiasi kwamba wanajiendea tu na trends na upepo wa walimwengu wasijue kesho inawajia kwa kasi ya fuso isiyo na break.

Huo mwaka nimeutaja nimelenga uzao wa kuanzia miaka fulani sitoitaja hapa ili kupunguza tension but ukipiga hesabu unaweza jua kama wewe unaangukia wapi.

Najua watakuja wadada wapenda ligi akina Jadda na wengineo na kupinga haya nisemayo ili tu kuipa amani mioyo yao ila ndani ya nafsi wanajua kuwa hali si nzuri.

Watasema wanaume kwao itakuwa same story. Wanaume story yao huwa si sawa na ya mwanamke. Mwanaume huo wakati target audience yake ni younge females ambao wewe watakuwa wanakuita mama au shangazi.

Tazama akina auntie Ezekiel,shilole, wolper, wema, buheti, kajala, etc hao nimewataja sababu ni maarufu ila huku mtaani wapo wengi zaidi ya hao ambao kwa umri wao wanavulia chupi vibwana vidogo umri sawa na wadogo zao au watoto zao wa kuwazaa. Imagine hao 2030 haijafika bado.

Hiki kitakuwa kipindi kigumu sana katika historia ya mahusiano watakachopitia wanawake katika taifa letu na ulimwenguni sababu ya kujitoa ufahamu, kukengeuka, na kuishi nje ya mfumo wa jamii vile uliagiza.

Siku zote kukopa raha kurudisha maumivu. Wengi kwa sasa mnataka kufosi kuishi mafanikio ambayo muda wake hamjaufikia. Matokeo ni kusaliti, kuumiza hisia, kukufuru, kukaranganya jamii, na kuharibu ustawi wa jamii.

This is the price you will pay when that time gets here. Maisha yakianza kukuadabisha hakuna atakaye kutetea wala kuingilia hata awe anakupenda vipi na yupo tayari kwa namna gani kujitoa kukupigania.

Mjiandae kisaikolojia. Maumivu yake si ya ulimwengu huu

Ni miaka 6 imebakia kufika mwaka 2030 ambapo kwa hali ya sasa ya wanawake na tabia na mienendo yao then kuna uwezekano mkubwa wakaingia umri wa utu uzima a.k.a Ukuta wa babeli wakiwa hawana watoto, familia, mume, ndoa ya kueleweka wala anuani ya mji wao.

Hii ni matokeo ya matumizi mabaya ya rasilimali za thamani sana yaani mwili na muda, walizopewa na MUNGU bure bila kulipia hata mia.

Ni ukweli usio pingika kuwa wanawake wa sasa wamejiweka mbali sana na uanaumke kiasi kwamba wanajiendea tu na trends na upepo wa walimwengu wasijue kesho inawajia kwa kasi ya fuso isiyo na break.

Huo mwaka nimeutaja nimelenga uzao wa kuanzia miaka fulani sitoitaja hapa ili kupunguza tension but ukipiga hesabu unaweza jua kama wewe unaangukia wapi.

Najua watakuja wadada wapenda ligi akina Jadda na wengineo na kupinga haya nisemayo ili tu kuipa amani mioyo yao ila ndani ya nafsi wanajua kuwa hali si nzuri.

Watasema wanaume kwao itakuwa same story. Wanaume story yao huwa si sawa na ya mwanamke. Mwanaume huo wakati target audience yake ni younge females ambao wewe watakuwa wanakuita mama au shangazi.

Tazama akina auntie Ezekiel,shilole, wolper, wema, buheti, kajala, etc hao nimewataja sababu ni maarufu ila huku mtaani wapo wengi zaidi ya hao ambao kwa umri wao wanavulia chupi vibwana vidogo umri sawa na wadogo zao au watoto zao wa kuwazaa. Imagine hao 2030 haijafika bado.

Hiki kitakuwa kipindi kigumu sana katika historia ya mahusiano watakachopitia wanawake katika taifa letu na ulimwenguni sababu ya kujitoa ufahamu, kukengeuka, na kuishi nje ya mfumo wa jamii vile uliagiza.

Siku zote kukopa raha kurudisha maumivu. Wengi kwa sasa mnataka kufosi kuishi mafanikio ambayo muda wake hamjaufikia. Matokeo ni kusaliti, kuumiza hisia, kukufuru, kukaranganya jamii, na kuharibu ustawi wa jamii.

This is the price you will pay when that time gets here. Maisha yakianza kukuadabisha hakuna atakaye kutetea wala kuingilia hata awe anakupenda vipi na yupo tayari kwa namna gani kujitoa kukupigania.

Mjiandae kisaikolojia. Maumivu yake si ya ulimwengu huu.
Duuuh hatariiii Sana
 

Attachments

  • VID-20240824-WA0013.mp4
    7.6 MB
Back
Top Bottom