Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaishi wanavyotaka waoKwasasa watu wanaishi namna wanavyotaka na kujisikia, unaona matokeo yake?
Kwamba watu wanaoa wake wanne wanneKwasasa watu wanaishi namna wanavyotaka na kujisikia, unaona matokeo yake?
Kwa africa tunaona hapa watu wanatoboa 30+ hawana ndoa, hawana familia na wengine ni single mothers. I think tunaelekea huko kwa kasi. By that time, graduates wengi watakuwa katika shimo hilo la maisha nje ya ndoa.Ila huu utafiti ulifanywa kwa nchi ya US, kwamba kufika mwaka huo zaidi ya asilimia 50 ya wanawake, watakuwa wapo single na hawana watoto,kwa Africa bado.
Na kwa kuongezea Event planner wa US wanao andaa hizi single events kwa ajili ya mabachela kukutana, zaidi ya asilimia tisini ya wahudhuriaji ni wanawake, wengi wao wale wasomi, financial stable aka miss independent age 30+ nk.Kwa africa tunaona hapa watu wanatoboa 30+ hawana ndoa, hawana familia na wengine ni single mothers. I think tunaelekea huko kwa kasi. By that time, graduates wengi watakuwa katika shimo hilo la maisha nje ya ndoa.
Wewe ndio nikuulize unaishi Dunia ipi? Je kwasasa unaona watu wanaoana Kama zamani? Kama sivyo wewe huoni Ni tofauti?Sijui hata unaishi na kushinda wapi mwenzetu, ni wapi huko ambapo mambo yapo tofauti?
Sio kweli.Wakiwa wabinchi hawataki ndoa, wakianza choka wanafosi ndoa nani anataka ndoa na mzee.
Naomba tuoaneKATAA NDOA
NDOA NI LAANA
NDOA NI UJAMBAZI
🥰Naomba tuoane
Nakazia consequences ndio kila kitu.Mwanamke hasa wa kizazi hiki anakuwa na Jeuri kama bado Watu wanamfukizia inbox anajiona Queen uki plus na viela vya kununua Lotion basi anajidanganya Hana haja ya Mume.
In reality Mwanamke Anahitaji more than just sex from man.
Anahitaji security na vitu vingine vingi.
Mbaya zaidi mabinti wa zama hivi hawa Wahitimu wa vyuo vikuu nao wamekuwa wadangaji bali wauzaji kabisa tena wapo more sophisticated katika hilo wanafanya kisasa.
Lengo kubwa ni Kupata pesa kuishi maisha ya gharama ya kwenye screen at this time huyu binti atatukana matusi Yote kuhusu Ndoa na wanaume kwa sababu mwili wake muda na mazingira bado vinamsapport.
Mashavu yakishaanza kushuka na ile damu ikikata kutoka na Wale Waliokuwa wana hit inbox wakishaacha hapo ndo akili huwa inarudi.
Nilikuwa nawasikiaga kina Bibi wakisema "Tatizo sisi Wanawake mwalimu wetu ni kipofu".
Nature haiwezi kubadilika ila sisi tunaweza kuamua kwenda against it na tuwe tayari for the consequences.
Wanawake wanalia kimya kimya wanajua wakipaza sauti watachezea za uso kutoka kwa wanajamii.Nothing wrong with predictions, however ni namna mojawapo ya kuwajaza “walengwa” hofu…….Kuhusu mnataka kuachieve nini ndio sina uhakika.
Mapenzi ni jambo binafsi, sio jambo la kitaifa, so why mnajali sana kuhusu watu ambao hawajali?
Mimi nadhani wanawake ndio tungekuwa wakwanza kulia lia, Tuko kimya tunapambana na hali zetu.
Jitahidini kuchill bana.
Wanawake mtasema hoja gani sana cha zaidi kwenu mnachotazama ni kujisafisha na kukwepa lawama. Haya tunayoyaongea kuna hata siku mlishawahi kuchangia mkisema ni kweli wanaume mnachokisema sisi tunafanya na tunawakosea sana na kuchangia kuharibu jamii.Na ni mgumu zaidi sababu wanaouanzisha ni wanaume!
Kabisa mzeeWengi wanazeeka kuliko umri wao halisia,(kongoloka), tena inaanzia kwenye migodi, sorry to say this, pisi kali ya miaka 22 mgodi wa miaka 70 duu, ashakum siyo matusi, tena kabla ya kukutana na bwawa la mindu inakutana J....puya