nobody2001
New Member
- Sep 30, 2024
- 1
- 3
Salama wakulal?
Kuna shida hapa Arusha, haisi za kwenda njiro ikifika saa tatu usiku nauli inapanda kutoka mia sita kwenda buku!
Kwanini wanafanya hivyo wakati nauli inajulikana ni mia sita?
Kuna shida hapa Arusha, haisi za kwenda njiro ikifika saa tatu usiku nauli inapanda kutoka mia sita kwenda buku!
Kwanini wanafanya hivyo wakati nauli inajulikana ni mia sita?