KERO Ikifika usiku nauli ya Njiro, Arusha inapanda mpaka Tsh. 1,000 kutoka Tsh. 600

KERO Ikifika usiku nauli ya Njiro, Arusha inapanda mpaka Tsh. 1,000 kutoka Tsh. 600

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Nimezaliwa Arusha, niliondoka 2013 nikaja kurudi 2022 yani maeneo mengi yapo vile vile yani hakuna mabadiliko chanya.
Maeneo yepi yapo vile vile.Arusha imebadilika sana ndani ya miaka 20 iliyopita.Nafikiri uliishia mtaani kwako.
 
Arusha ni shida nyingi sana

Mimi najiulizaga inakuaje Wilaya tu ya Arusha mjini Kata zake nyingi hazijapimwa?
 
Salama wakulal kuna shida apa Arusha haisi za kwenda njiro ikifika saa tatu usiku nauli inapanda kutoka mia sita kwenda buku Kwann wana fanya ivo wakati nauli inajulikana ni Mia sita
Mods huwa mnalala sana,
jinga kama hili piga ban ya maisha tupunguze wapumbavu duniani.
Sitafafanua🙌
 
Kumbe hata huko njiro mnakosa buku ya nauli??
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Nimezaliwa Arusha, niliondoka 2013 nikaja kurudi 2022 yani maeneo mengi yapo vile vile yani hakuna mabadiliko chanya.
Sio kweli Mimi nmezaliwa Arusha nmeondoka 2017 nliacha lami mushono Iko club d pale Leo imefika Hadi chekereni inaenda Hadi usa, ngusero kulikua hamna lami nimeikuta, Bado Kuna changamoto za stendi na masoko ila Barabara za ngarenaro karibu zote ni lami, Barabara ya ungalimited lami imeenda dampo Hadi Intel kipind Iko ilikua vumbi tupu airport Arusha inajengo zuri sasa hiv nmerudi mkoani nimeacha uwanja wa afcon unajengwa nimeacha Barabara ya esso, kibo na engo zinawekwa lami utalii nao umeongezeka sana Kila sehem nkipita ni wageni tu, mikutano ndo usiseme hiyo aicc haipumziki Hadi nikatamani nibaki niangalie fursa huku kama isingekua ajira za watu
Sasa wewe unayesema umeondoka 2013 kipindi Iko ndo hata Barabara ya sakina tengeru 14km double road haikuwepo 2013 hiyo hata Barabara ya east Africa km 42 ngaramtoni kuzungukia Hadi usa haikuwepo umepita ukaona tofauti ujenzi ulivofanyika ulinganishe
 
Sio kweli Mimi nmezaliwa Arusha nmeondoka 2017 nliacha lami mushono Iko club d pale Leo imefika Hadi chekereni inaenda Hadi usa, ngusero kulikua hamna lami nimeikuta, Bado Kuna changamoto za stendi na masoko ila Barabara za ngarenaro karibu zote ni lami, Barabara ya ungalimited lami imeenda dampo Hadi Intel kipind Iko ilikua vumbi tupu airport Arusha inajengo zuri sasa hiv nmerudi mkoani nimeacha uwanja wa afcon unajengwa nimeacha Barabara ya esso, kibo na engo zinawekwa lami utalii nao umeongezeka sana Kila sehem nkipita ni wageni tu, mikutano ndo usiseme hiyo aicc haipumziki Hadi nikatamani nibaki niangalie fursa huku kama isingekua ajira za watu
Sasa wewe unayesema umeondoka 2013 kipindi Iko ndo hata Barabara ya sakina tengeru 14km double road haikuwepo 2013 hiyo hata Barabara ya east Africa km 42 ngaramtoni kuzungukia Hadi usa haikuwepo umepita ukaona tofauti ujenzi ulivofanyika ulinganishe
Ungalimited kuna lami? Ungalimited ipi hiyo n ile ya kule kanisa Katoliki moyo safi au? Mbona n vumbi kwenda mbele au Mm ndo nmechanganyikiwa?
 
Ungalimited kuna lami? Ungalimited ipi hiyo n ile ya kule kanisa Katoliki moyo safi au? Mbona n vumbi kwenda mbele au Mm ndo nmechanganyikiwa?
Nimeacha tayar
We umeondoka lin ungalimited unaijua lakin hiyo unayoisema ni ya engo na tayar imewekwa lakn
 
Siku nilipofika Arusha na picha niliyokuwa nayo akilini.... ilikuwa tofauti.
 
Nimeacha tayar
We umeondoka lin ungalimited unaijua lakin hiyo unayoisema ni ya engo na tayar imewekwa lakn
Barabara Engosheraton lilipo kabisa la Moyo safi wa bikira Maria imeshaanza kuwekwa lami...Ungalimited ile barabara kama kiunganishi cha kuelekea Felix mrema secondary au ile barabara ya Darajambili hospital...ila ni kakipande kaduchi sana...bado
 
Mamlaka zinazohusika ziliangalie hili ,hata kusini Mfano Masasi Nachingwea ,nauli hua ni elfu 5 ,ila usiku inakwenda hadi mara 2 yake
 
Back
Top Bottom