nobody2001
New Member
- Sep 30, 2024
- 1
- 3
Huku chekereni ikifika usiku tunaanza kuzitafuta basi kwa tochiNjiro wengi mnaokaa kule mnausafiri binafsi mnaonekana mnazo bajaj wanajipatia kwenu Sasa huku kw morombo hawawez fanya ivo
Siyo Njiro tu,ni maeneo mengi ya MKoa wa Arusha,Kutoka mjini kwenda Tengeru,Usa,nauli zinapanda usiku,halafu wahusika wamekaa tu kama hawana akili au utadhani walofoji vyeti.Salama wakulal kuna shida apa Arusha haisi za kwenda njiro ikifika saa tatu usiku nauli inapanda kutoka mia sita kwenda buku Kwann wana fanya ivo wakati nauli inajulikana ni Mia sita
Hao wasambaa wanajua watu wa Njiro waoga yaani akiambiwa nauli yeyote analipa mimi nikiacha gari siku za mazoezi nalipa nauli ya Serikali muda wowote na wananijua vizuri tu kuwa huyu mzala ni wa Mwanjelwa huku ana siku mbili sio mayai...Salama wakulal kuna shida apa Arusha haisi za kwenda njiro ikifika saa tatu usiku nauli inapanda kutoka mia sita kwenda buku Kwann wana fanya ivo wakati nauli inajulikana ni Mia sita
Sio kweli haujatembea umefika kimvulini wewe?Nimezaliwa Arusha, niliondoka 2013 nikaja kurudi 2022 yani maeneo mengi yapo vile vile yani hakuna mabadiliko chanya.
Njiro si mnajiita Matajiri.. unakuja lalamikia buku ukuSalama wakulal kuna shida apa Arusha haisi za kwenda njiro ikifika saa tatu usiku nauli inapanda kutoka mia sita kwenda buku Kwann wana fanya ivo wakati nauli inajulikana ni Mia sita
namimi nimeshangaa huyu mlalamikajiJamani njiro si kwa matajiri?
Wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu hao mazeeNjiro si mnajiita Matajiri.. unakuja lalamikia buku uku
Sema tunatani, kuna kaduka nimeweka huku njiro nashangaa wengi wanataka niwapimie matuta ya kupikia ya 200, 500, na ya bukubukunamimi nimeshangaa huyu mlalamikaji
ukiskia kwa matajiri. haimaanishi wote n matajiri ila inakua over 50% n watu wa hali ya juuuSema tunatani, kuna kaduka nimeweka huku njiro nashangaa wengi wanataka niwapimie matuta ya kupikia ya 200, 500, na ya bukubuku