Ikitokea Baba yako ( Mshua ) Kaoa na Kazaa na Mwanamke unayemzidi Umri mkubwa ( Binti ) Salamu yako Kwake itakuwa ipi kati ya zifuatazo?

Ikitokea Baba yako ( Mshua ) Kaoa na Kazaa na Mwanamke unayemzidi Umri mkubwa ( Binti ) Salamu yako Kwake itakuwa ipi kati ya zifuatazo?

Kwa Mirejesho ( Majibu ) ninayoyapata hadi hivi upo uwezekano mkubwa Leo ( Usiku huu ) Mbavu zangu zikapata Taabu mno kwa Kucheka sana kwani kila nikisoma tu mnachonijibu naangua Kicheko na hivi napenda Kucheka basi ndiyo balaa kabisa.
 
mimi mzee wangu anaa 60 saizi kaoa binti wa 2001 mimi nime mzidi miakaa 10 ni kumi na 12 saizi, siku nimeenda kumuona nakuta singo mazaaa hana noma nafika ananitolea machoo tu ikabidi nikaeee siku 3 nika sepa sija muongelesha kuhusu hizo ishu. maana kwangu ni aibu ila nakumbuka tu alisema neno moja mzee anataka watoto basi hana shida na mwana mke
 
Mshuwa wangu, siku moja asubuhi tukitokea Kimara Butcher, alinipitisha kwenye ka Hotel fulani pale Ubungo maji. Bada ya kupata supu ya kuku pale, akaja Muhudumu, Mdada kibonge ivi, mweupe na mzuri kwa sura,,,,,, akaniamkia! [ shikamoo shemeji]
Then Mzee baba akamwambia Muhudumu, "aaah mama K, huyu ni kijana wangu,,,,, alafu aknigeukia na kusema, Son, kutana na mama yako mdogo"
 
Back
Top Bottom