GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mkuu mbona unataka kunitafutia Laana ya Kilazima kabisa kutoka kwa Mshua? Unanitakia Mema kweli Wewe?8.Nambie mrembo
Nawe utaviachaUrithi wako haupo... halafu ninachomoka
Nitahakikisha nimefuja hadi viishe🤣Nawe utaviacha
Mshua kwa kuheshimu damu yake/zake anatakiwa atafute umri Sawa na yeye au hata Akiwa Mdogo bhas wapishane hata 5-8 yrsMkuu mbona unataka kunitafutia Laana ya Kilazima kabisa kutoka kwa Mshua? Unanitakia Mema kweli Wewe?
Sidhani kama utamaliza weekNitahakikisha nimefuja hadi viishe🤣
Wewe kwa Mila za Kiafrika unaweza Kumpangia Baba yako 'Mbunye' ya Kuikanda / Kuitindua?Mshua kwa kuheshimu damu yake/zake anatakiwa atafute umri Sawa na yeye au hata Akiwa Mdogo bhas wapishane hata 5-8 yrs
Hapo Mzee hajatenda haki kabisa😅
Kawaolea size yenu
Angelikuwa anaishi na kijana wake/mimi basi ningelipinga suala hilo.Wewe kwa Mila za Kiafrika unaweza Kumpangia Baba yako 'Mbunye' ya Kuikanda / Kuitindua?
Nakadori urewedi?Mamiloo mambo niajee
Hujawahi kuwa na Akili hapa JamiiForums.Utoto raha sana.
Mkuu acha ugoro ndio nini hiki Umeandika ?1. Shikamoo Mama
2. Oya Binti Hujambo?
3. Niaje Wewe Mazeri?
4. Heshima yako
5. Za Kulala na Kuamka Maza
6. Uko poa?
7. Mzima Wewe?
Nasubiri jibu lenu ili nianze kulifanyia Mazoezi mapema na nilizoee pia kwani Maji yameshavurugika tayari.