Ikitokea bahati mbaya mtu kama Lissu na wafuasi wake wa Itikadi kali anakuwa Rais, tutarajie hali ya vyuma kukaza kama awamu ya Magufuli

Ikitokea bahati mbaya mtu kama Lissu na wafuasi wake wa Itikadi kali anakuwa Rais, tutarajie hali ya vyuma kukaza kama awamu ya Magufuli

Jiandaeni kisaikolojia tu, maana ni yeye
Lisu hata Sasa akiwa chairman wa Chadomo hana Cha kuniharibia maana hana Dola ataishia kibwata tuu with zero results.

Nitakuwepo hapa kuwakumbusha
 
Ikitokea bahati mbaya kibaraka na roporopo Lisu anakuwa Rais basi Tutarajie Ujamaa mwingine kurudi Tanzania zaidi ya ule wa awamu ya Magufuli.

Hao watu wanafanana Kwa Kila kitu tofauti Yao ni Vyama vya siasa na in fact huyo Lisu anaweza kuwa Dikteta zaidi ya Mwendazake.

Sifa za hao watu ni kama ifuatavyo,

1. Wanachukia wenye hela

Kiasi kwamba Kila jambo alifanya mwenye hela wanaita rushwa au hongo.

2. Wanachukia Wawekezaji

Hao Jamaa kwao uwekezaji ni kuuza Nchi,kugawa Rasilimali za Nchi na Kwa Lugha Yao kwamba watu wa Nje wanasomba tuu .Kumbuka Lisu Huwa anamsifia Magufuli kwamba alikuwa analinda Rasilimali za Nchi.

3. Wana majivuno ya kuona Wana Akili kuliko wengine

Mojawapo ya sifa za hao Jamaa ni kujiona Wana akili sana kuliko watu wote kiasi kwamba mawazo Yao ndio sahihi ila wengine hapana.
Hao Jamaa wote 2 Wana uwezo mkubwa sana wa kukariri mambo na kumbukumbu ndio maana Huwa huwakuti wanatumia reference mda mwingi.

4. Hao Hawawaamini Wengine Wala mawazo Yao

Hao mabwana mda wote Huwa wanahisi wanadanganywa au watadanganywa so usitarajie kwamba wao wanaweza pokea ushauri sana sana wataleta dharau.Kila mtu wanamuona ni mwizi na fisadi,ni watu wenye chaji na mitizamo hasi zaidi kuliko Chanya.

5. Wana misimamo mikali ya ujamaa

Hao mabwana ni wahafidhina,sifa Yao kuu ni kutokubali Mabadiliko na wako radhi kutumikia propaganda kuliko uhalisia.

Wakigundua wamekosea watatafuta visingizio vya kuangushia jumba bovu wengine.Kichaka Chao kikubwa Huwa ni wanyonge.Kiufupi wanaishi Kwa hisia na mihemko zaidi kuliko uhalisia.

6. Ni watu wa mihemko na hisia zaidi

Hao watu wa hivyo Huwa wanakawaida ya kufanya maamuzi Kwa mihemko na kukurupuka bila kutafakari,hawanaga utulivu wakidhani eti kufanya hivyo kunafanya waonekane ni majasiri.Mda wote wamekunja ndita,sura kama wanafoka nk.

7. Neno Haki ndio msingi wa propaganda zao

Katika kutekeleza hicho wanachoita Haki huishia kukandamiza Haki za msingi za wengine na kuumiza watu bila sababu Kwa kuwaonea Ili kufurahisha washabiki wao.
Neno Haki hutumika vibaya kuhalalisha udikteta.

Angalizo

Watu wa hivyo ni hatari sana Kwa ustawi wa Maisha, biashara na Uchumi.

Ikitokea bahati mbaya tuu mtu kama kibaraka Lisu kuwa Rais basi mjue nyakati ngumu zile za awamu ya 5 zitarudi. Vilio vya vyuma Kukaza,propaganda Kwa Wingi,vitisho na kujifanya mtetezi wa wanyonge ndio utakuwa wimbo na Chaka la kufichia udhaifu.

Hutokuja kusikia mambo ya uwekezaji Wala biashara kushamiri mtaani ,hapo Serikali itashuka hatamu,hao watu Huwa na siasa za visasi.
Umetaka tu kumsema magufuli kwa kivuli cha lissu hao ni watu wawili tofauti!
 
Ikitokea bahati mbaya kibaraka na roporopo Lisu anakuwa Rais basi Tutarajie Ujamaa mwingine kurudi Tanzania zaidi ya ule wa awamu ya Magufuli.

Hao watu wanafanana Kwa Kila kitu tofauti Yao ni Vyama vya siasa na in fact huyo Lisu anaweza kuwa Dikteta zaidi ya Mwendazake.

Sifa za hao watu ni kama ifuatavyo,

1. Wanachukia wenye hela

Kiasi kwamba Kila jambo alifanya mwenye hela wanaita rushwa au hongo.

2. Wanachukia Wawekezaji

Hao Jamaa kwao uwekezaji ni kuuza Nchi,kugawa Rasilimali za Nchi na Kwa Lugha Yao kwamba watu wa Nje wanasomba tuu .Kumbuka Lisu Huwa anamsifia Magufuli kwamba alikuwa analinda Rasilimali za Nchi.

3. Wana majivuno ya kuona Wana Akili kuliko wengine

Mojawapo ya sifa za hao Jamaa ni kujiona Wana akili sana kuliko watu wote kiasi kwamba mawazo Yao ndio sahihi ila wengine hapana.
Hao Jamaa wote 2 Wana uwezo mkubwa sana wa kukariri mambo na kumbukumbu ndio maana Huwa huwakuti wanatumia reference mda mwingi.

4. Hao Hawawaamini Wengine Wala mawazo Yao

Hao mabwana mda wote Huwa wanahisi wanadanganywa au watadanganywa so usitarajie kwamba wao wanaweza pokea ushauri sana sana wataleta dharau.Kila mtu wanamuona ni mwizi na fisadi,ni watu wenye chaji na mitizamo hasi zaidi kuliko Chanya.

5. Wana misimamo mikali ya ujamaa

Hao mabwana ni wahafidhina,sifa Yao kuu ni kutokubali Mabadiliko na wako radhi kutumikia propaganda kuliko uhalisia.

Wakigundua wamekosea watatafuta visingizio vya kuangushia jumba bovu wengine.Kichaka Chao kikubwa Huwa ni wanyonge.Kiufupi wanaishi Kwa hisia na mihemko zaidi kuliko uhalisia.

6. Ni watu wa mihemko na hisia zaidi

Hao watu wa hivyo Huwa wanakawaida ya kufanya maamuzi Kwa mihemko na kukurupuka bila kutafakari,hawanaga utulivu wakidhani eti kufanya hivyo kunafanya waonekane ni majasiri.Mda wote wamekunja ndita,sura kama wanafoka nk.

7. Neno Haki ndio msingi wa propaganda zao

Katika kutekeleza hicho wanachoita Haki huishia kukandamiza Haki za msingi za wengine na kuumiza watu bila sababu Kwa kuwaonea Ili kufurahisha washabiki wao.
Neno Haki hutumika vibaya kuhalalisha udikteta.

Angalizo

Watu wa hivyo ni hatari sana Kwa ustawi wa Maisha, biashara na Uchumi.

Ikitokea bahati mbaya tuu mtu kama kibaraka Lisu kuwa Rais basi mjue nyakati ngumu zile za awamu ya 5 zitarudi. Vilio vya vyuma Kukaza,propaganda Kwa Wingi,vitisho na kujifanya mtetezi wa wanyonge ndio utakuwa wimbo na Chaka la kufichia udhaifu.

Hutokuja kusikia mambo ya uwekezaji Wala biashara kushamiri mtaani ,hapo Serikali itashuka hatamu,hao watu Huwa na siasa za visasi.
Mafisadi wa ccm mjiandae Heche na Lissu wanakuja
 
Ikitokea bahati mbaya kibaraka na roporopo Lisu anakuwa Rais basi Tutarajie Ujamaa mwingine kurudi Tanzania zaidi ya ule wa awamu ya Magufuli.

Hao watu wanafanana Kwa Kila kitu tofauti Yao ni Vyama vya siasa na in fact huyo Lisu anaweza kuwa Dikteta zaidi ya Mwendazake.

Sifa za hao watu ni kama ifuatavyo,

1. Wanachukia wenye hela

Kiasi kwamba Kila jambo alifanya mwenye hela wanaita rushwa au hongo.

2. Wanachukia Wawekezaji

Hao Jamaa kwao uwekezaji ni kuuza Nchi,kugawa Rasilimali za Nchi na Kwa Lugha Yao kwamba watu wa Nje wanasomba tuu .Kumbuka Lisu Huwa anamsifia Magufuli kwamba alikuwa analinda Rasilimali za Nchi.

3. Wana majivuno ya kuona Wana Akili kuliko wengine

Mojawapo ya sifa za hao Jamaa ni kujiona Wana akili sana kuliko watu wote kiasi kwamba mawazo Yao ndio sahihi ila wengine hapana.
Hao Jamaa wote 2 Wana uwezo mkubwa sana wa kukariri mambo na kumbukumbu ndio maana Huwa huwakuti wanatumia reference mda mwingi.

4. Hao Hawawaamini Wengine Wala mawazo Yao

Hao mabwana mda wote Huwa wanahisi wanadanganywa au watadanganywa so usitarajie kwamba wao wanaweza pokea ushauri sana sana wataleta dharau.Kila mtu wanamuona ni mwizi na fisadi,ni watu wenye chaji na mitizamo hasi zaidi kuliko Chanya.

5. Wana misimamo mikali ya ujamaa

Hao mabwana ni wahafidhina,sifa Yao kuu ni kutokubali Mabadiliko na wako radhi kutumikia propaganda kuliko uhalisia.

Wakigundua wamekosea watatafuta visingizio vya kuangushia jumba bovu wengine.Kichaka Chao kikubwa Huwa ni wanyonge.Kiufupi wanaishi Kwa hisia na mihemko zaidi kuliko uhalisia.

6. Ni watu wa mihemko na hisia zaidi

Hao watu wa hivyo Huwa wanakawaida ya kufanya maamuzi Kwa mihemko na kukurupuka bila kutafakari,hawanaga utulivu wakidhani eti kufanya hivyo kunafanya waonekane ni majasiri.Mda wote wamekunja ndita,sura kama wanafoka nk.

7. Neno Haki ndio msingi wa propaganda zao

Katika kutekeleza hicho wanachoita Haki huishia kukandamiza Haki za msingi za wengine na kuumiza watu bila sababu Kwa kuwaonea Ili kufurahisha washabiki wao.
Neno Haki hutumika vibaya kuhalalisha udikteta.

Angalizo

Watu wa hivyo ni hatari sana Kwa ustawi wa Maisha, biashara na Uchumi.

Ikitokea bahati mbaya tuu mtu kama kibaraka Lisu kuwa Rais basi mjue nyakati ngumu zile za awamu ya 5 zitarudi. Vilio vya vyuma Kukaza,propaganda Kwa Wingi,vitisho na kujifanya mtetezi wa wanyonge ndio utakuwa wimbo na Chaka la kufichia udhaifu.

Hutokuja kusikia mambo ya uwekezaji Wala biashara kushamiri mtaani ,hapo Serikali itashuka hatamu,hao watu Huwa na siasa za visasi.


Tofauti kubwa ni kwamba Magufuli hakupenda demokrasia. Magufuli alitaka udikteta . Hii ni tofauti kubwa sana sana
 
Tofauti kubwa ni kwamba Magufuli hakupenda demokrasia. Magufuli alitaka udikteta . Hii ni tofauti kubwa sana sana
Lugha ya Demokrasia ni ya kutafutia madaraka 😆😆

Tangu lini watu wenye misimamo mikali wanapenda Demokrasia?
 
Hivi
Ikitokea bahati mbaya kibaraka na roporopo Lisu anakuwa Rais basi Tutarajie Ujamaa mwingine kurudi Tanzania zaidi ya ule wa awamu ya Magufuli.

Hao watu wanafanana Kwa Kila kitu tofauti Yao ni Vyama vya siasa na in fact huyo Lisu anaweza kuwa Dikteta zaidi ya Mwendazake.

Sifa za hao watu ni kama ifuatavyo,

1. Wanachukia wenye hela

Kiasi kwamba Kila jambo alifanya mwenye hela wanaita rushwa au hongo.

2. Wanachukia Wawekezaji

Hao Jamaa kwao uwekezaji ni kuuza Nchi,kugawa Rasilimali za Nchi na Kwa Lugha Yao kwamba watu wa Nje wanasomba tuu .Kumbuka Lisu Huwa anamsifia Magufuli kwamba alikuwa analinda Rasilimali za Nchi.

3. Wana majivuno ya kuona Wana Akili kuliko wengine

Mojawapo ya sifa za hao Jamaa ni kujiona Wana akili sana kuliko watu wote kiasi kwamba mawazo Yao ndio sahihi ila wengine hapana.
Hao Jamaa wote 2 Wana uwezo mkubwa sana wa kukariri mambo na kumbukumbu ndio maana Huwa huwakuti wanatumia reference mda mwingi.

4. Hao Hawawaamini Wengine Wala mawazo Yao

Hao mabwana mda wote Huwa wanahisi wanadanganywa au watadanganywa so usitarajie kwamba wao wanaweza pokea ushauri sana sana wataleta dharau.Kila mtu wanamuona ni mwizi na fisadi,ni watu wenye chaji na mitizamo hasi zaidi kuliko Chanya.

5. Wana misimamo mikali ya ujamaa

Hao mabwana ni wahafidhina,sifa Yao kuu ni kutokubali Mabadiliko na wako radhi kutumikia propaganda kuliko uhalisia.

Wakigundua wamekosea watatafuta visingizio vya kuangushia jumba bovu wengine.Kichaka Chao kikubwa Huwa ni wanyonge.Kiufupi wanaishi Kwa hisia na mihemko zaidi kuliko uhalisia.

6. Ni watu wa mihemko na hisia zaidi

Hao watu wa hivyo Huwa wanakawaida ya kufanya maamuzi Kwa mihemko na kukurupuka bila kutafakari,hawanaga utulivu wakidhani eti kufanya hivyo kunafanya waonekane ni majasiri.Mda wote wamekunja ndita,sura kama wanafoka nk.

7. Neno Haki ndio msingi wa propaganda zao

Katika kutekeleza hicho wanachoita Haki huishia kukandamiza Haki za msingi za wengine na kuumiza watu bila sababu Kwa kuwaonea Ili kufurahisha washabiki wao.
Neno Haki hutumika vibaya kuhalalisha udikteta.

Angalizo

Watu wa hivyo ni hatari sana Kwa ustawi wa Maisha, biashara na Uchumi.

Ikitokea bahati mbaya tuu mtu kama kibaraka Lisu kuwa Rais basi mjue nyakati ngumu zile za awamu ya 5 zitarudi. Vilio vya vyuma Kukaza,propaganda Kwa Wingi,vitisho na kujifanya mtetezi wa wanyonge ndio utakuwa wimbo na Chaka la kufichia udhaifu.

Hutokuja kusikia mambo ya uwekezaji Wala biashara kushamiri mtaani ,hapo Serikali itashuka hatamu,hao watu Huwa na siasa za visasi.
Hivi ndivyo matapeli yalivyo. Huhofia viongozi wenye maono na weledi. Wewe tapeli usingeweza kumkubali magufuli kwasababu alikutumbua na mavyeti Yako fake. Akili za kishetani na ni Bora mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Ikitokea bahati mbaya kibaraka na roporopo Lisu anakuwa Rais basi Tutarajie Ujamaa mwingine kurudi Tanzania zaidi ya ule wa awamu ya Magufuli.

Hao watu wanafanana Kwa Kila kitu tofauti Yao ni Vyama vya siasa na in fact huyo Lisu anaweza kuwa Dikteta zaidi ya Mwendazake.

Sifa za hao watu ni kama ifuatavyo,

1. Wanachukia wenye hela

Kiasi kwamba Kila jambo alifanya mwenye hela wanaita rushwa au hongo.

2. Wanachukia Wawekezaji

Hao Jamaa kwao uwekezaji ni kuuza Nchi,kugawa Rasilimali za Nchi na Kwa Lugha Yao kwamba watu wa Nje wanasomba tuu .Kumbuka Lisu Huwa anamsifia Magufuli kwamba alikuwa analinda Rasilimali za Nchi.

3. Wana majivuno ya kuona Wana Akili kuliko wengine

Mojawapo ya sifa za hao Jamaa ni kujiona Wana akili sana kuliko watu wote kiasi kwamba mawazo Yao ndio sahihi ila wengine hapana.
Hao Jamaa wote 2 Wana uwezo mkubwa sana wa kukariri mambo na kumbukumbu ndio maana Huwa huwakuti wanatumia reference mda mwingi.

4. Hao Hawawaamini Wengine Wala mawazo Yao

Hao mabwana mda wote Huwa wanahisi wanadanganywa au watadanganywa so usitarajie kwamba wao wanaweza pokea ushauri sana sana wataleta dharau.Kila mtu wanamuona ni mwizi na fisadi,ni watu wenye chaji na mitizamo hasi zaidi kuliko Chanya.

5. Wana misimamo mikali ya ujamaa

Hao mabwana ni wahafidhina,sifa Yao kuu ni kutokubali Mabadiliko na wako radhi kutumikia propaganda kuliko uhalisia.

Wakigundua wamekosea watatafuta visingizio vya kuangushia jumba bovu wengine.Kichaka Chao kikubwa Huwa ni wanyonge.Kiufupi wanaishi Kwa hisia na mihemko zaidi kuliko uhalisia.

6. Ni watu wa mihemko na hisia zaidi

Hao watu wa hivyo Huwa wanakawaida ya kufanya maamuzi Kwa mihemko na kukurupuka bila kutafakari,hawanaga utulivu wakidhani eti kufanya hivyo kunafanya waonekane ni majasiri.Mda wote wamekunja ndita,sura kama wanafoka nk.

7. Neno Haki ndio msingi wa propaganda zao

Katika kutekeleza hicho wanachoita Haki huishia kukandamiza Haki za msingi za wengine na kuumiza watu bila sababu Kwa kuwaonea Ili kufurahisha washabiki wao.
Neno Haki hutumika vibaya kuhalalisha udikteta.

Angalizo

Watu wa hivyo ni hatari sana Kwa ustawi wa Maisha, biashara na Uchumi.

Ikitokea bahati mbaya tuu mtu kama kibaraka Lisu kuwa Rais basi mjue nyakati ngumu zile za awamu ya 5 zitarudi. Vilio vya vyuma Kukaza,propaganda Kwa Wingi,vitisho na kujifanya mtetezi wa wanyonge ndio utakuwa wimbo na Chaka la kufichia udhaifu.

Hutokuja kusikia mambo ya uwekezaji Wala biashara kushamiri mtaani ,hapo Serikali itashuka hatamu,hao watu Huwa na siasa za visasi.
Wewe mnafiki.
Kwa hiyo leo unamkana hayati J.P.Magufuli na sera zake za utawala?.
 
Wale waliosimamishiwa Ajira walikuwa mafisadi?

Waliofukuzwa utumishi standard seven Kwa visingizio vya vyeti hewa walikuwa mafisadi?

Mbona utajiri wake kule Chato hauusemi Ili tupime ni fisadi au hapana?
Sasa vyeti feki ulitaka wabembelezwe tena ilibidi wanyongwe kabisa Kwa kufoji nyaraka
 
Mafisadi wa ccm mjiandae Heche na Lissu wanakuja
Wanakuja kama kina nani? Makelele haya hayana tofauti na wakati wa Mwabukusi ila results ni zero.

Watu wanaweza kupata shida kama Lisu akiwa Rais na si vinginevyo
 
Wewe mnafiki.
Kwa hiyo leo unamkana hayati J.P.Magufuli na sera zake za utawala?.
Tangu lini nikawa mshabiki wa Mwendazake? Nilimpinga kabla na hata baada ya kuwa Rais na hata Sasa.

Ndio maana nawatahadharisha watu wengine wa dizaini hiyo.
 
Lugha ya Demokrasia ni ya kutafutia madaraka 😆😆

Tangu lini watu wenye misimamo mikali wanapenda Demokrasia?


Wewe kama mpaka Leo hii unafikiri Lissu anapigania udikteta naona upo kwenye ndoto nono. Lissu watu wanajua kuanzia 1986! Hajawahi kuwa mbabaishaji huyu jamaa ni special case
 
Ikitokea bahati mbaya kibaraka na roporopo Lisu anakuwa Rais basi Tutarajie Ujamaa mwingine kurudi Tanzania zaidi ya ule wa awamu ya Magufuli.

Hao watu wanafanana Kwa Kila kitu tofauti Yao ni Vyama vya siasa na in fact huyo Lisu anaweza kuwa Dikteta zaidi ya Mwendazake.

Sifa za hao watu ni kama ifuatavyo,

1. Wanachukia wenye hela

Kiasi kwamba Kila jambo alifanya mwenye hela wanaita rushwa au hongo.

2. Wanachukia Wawekezaji

Hao Jamaa kwao uwekezaji ni kuuza Nchi,kugawa Rasilimali za Nchi na Kwa Lugha Yao kwamba watu wa Nje wanasomba tuu .Kumbuka Lisu Huwa anamsifia Magufuli kwamba alikuwa analinda Rasilimali za Nchi.

3. Wana majivuno ya kuona Wana Akili kuliko wengine

Mojawapo ya sifa za hao Jamaa ni kujiona Wana akili sana kuliko watu wote kiasi kwamba mawazo Yao ndio sahihi ila wengine hapana.
Hao Jamaa wote 2 Wana uwezo mkubwa sana wa kukariri mambo na kumbukumbu ndio maana Huwa huwakuti wanatumia reference mda mwingi.

4. Hao Hawawaamini Wengine Wala mawazo Yao

Hao mabwana mda wote Huwa wanahisi wanadanganywa au watadanganywa so usitarajie kwamba wao wanaweza pokea ushauri sana sana wataleta dharau.Kila mtu wanamuona ni mwizi na fisadi,ni watu wenye chaji na mitizamo hasi zaidi kuliko Chanya.

5. Wana misimamo mikali ya ujamaa

Hao mabwana ni wahafidhina,sifa Yao kuu ni kutokubali Mabadiliko na wako radhi kutumikia propaganda kuliko uhalisia.

Wakigundua wamekosea watatafuta visingizio vya kuangushia jumba bovu wengine.Kichaka Chao kikubwa Huwa ni wanyonge.Kiufupi wanaishi Kwa hisia na mihemko zaidi kuliko uhalisia.

6. Ni watu wa mihemko na hisia zaidi

Hao watu wa hivyo Huwa wanakawaida ya kufanya maamuzi Kwa mihemko na kukurupuka bila kutafakari,hawanaga utulivu wakidhani eti kufanya hivyo kunafanya waonekane ni majasiri.Mda wote wamekunja ndita,sura kama wanafoka nk.

7. Neno Haki ndio msingi wa propaganda zao

Katika kutekeleza hicho wanachoita Haki huishia kukandamiza Haki za msingi za wengine na kuumiza watu bila sababu Kwa kuwaonea Ili kufurahisha washabiki wao.
Neno Haki hutumika vibaya kuhalalisha udikteta.

Angalizo

Watu wa hivyo ni hatari sana Kwa ustawi wa Maisha, biashara na Uchumi.

Ikitokea bahati mbaya tuu mtu kama kibaraka Lisu kuwa Rais basi mjue nyakati ngumu zile za awamu ya 5 zitarudi. Vilio vya vyuma Kukaza,propaganda Kwa Wingi,vitisho na kujifanya mtetezi wa wanyonge ndio utakuwa wimbo na Chaka la kufichia udhaifu.

Hutokuja kusikia mambo ya uwekezaji Wala biashara kushamiri mtaani ,hapo Serikali itashuka hatamu,hao watu Huwa na siasa za visasi.

..Tundu Lissu mara kadhaa amesisitiza hataka Uraisi wenye mamlaka ya kimungu mtu kama Maraisi tulionao sasa hivi.

..Na Tundu Lissu hapendi kabisa uonevu wa serikali dhidi ya wananchi.

..Kitu kilichomsukuma Lissu kuingia harakati za kutetea haki ni experience yake akiwa mdogo kuhusu uonevu wa serikali wakati wa operesheni za vijiji vya ujamaa.

..Mwanasiasa mwenye makuzi hayo, na mwenye kuamini katika Katiba na Utawala wa haki, hawezi kuwa dikteta na mvunja haki.
 
Hivi

Hivi ndivyo matapeli yalivyo. Huhofia viongozi wenye maono na weledi. Wewe tapeli usingeweza kumkubali magufuli kwasababu alikutumbua na mavyeti Yako fake. Akili za kishetani na ni Bora mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
Maono gani ndugu ikiwa hata Ajira za kuajiriwa zilipukutika achilia mbali kujiajiri?

Hizo Sasa ndio Lugha za watu niliowajadili kwenye mada,mihemko na propaganda ndio msingi wa hoja na maamuzi Yao na hudanganya watu maskini.

Mwisho uliza wale maskini waliokuwa wanadanganywa na Mwendazake kama Hali Yao kimaisha ilibadilika kama sio.kuzidi.kuwa mafukara.

Lakini Kwa waliberali wanabadilisha hali maskini wanakuwa na pesa kama.unavyoona Sasa,mafundi wanakimbia kazi pesa ipo.
 
Ni huruma zake tu unafikiri kwanini wamelipwa stahiki zao lakini hawajarudishwa kazini?
Darasa la saba wamerudoshwa kazini Kwa sharti la kujiendeleza.

Hao wengine haihitaji kuwa mjamaa Ili kuwaondoa .

Mwisho Tija ilikuwa ipi mbona alizalisha mass unemployment?
 
Back
Top Bottom