Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejikatia tamaa tu, lolote na liwe ila nimecheka sana.Ni kujifunza kichina pamoja na kupokea dini mpya Buddhist.
Mambo ya Demokrasia sahauIkitokea China amekuwa super power, hali ya Dunia itakuweje? Je tutanyanyasika duniani? Demokrasia, Uhuru itakuweje. Nchi za kiAfrica Mambo yatakuweje?
Toa maoni yako
Duniani patakuwa ni mahali pabaya sana pa kuishi.Ikitokea China amekuwa super power, hali ya Dunia itakuweje? Je tutanyanyasika duniani? Demokrasia, Uhuru itakuweje. Nchi za kiAfrica Mambo yatakuweje?
Toa maoni yako
Sio kukata tamaaa ndio mfumo wa dunia ulivyo dhaifu atacheza ngoma za wakubwa tuu la sivyo apambane asimike pesa na utamaduni wake kwa dunia.Umejikatia tamaa tu, lolote na liwe ila nimecheka sana.
Unaelewa maana ya kuwa "superpower" ni nini au umekurupuka tu?Ikitokea China amekuwa super power, hali ya Dunia itakuweje? Je tutanyanyasika duniani? Demokrasia, Uhuru itakuweje. Nchi za kiAfrica Mambo yatakuweje?
Toa maoni yako
Unaelewa maana ya kuwa "superpower" ni nini au umekurupuka tu?
China ni "super power" kutokea zamani sana, pengine kabla hjazaliwa. China imekuwa "superpower" rasmi mnamo October 1964.
Upo hapo ulip
China hii yenye GDP ( 18 billion usd)Unaelewa maana ya kuwa "superpower" ni nini au umekurupuka tu?
China ni "super power" kutokea zamani sana, pengine kabla hjazaliwa. China imekuwa "superpower" rasmi mnamo October 1964.
Upo hapo ulipo?
threadclosed!!Hakutakuja kuwa na Superpower mpya mpaka lugha yake na hela yake ije kutamba duniani, hilo halipo na hamna hata dalili.
Ni 18 trillion usd acha kukurupukaChina hii yenye GDP ( 18 billion usd)
Awe mara ngapiIkitokea China amekuwa super power, hali ya Dunia itakuweje? Je tutanyanyasika duniani? Demokrasia, Uhuru itakuweje. Nchi za kiAfrica Mambo yatakuweje?
Toa maoni yako