Ikitokea China amekuwa super power

Ikitokea China amekuwa super power

Wakuitoa marekani kwenye kutawala Dunia ni Ufalme wa Mungu tu,ila haya mataifa hapa duniani hayawezi na hayatoweza kamwe.
 
Wakumtegemea Mwenyewe Mchina na Mrusi Leo Wimbi La Wakimbizi Dunia Nzima Wanataka Kwenda US na Ulaya Kutafuta Maisha Mbona Hawashobokei China Au Urusi
 
Hawa waarabu na waafrika walivyo na akili ndogo bila kuingiliwa wangekuwa km wanyama
Uzuri wa China huwa haingilii maswala ya Mataifa mengine!
Tofauti na Marekani na washirika wake ambao wanaingilia maswala ya mataifa mengine!
Nadhani dunia itakuwa katika Utulivu usiokuwa wa kawaida! Dunia itakuwa salama!
 
Back
Top Bottom