Ikitokea Ghafla Ukakutana na Mh Raisi Magufuli

Mimi ningemshauri arudie zile pushapu alizokuwa anapiga wakati wa kampeni zina maslai kwa sasa. Wakati tunafuturu uji usio na sukari ?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
ntamwambia aliowatumbua ni wachache safari hii atumie panga kutumbua mpaka tunyooke.pia ntamwambia abadili katiba atawale mpaka 2045 kwani sasa ndiyo tunaye rais.pia waficha sukari wanyongwe kwa kuhujumu uchumi
 
Kwa Kuwa Watz wengi tunalalamika sana ama kusengenya sana

Ukikutana na Rais Magufuli Utamuuliza swali gani?

au utamwambia nini cha maana kwake na kwa Taifa?
kwanza kabisa ajue wapinzani sio maadui na ashirikiane nao maana wao ndo walliiamsha serikali,,,pili aheshimu sana tena sana mihimili mitatatu ya serikanili,,,,aache watu waandamane kwa kibali cha polisi maana ndo demokrasia toka Enzi za roma,,,,na mwisho hakuna adui mmbaya kama kivuli chako mwenyewe
 
Ningemwambia asiwe anakurupuka kwa kila jambo bali awenafanya tafiti anapotaka kufanya jambo linalogusa wanachi wote, mfano suala la sukari iwe nifundisho asijaribu katika mitumba kama unavyosemwa kuwa kuna mpango wa kupiga marufuku, tutakufavihoro siye wenye vipato vya chini
 
Kwa Kuwa Watz wengi tunalalamika sana ama kusengenya sana

Ukikutana na Rais Magufuli Utamuuliza swali gani?

au utamwambia nini cha maana kwake na kwa Taifa?

Nitamwambia aachane na issue ya kina Jesca inampotezea points afocus kwenye mambo yenye hadhi ya kiti chake!
 
Inategemea katika anga za nani kila mtu na anga zake.
 
HATA SUALA LA WANAFUNZI WA UDOM
 
Nitamsisitiza sana aangalie kwa kina Wizara ya Mali Asili na Utalii na Makumbusho za taifa.
 
bado hatuweza ku tape all the resources from this sector ...naunga mkono hoja
Nitamsisitiza sana aangalie kwa kina Wizara ya Mali Asili na Utalii na Makumbusho za taifa.
 
bado hatuweza ku tape all the resources from this sector ...naunga mkono hoja

Hii sekta ikiwekwa vizuri inaweza pia kuingiza pesa nyingi katika nchi na pia ni heritage ya watanzania. Tanzania ni nchi ya pekee sana katika utajiri wa mali asili na culture mpaka tupo kwenye world wonders kuu za dunia.

Tatizo utawala wake una miaka zaidi ya 16 sasa, madirector hawabadilishwi, sekta ya mali asili na sekta ya makumbusho hazina ushirikiano, tafiti za mambo kale hazipewi kipaumbele, ajira kwa vijana wa mali asili na mambo kale ni ndogo, miradi ya makumbusho kuu ya Laetoli pesa zinachezewa, kila mkoa ulipaswa kuwa na nyumba ya makumbusho kuonyesha uhifadhi wa mali asili na mambo kale yake kwa kila mwananchi na wageni kuona na kujifunza, sylabus ya History haijabadilishwa kuendana na tafiti za sasa, wanyama wanasafirishwa, kampuni zilizokatazwa kuwinda wanyama katika nchi za Africa huku kwetu Tanzania bado wanaendelea kuwinda na kuna videos youtube wanashare ujinga wao, n.k
 
nad
naamini akipita atauona huu uchambuzi wako ama hata wapambe wake
 
Kwa Kuwa Watz wengi tunalalamika sana ama kusengenya sana

Ukikutana na Rais Magufuli Utamuuliza swali gani?

au utamwambia nini cha maana kwake na kwa Taifa?
Nitamuuliza vipi elimu yake ya secondary mbona inatia mashaka au alikuwa anaunga unga. Secondary tatu Katoke Seminary, Lake High Schoo, Mkwawa High school?
First Name: Dr. John

  • EDUCATION
Chato Primary School (1967-1984) ?
Primary School

Lake Secondary School - Mwanza (1977-1978)
Secondary School


Katoke Seminary Biharamulo, Kagera (1975-1977)
Secondary School (CSE)


Mkwawa High School (1979-1981)
Secondary School


Mkwawa College of Education
Diploma in Education (Sc.) Chem, Maths&Edu. (1981-1982) Diploma


University of Dar es Salaam
B.Sc Ed. (Hons) Chem.&Maths (1985-1988) Bachelors Degree

Salford -U.K.
M. Sc. (Chem) 1991 1994 Masters Degree

University of Dar es Salaam.
PhD (Chem) 2006 2009 PhD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…