Ikitokea Ghafla Ukakutana na Mh Raisi Magufuli

Ikitokea Ghafla Ukakutana na Mh Raisi Magufuli

Ningemshauri asipende kukasirika pale anapokosolewa , pia ziara yake ya kwanza nje ya nchi aje Sweden.
 
Ningemshauri asipende kukasirika pale anapokosolewa , pia ziara yake ya kwanza nje ya nchi aje Sweden.
Atumbue majipu yote pale Stockholm (embassy) maana ule ubalozi ni kero kubwa
 
Shule za kata zote zijengewe mabweni ili wanafunzi wachanganyike toka Sehemu mbalimbali vinginevyo ukabila unarudi kwa kasi
 
Back
Top Bottom