Ikitokea kenya wakachoma mabank zikiwemo pesa hasara inakuwa ya nani na nani atalipa?

Ikitokea kenya wakachoma mabank zikiwemo pesa hasara inakuwa ya nani na nani atalipa?

umenikumbusha
wale wezi wa mbagala, waliiba ATM, wakatokomea nayo, wakaipiga bomu , hakuna kilichotoka
 
Insurance company itawalipa wananchi na mabenk kwa hiyo hasara itakuwa kwa insurance company na serikali.
 
BANK ziko n BIMA. Na sio VIKOBA





KAZI ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom