D deblabant JF-Expert Member Joined Oct 7, 2022 Posts 2,650 Reaction score 4,065 Jun 26, 2024 #1 Hili swali nimejiuliza sana mana wanakoelekea wanaweza kucoma.mabank.
dronedrake JF-Expert Member Joined Dec 25, 2013 Posts 23,901 Reaction score 58,103 Jun 26, 2024 #2 umenikumbusha wale wezi wa mbagala, waliiba ATM, wakatokomea nayo, wakaipiga bomu , hakuna kilichotoka
umenikumbusha wale wezi wa mbagala, waliiba ATM, wakatokomea nayo, wakaipiga bomu , hakuna kilichotoka
B Bando la wiki JF-Expert Member Joined May 23, 2023 Posts 911 Reaction score 3,017 Jun 26, 2024 #3 Insurance company itawalipa wananchi na mabenk kwa hiyo hasara itakuwa kwa insurance company na serikali.
Insurance company itawalipa wananchi na mabenk kwa hiyo hasara itakuwa kwa insurance company na serikali.
Mr Devil JF-Expert Member Joined Jul 7, 2019 Posts 12,445 Reaction score 27,920 Jun 26, 2024 #4 dronedrake said: umenikumbusha wale wezi wa mbagala, waliiba ATM, wakatokomea nayo, wakaipiga bomu , hakuna kilichotoka Click to expand... I don't buy this one
dronedrake said: umenikumbusha wale wezi wa mbagala, waliiba ATM, wakatokomea nayo, wakaipiga bomu , hakuna kilichotoka Click to expand... I don't buy this one
kawombe JF-Expert Member Joined Mar 26, 2015 Posts 14,239 Reaction score 15,876 Jun 26, 2024 #5 BANK ziko n BIMA. Na sio VIKOBA KAZI ni kipimo cha UTU