Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,882
- 2,560
Ngoja tusikie maoni yao,wakiridhia tuwapigie kampeni.Hahahaa. Nimewawazia tu ila kama wanaupenda basi nitawapitisha rasmi.
Si unajua tena idara nyingine zinataka moyo sababu hazina kulog out jf yaani kila saa inatakiwa kuchungulia kama umbea upo. Lol