Ikitokea kwako utafanyaje?

Ikitokea kwako utafanyaje?

wewe ni mwanamke/mwanaume una rafiki ambae mlipatana sana na kuheshimiana. wewe umeoa/kuolewa nae pia ana mwenzi wake, sasa inatokea kwenye ndoa yako kuna migogoro mingi inayopelekea hata kuiona ndoa chungu. rafiki yako huyu humshirikisha katika maamuzi shida zake na ni mshauri wako mzuri.

inatokea cku moja unaenda kwake baada ya kukorofishana na mwenzi wako huko home na unamkuta mwenyewe katika ile kukupoza upunguze hasira mnajikuta mko katika step nyingine ambayo hukutarjia na at the end mnafanya kitendo ambacho kimekua majuto kwako mpaka leo hii hutamani kumwona huyo rafiki tena!

...hii ni kawaida, tena inatokea sana. Ndio maana tunashauriwa unapokuwa na grievances za ndoa (hasa nyie kina mama!) ni bora kuwa muwazi kwa mumeo, au angalau kwa ndugu wa kike wa mumeo.

Miaka ya karibuni kuna chat up line mpya zimekuwa zinatumika sana kuwanasa wanawale walio kwenye ndoa, mojawapo ikiwa ni "...unaonekana hauna furaha kwenye ndoa yako!",... IQ ya mkeo ikiwa sawa na size ya kiatu chake, mmekwisha.
 
...hii ni kawaida, tena inatokea sana. Ndio maana tunashauriwa unapokuwa na grievances za ndoa (hasa nyie kina mama!) ni bora kuwa muwazi kwa mumeo, au angalau kwa ndugu wa kike wa mumeo.

Miaka ya karibuni kuna chat up line mpya zimekuwa zinatumika sana kuwanasa wanawale walio kwenye ndoa, mojawapo ikiwa ni "...unaonekana hauna furaha kwenye ndoa yako!",... IQ ya mkeo ikiwa sawa na size ya kiatu chake, mmekwisha.

kumbe inatokea kwa wengi! watu hawaamini hapa
 
wewe ni mwanamke/mwanaume una rafiki ambae mlipatana sana na kuheshimiana. wewe umeoa/kuolewa nae pia ana mwenzi wake, sasa inatokea kwenye ndoa yako kuna migogoro mingi inayopelekea hata kuiona ndoa chungu. rafiki yako huyu humshirikisha katika maamuzi shida zake na ni mshauri wako mzuri.

inatokea cku moja unaenda kwake baada ya kukorofishana na mwenzi wako huko home na unamkuta mwenyewe katika ile kukupoza upunguze hasira mnajikuta mko katika step nyingine ambayo hukutarjia na at the end mnafanya kitendo ambacho kimekua majuto kwako mpaka leo hii hutamani kumwona huyo rafiki tena!

Kitendo gani hicho? Hakuna watoto humu mom hebu eleza kwa ufasaha! Alikukaribisha chai, kisha ikakumwagikia sehemu za siri au?
 
kumbe inatokea kwa wengi! watu hawaamini hapa

Inatokea kwa wengina na inaweza kumtokea mtu yoyote ndio maana unaambiwa usifanye uhusiano sana na opposite gender ....halafu kuna dini zina kataza mwanaume na mwanamke kukutana au kukaa sehemu other than public areas.... sio unamfata mtu office kwake halafu mlango unafungwa:twitch: au unamkuta nyumbani peke yako wewe unaingia...try to avoid that...
 
Mwanaume na mwanamke hawawezi kuwa marafiki wa karibu kiasi hicho! Ukikuta ni marafiki wakubwa tena wa kawaida ujue labda ni ndugu na kama sio ndugu basi aidha demu huwa anamkuwadia jamaa! Thats all!
 
Back
Top Bottom