Ikitokea Lissu kaangukia pua, ahame chama au aunde chama?

Ikitokea Lissu kaangukia pua, ahame chama au aunde chama?

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Uchaguzi una matokeo mawili makubwa, kushinda na kushindwa, na katika hayo kuna mambo mawili pia, kuridhika (kukubali) na kutoridhika (kukataa kukubali).

Lissu ninayemfahamu, huwa haamini katika kushindwa, bali kushinda.

He's such a people who believes they are always right.

Sasa ikitokea akashindwa, anaweza ku opt for two choices, Kuhamia chama kingine cha upinzani (Najua hawezi kwenda CCM maana atakuwa amekula matapishi yake mwenyewe), au Kuunda Cha kipya.

Soma Pia: Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

Katika haya mawili naona litakalomfaa sana Lissu ni kuanzisha chama.

Akiamua kujiunga na chama chochote inawezekana sana na atapokelewa kwa bashasha kubwa ila simuoni akidumu humo haswa hasa kama hatakuwa na authority.
 
Uchaguzi una matokeo mawili makubwa, kushinda na kushindwa, na katika hayo kuna mambo mawili pia, kuridhika (kukubali) na kutoridhika (kukataa kukubali).

Lissu ninayemfahamu, huwa haamini katika kushindwa, bali kushinda.

He's such a people who believes they are always right.

Sasa ikitokea akashindwa, anaweza ku opt for two choices, Kuhamia chama kingine cha upinzani (Najua hawezi kwenda CCM maana atakuwa amekula matapishi yake mwenyewe), au Kuunda Cha kipya.

Katika haya mawili naona litakalomfaa sana Lissu ni kuanzisha chama.

Akiamua kujiunga na chama chochote inawezekana sana na atapokelewa kwa bashasha kubwa ila simuoni akidumu humo haswa hasa kama hatakuwa na authority.
Ikitokea MBOWE kaanguka, je naye ahame chama au akaanzishe chama chake? Au MBOWE anatakiwa kushinda kwa kila njia?
 
Kushinda na kushindwa ndio demokrasia yenyewe sasa kukubaliana na matokeo katika uchaguzi unaokuwa huru na wa haki.

Ila sio huo ushindi kwa uchaguzi unaondeshwa kwa akili kama za Mchengerwa.
 
Arudi Ubelgiji akalijenge taifa lake na jumuiya ya ulaya
 
Ikitokea MBOWE kaanguka, je naye ahame chama au akaanzishe chama chake? Au MBOWE anatakiwa kushinda kwa kila njia?
Mbowe akishindwa hawezi kuhama chama, atajibaraguza kwa politics za hapa na pale na kuendelea kuwa 'Mzee wa Chama' au kuachana na siasa kabisa. Akiacha siasa concentration itakuwa kwenye biashara zake, uzoefu wa biashara anao.
 
Back
Top Bottom