Ikitokea Manchester City akashinda leo navuta milion 50

Ikitokea Manchester City akashinda leo navuta milion 50

Kwamba Man City na Arsenal waliosoma uzi wake na kwa makusudi wakaamua kumkosesha pesa? Au Mshindi ni Mwanga aliupitia uzi na kuamua kuchezesha mechi hiyo?

Sijapata connection hapa

.
Haya mambo ni magumu kuyaelewa sana ktk hali ya kawaida.

Tafuta humu kuna uzi mtu alileta kuwa baadhi ya mambo akimwambia mtu/mama ake huwa hayaendi kabisa ila akiongea na mshua jambo linakamilika.

Likewise, katika maisha kawaida huwa tunaambiwa tujitahidi kuwa na siri kwenye mipango binafsi tunayofanya sio kila kitu unaropoka tu.

Kuna nguvu zilizonje yetu, na kuna watu wananuksi tu akikusemea jambo lako vibaya hutoboi.

Nadhani nimejaribu kukuelezea. Pia Mshana Jr a Pascal Mayalla kuna mabandiko ama comments waliziweka juu ya kunenea watu mabaya ama mema.

Asante.
 
Back
Top Bottom