Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #281
Kawaida tu hiyoShida ilikuja ulipoweka mambo hadharani. Pole sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida tu hiyoShida ilikuja ulipoweka mambo hadharani. Pole sana.
Kwamba Man City na Arsenal waliosoma uzi wake na kwa makusudi wakaamua kumkosesha pesa? Au Mshindi ni Mwanga aliupitia uzi na kuamua kuchezesha mechi hiyo?Shida ilikuja ulipoweka mambo hadharani. Pole sana.
Acha kutupigia kelele mzeeUmewahi kuona wapi mwenye hela anafanya huo ujinga wako kwenye social media? Ila siwezi kukulaumu wakati fulani jnategemea maisha na familia uliyotokea 10mln ni big issue
Haya mambo ni magumu kuyaelewa sana ktk hali ya kawaida.Kwamba Man City na Arsenal waliosoma uzi wake na kwa makusudi wakaamua kumkosesha pesa? Au Mshindi ni Mwanga aliupitia uzi na kuamua kuchezesha mechi hiyo?
Sijapata connection hapa
.
Binti Leo unaingia barabaran😂😂
😂Ila tukija inbox usije kutuanzishia uzi