Ikitokea Manchester City akashinda leo navuta milion 50

Ikitokea Manchester City akashinda leo navuta milion 50

Ukisoma maelezo ya watu wa karibu,jamaa anapenda sana kisoda aisee,burna boy alikaa wiki kwa didy wakati wa lockdown,toka hapo album yake ya twice as tall ikashinda grammy,tuzo ambazo didy ana ushawishi nazi,simba dangote naye sijui kapona!
Mwamba davido tu hakuingia kwa diddy ila burna, wizkid na.simba wamepigwa na yale mafuta
 
Wakuu Leo ndio Leo kwangu ikitokea Manchester city kamfunga arsenal navuta milion 50 nakua new milionea in town maombi yenu aisee Wana JamiiForums wenzangu treni langu linaisha Leo lilikua mechi 20 mechi ya Mancity na Arsenal ndio ya mwisho.
Pole sana Mkuu
 
Back
Top Bottom