Ikitokea Manchester City akashinda leo navuta milion 50

Ikitokea Manchester City akashinda leo navuta milion 50

Aisee...
Sema nini Kwanza nikupe pole najua machungu ya mkeka kuchanika Kwa timu moja Tu tena timu kama city...

Lakini ukweli mchungu kuna watu Wana roho mbaya jifunze kutunza siri ukikaribia kufanikiwa kuna watu wenye vijicho...

Lakini cha mwisho siku nyingine ikibaki mechi moja cash out... Maana ndo hua zinachana nimeshuhudia visa vingi vya hivo sema siwezi kusimulia...

Mkeka wa Milioni 50 kama kweli ilikua imebaki the cytizen tu... Basi ulikua hukosi japo Milioni 20+
Kawaida mkuu kwenye betting sio riziki yangu
 
Wakuu Leo ndio Leo kwangu ikitokea Manchester city kamfunga arsenal navuta milion 50 nakua new milionea in town maombi yenu aisee Wana JamiiForums wenzangu treni langu linaisha Leo lilikua mechi 20 mechi ya Mancity na Arsenal ndio ya mwisho.
Hata refa wa mechi alibeti kuwa arsenal anafungwa
 
Wakuu Leo ndio Leo kwangu ikitokea Manchester city kamfunga arsenal navuta milion 50 nakua new milionea in town maombi yenu aisee Wana JamiiForums wenzangu treni langu linaisha Leo lilikua mechi 20 mechi ya Mancity na Arsenal ndio ya mwisho.
Fanya kazi Acha ramli
 

Attachments

  • Screenshot_20240922-220756.jpg
    Screenshot_20240922-220756.jpg
    98.5 KB · Views: 5
Back
Top Bottom