Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
wacheze uingereza eti husda za mmasai wa nanja zisababishe matokeo tofauti?Ukweli kabisa...husdah ni mbaya sana! Watu kila siku wanapunwa halafu wewe unakuja kuwatangazia kuwa unaenda kula pesa ndefu..Lazima wakuhusudu tu na utashangaa mambo yanavyokwenda kinyume naa vile ulivyokuwa ukitarajia