Ikitokea tukapewa nafasi nyingine, Prof. Janabi anafaa kuwa Mbadala katika nafasi ya Faustine Ndugulile DG-WHO

Ikitokea tukapewa nafasi nyingine, Prof. Janabi anafaa kuwa Mbadala katika nafasi ya Faustine Ndugulile DG-WHO

Umahiri wa kitaaluma, uzoefu wa kazi na uongozi unafanya Professor Janabi kuwa Mtanzania pekee mwenye kufaa kumrithi Dr Faustine Ndugulile (RIP) huko WHO Regional Office - Brazzaville. Asanteni
He....😳
Huyu si atasema duniani watu wasile...😜
 
Dr kisenge atatufaa sana maana Bado ni kijana tofauti na janabi amezeeka sana.
 
Ikitokea tukapewa nafasi Nyingine, Prof . Janabi anafaa kuwa Mbadala katika nafasi ya Faustine Ndungulile DG-WHO-africa

Tanzania bado tuna akiba ya watu muhimu na wenye taaluma zao wanaojua nini kifanyike wakati gani na muda gani na kwa sababu gani hasa linapokuja katika taaluma ya Afya.

Nafasi aliyokuwa nayo Mpendwa wetu Ndg. Faustine Ndungulile (R.I.P)

Anaweza isimamia vyema Prof. Janabi
Apendekezwe akasimame Katia kinyangalilo hicho .

View attachment 3167379
HUO UJINGA MKAE NAE HUKO HUKO. MSIDHANI WOTE NI VILAZA.
 
Kwani kwako ni kt gani gani kina tija?
Vipaumbele vya Taifa…kukemea rushwa,kutimiaza ilani ya chama ili kuleta maendeleo nchini….kupunguza vifo vya mama na watoto,utawala wa sheria….vingi mno vyenye tija na taifa kuliko hzo drama zenu za WHO
 
Ikitokea tukapewa nafasi Nyingine, Prof . Janabi anafaa kuwa Mbadala katika nafasi ya Faustine Ndungulile DG-WHO-africa

Tanzania bado tuna akiba ya watu muhimu na wenye taaluma zao wanaojua nini kifanyike wakati gani na muda gani na kwa sababu gani hasa linapokuja katika taaluma ya Afya.

Nafasi aliyokuwa nayo Mpendwa wetu Ndg. Faustine Ndungulile (R.I.P)

Anaweza isimamia vyema Prof. Janabi
Apendekezwe akasimame Katia kinyangalilo hicho .

View attachment 3167379
WHO siyo hospitali jamani.
 
Hatimae amependekezwa ahsante Mheshimiwa Rais kwa kuona jambo hili nililopendekeza
 
Hivi hyo nafas ina tija gan kwa hili Taifa?!! Naombeni kueleweshwa..
Faida ya mwanchi kuajiriwa katika taasisi za kimataifa huzijui?
Kwa hii specifically:
1. anapata nafasi ya kuajiri watu kadhaa toka nchini mwake
2. mkewe/mumewe nae analipwa % fulani ya mshahara wa DG.
3. Watoto wake wanasomeshwa(hapa usiseme atafaidi yeye na wanae tu)
4. Diplomasia ya nchi inatangazwa
5 n. k
 
Ikitokea tukapewa nafasi Nyingine, Prof . Janabi anafaa kuwa Mbadala katika nafasi ya Faustine Ndungulile DG-WHO-africa

Tanzania bado tuna akiba ya watu muhimu na wenye taaluma zao wanaojua nini kifanyike wakati gani na muda gani na kwa sababu gani hasa linapokuja katika taaluma ya Afya.

Nafasi aliyokuwa nayo Mpendwa wetu Ndg. Faustine Ndungulile (R.I.P)

Anaweza isimamia vyema Prof. Janabi
Apendekezwe akasimame Katia kinyangalilo hicho .

View attachment 3167379
Vicheko fc
 
Back
Top Bottom