ikitokea ukapata nafasi ya kurudisha nyuma muda ukiwa na miaka 20, ni vitu gani usingerudia kuvifanya

ikitokea ukapata nafasi ya kurudisha nyuma muda ukiwa na miaka 20, ni vitu gani usingerudia kuvifanya

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145
Nilipomaliza form 6 sikujua vizuri cha kwenda kusomea chuoni, Nilisoma kozi nayoipenda bila kulisoma soko la ajira, connections, n.k. Mbaya zaidi nilisoma chuo cha private hakina uzito, isingekuwa shida kama ningepata mkopo ila nikizifikiria milioni 12 za wazazi naumiaga, nimejipata nje kabisa ya taaluma niliyosomea

Kutokuwa na ujuzi wowote wa kujitegemea mpaka namaliza chuo, sikuwahi kujifunza pikipiki, sikuwahi kujifunza kunyoa, sijui udalali, sijui kupiga rangi nyumba, n.k. nilipomaliza chuo niliondoka nyumbani kwenda kutafuta maisha bila ujuzi wowote, nilijifunza kwa taabu sana kujitegemea

KUHONGA - Nilipoteza muda mwingi sana kwenye mahusiano yasiyo serious, kuhonga ama kununua mahusiano ni kitu kilichopoteza pesa zangu nyingi kwa kipindi kile wakati bado najitafuta, meseji za baby naomba 30 kwajili ya tatizo xxxx nikijua kabisa ni la kutunga ila ndo ivyo tena zimenitoboa sana mfuko
 
Kiongozi umenikumbusha mbali sana yani kuna kitu umekigusia.Mahusiano ni janga kubwa kwa vijana tulio wengi na inatukosti sana na unakuja kubumbuluka muda ushaenda na pesa zishapotea hakuna kitu najutia kama hicho.
 
Mimi labda ndio sielewi, inakuaje mwanaume rijali unatumia pesa kumpata mwanamke au inakuaje unatumia pesa ktk mapenzi... Ukiona hvyo ujue hujakamilika.
Anyways lakini ujana maji ya moto... Mwisho wa siku huna cha kujutia kwasababu yote hayo ni mafunzo ktk maisha
 
Nadhani karibia kila kijana anajutia kuendekeza starehe za ngono,pombe na kamari.
Hakika hivi vitu vitatu vimewarudisha nyuma vijana wengi Sana
 
Nilipomaliza form 6 sikujua vizuri cha kwenda kusomea chuoni, Nilisoma kozi nayoipenda bila kulisoma soko la ajira, connections, n.k. Mbaya zaidi nilisoma chuo cha private hakina uzito, isingekuwa shida kama ningepata mkopo ila nikizifikiria milioni 12 za wazazi naumiaga, nimejipata nje kabisa ya taaluma niliyosomea

Kutokuwa na ujuzi wowote wa kujitegemea mpaka namaliza chuo, sikuwahi kujifunza pikipiki, sikuwahi kujifunza kunyoa, sijui udalali, sijui kupiga rangi nyumba, n.k. nilipomaliza chuo niliondoka nyumbani kwenda kutafuta maisha bila ujuzi wowote, nilijifunza kwa taabu sana kujitegemea

KUHONGA - Nilipoteza muda mwingi sana kwenye mahusiano yasiyo serious, kuhonga ama kununua mahusiano ni kitu kilichopoteza pesa zangu nyingi kwa kipindi kile wakati bado najitafuta, meseji za baby naomba 30 kwajili ya tatizo xxxx nikijua kabisa ni la kutunga ila ndo ivyo tena zimenitoboa sana mfuko
Tutusa wewe
 
Aisee sitaonja pombe hii kitu tamu sana japo madhara yake sio poa
Pombe ina watu wake, ukiwa na dna ya pombe uta enjoy lakini ukiwa huna dna ya pombe itakugaragaraza sana kiuchumi, kijamii, kisaikolojia, n.k.
 
Kiongozi umenikumbusha mbali sana yani kuna kitu umekigusia.Mahusiano ni janga kubwa kwa vijana tulio wengi na inatukosti sana na unakuja kubumbuluka muda ushaenda na pesa zishapotea hakuna kitu najutia kama hicho.
kuna majeraha unabaki nayo maisha yako yote, kuwa na watoto nje ya ndoa, magonjwa sugu yaiyo na mwisho, umasikini, n.k.
 
Nilipomaliza form 6 sikujua vizuri cha kwenda kusomea chuoni, Nilisoma kozi nayoipenda bila kulisoma soko la ajira, connections, n.k. Mbaya zaidi nilisoma chuo cha private hakina uzito, isingekuwa shida kama ningepata mkopo ila nikizifikiria milioni 12 za wazazi naumiaga, nimejipata nje kabisa ya taaluma niliyosomea

Kutokuwa na ujuzi wowote wa kujitegemea mpaka namaliza chuo, sikuwahi kujifunza pikipiki, sikuwahi kujifunza kunyoa, sijui udalali, sijui kupiga rangi nyumba, n.k. nilipomaliza chuo niliondoka nyumbani kwenda kutafuta maisha bila ujuzi wowote, nilijifunza kwa taabu sana kujitegemea

KUHONGA - Nilipoteza muda mwingi sana kwenye mahusiano yasiyo serious, kuhonga ama kununua mahusiano ni kitu kilichopoteza pesa zangu nyingi kwa kipindi kile wakati bado najitafuta, meseji za baby naomba 30 kwajili ya tatizo xxxx nikijua kabisa ni la kutunga ila ndo ivyo tena zimenitoboa sana mfuko
Kusomesha wadogo zangu 6, leo hii ni kaburi langu walaaniwe na wazazi wao
 
kuna majeraha unabaki nayo maisha yako yote, kuwa na watoto nje ya ndoa, magonjwa sugu yaiyo na mwisho, umasikini, n.k.
Mkuu hilo la watoto nje ya ndoa linanipunguza uzito. Mama anaolewa kwingine, mtoto anayumbishwa mara kwa bibi huyu mara yule, mama au baba wa kambo hana upendo...na huu ubakaji uliotamalaki... da!
 
Back
Top Bottom