Ikitokea Umepata Mil 180 leo, Haitoshi kulipa Ushuru wa Range Rover ya 2024

Ikitokea Umepata Mil 180 leo, Haitoshi kulipa Ushuru wa Range Rover ya 2024

Hapa umetumia approach ya kimaskini kweli kweli ambayo ndiyo wabongo wengi tunamia ''ikitokea ukapata mil 180''. Hii inaonyesha watu wananunua gari kama hizi baada ya kuangukiwa na zali na na siyo kwa sababu wamepanga kununua. Matokeo yake ndiyo hayo ya kulia lia kwa kusema ushuru mkubwa, sijui ''linakunywa mafuta kama jini'' au spea zake ni ghali.
Exactly, magari kama hayo mengi wameyaacha garage kwa kushindwa kuyatengeneza na kusingizia parts wakati jirani tu Kenya na SA zipo
Mawazo muflis maana gari la 500m na ushuru huo wa kusukuma lazima awe na kipato kikubwa sana
Labda Ulaya ambapo mtu anaweza kumudu hata mbeba box akitaka kujionyesha
 
Tuache bei ya chuma yenyewe, ila TRA wanataka Mil 185 ukileta hii kitu tena ya 2024. Sasa sijui ikiwa 0 kilometa kuna excuse?

View attachment 3000193

Kusema kweli kuna magari mazuri ila ushuru kichomi.
View attachment 3000195
Tukipishana nayo njiani tuwe tunaacha space. Tusije pasua taa.
Asee napataje hii kadirio la ushuru kwenye portal ya TRA? Zamani nilikua naweza Ila kwa Sasa TRA PORTAL inagoma kufunguka kwangu, shida yaweza kua Nini Mkuu?
 
Back
Top Bottom