Ikitokea umepata milioni 100, utaifanyia nini?

Kesho yake zitakuwa zimebaki ngapi?
 
Nachukua nyumba ya kupangisha vyumba visivyopungua 10 kila chumba kilete kodi ya shilingi elf 40.kwa vyumba kumi nina laki 4.
gharama ya hyo nyumba milioni 20 isizidi.

natafuta nyumba ya kuishi isiyozidi milioni 20.
natafuta shule ya primary nawekeza kuuza pipi na vitu mbali mbali vya watoto kwa milioni 5.
milioni 5 zinakaa kwa emergency.

50 milioni zinazobaki naweka fixed ambayo napata riba ya kutosha kwenye bank yyte ambayo kwa mwezi si chini ya laki tano kama faida kwa fixed deposite.


Faida baada ta uwekezaji.

1. 400,000/= kodi kwa mwezi.
2.450,000/= faida ya duka shule
3.500,000/= faida fixed deposite.


Total faida kwa mwezi. 1,350,000/= kwa miaka 2. unapata milioni 32,400,000/=
unakuwa umerudisha hela ya nyumba ya kuishi. na faida milioni 12,400,000/=

chukua milioni 2,409,000/= weka mfukoni.
milioni 10,000,000/= na zile 20. zirudishe bank Jumla unakuwa na milioni
80.

vumilia tena miaka 2.
unapata tena milioni 32,400,000/=
rudisha bank milioni 30. weka mfukoni milioni 2 laki 4.

Total amount unayo sasa milioni
110,000,000/=
kwa uvumilivu wa miaka isiyopungua mitano.

Uvumilivu na comitment itakutoa.

Ila kwa vile hutaweza kuvumilia peleka kwa wadada wataila kwa muda wa siku 10 tu.
 
Nitaziweka mezani na kuziangalia tu daily huku nakunywa maji.Pesa ikiwepo hata ukilalia ndizi choma lakini IPO bas unajinenepea tu
 
Sio rahisi hivyo..kila mtu mfuga ng'ombe na nguruwe angekua tajiri.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sio rahisi hivyo..kila mtu mfuga ng'ombe na nguruwe angekua tajiri.

#MaendeleoHayanaChama
Sawa nmekubari mkuu ila huo uliondika hapo ni uchawi unaoelekea kua ushirikina, usiniulize kwanini
 
Hesabu za Sadiki na Chitemo.
 
Epuka sana marafiki wanaodhani milioni 100 ni pesa nyingi [emoji276]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…