BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Suala la kuwa Mzazi linakuja na mambo mengi sana, ikiwemo kuwajibika kwa Watoto, Kuwasaidia Kazi za Shule na kila kitu, sasa kwa unavyoona Mahusiano yenu hapo, nani atakuwa msaidizi wa Home Work za Hesabu kwa Watoto/Mtoto wenu?
Au wote mtakuwa mnakimbia na kuwambia Watoto wamalizane kila kitu Shuleni.