Ikitokea vita ya maninja na makomandoo, upande upi utashinda?

Ikitokea vita ya maninja na makomandoo, upande upi utashinda?

Hili swali niliwahi kuuliza muda mrefu sana,leo ndio natambua ni jinsi gani mtu akikwambia una akili za kitoto anamaanisha jambo😃😃.
Maswali sambamba na hilo ni kati ya jet lee na vandame nani atapigwa,yaani hapa ref ni movie wala sio kingine haihusiani na mazingira na uhalisia kabisa.

Yaani tumchukue michael dudkof au starring wa ninja assasin,commando gani atasimama pale bila bunduki😁😁,lakini kiuhalisia hakuna ninja wa aina ile zile ni stunts za kutuburudisha tu ktk ulimwengu wa sinema.
NInja ni kweli wapo na nchi mahusi ni japan,wanayo mafunzo mbali mbali lakini sio kama tuonavyo katika movies mpaka wanayayuka😂😂.

Kwahiyo nani apigwe na nani,itategemea mambo mengi.
 
Usiseme huu ni utoto.
Tuseme upande mmoja (labda Rwanda) unaamua kutumia makomando 1000 na upande mwingine ( labda DRC) unaamua kuja na maninja 1000.
Hamna kutumia silaha za moto, ila visu, mapanga, chain, kamba, nguvu nk vyote vinaruhusiwa.
Kwa utaalamu wako hapo nani ataibuka kidedea.
Natanguliza shukrani.
Mkuu huu ni utoto kweli kama ulivyoandika,unachokiona kwenye filamu za Ninjas ni kama myths,historia inaonyesha Ninja walikuwa wanatumika Japan karne ya 14 kwa minajiri ya kuspy tu,kukusanya taarifa.Commando ni mwanajeshi mwenye mafunzo ya hali ya juu kwa ajili ya mapigano ya kivita na kila nchi wapo.Na hata commando unayemuona kwenye movie anayeua jeshi zima haina uhalisia,kuna movie flan flan kama lone survivor or 13hrs in beghazi wamejaribu kidoogo kuweka uhalisia sababu ni movies based on true story.
 
Hili swali niliwahi kuuliza muda mrefu sana,leo ndio natambua ni jinsi gani mtu akikwambia una akili za kitoto anamaanisha jambo😃😃.
Maswali sambamba na hilo ni kati ya jet lee na vandame nani atapigwa,yaani hapa ref ni movie wala sio kingine haihusiani na mazingira na uhalisia kabisa.

Yaani tumchukue michael dudkof au starring wa ninja assasin,commando gani atasimama pale bila bunduki😁😁,lakini kiuhalisia hakuna ninja wa aina ile zile ni stunts za kutuburudisha tu ktk ulimwengu wa sinema.
NInja ni kweli wapo na nchi mahusi ni japan,wanayo mafunzo mbali mbali lakini sio kama tuonavyo katika movies mpaka wanayayuka😂😂.

Kwahiyo nani apigwe na nani,itategemea mambo mengi.
Yaah ni ninja ni sanaa tu na ndiyo maana kuna man nilimwambia pale ata ule tunaoona katika movie si uhalisia kamili wa commando.
 
Hivi hakuna movie inaitwa Commando vs Ninja? Maana movies za hivyo zilitolewa sana miaka ya 80 na kurudi nyuma.
 
Usiseme huu ni utoto.
Tuseme upande mmoja (labda Rwanda) unaamua kutumia makomando 1000 na upande mwingine ( labda DRC) unaamua kuja na maninja 1000.
Hamna kutumia silaha za moto, ila visu, mapanga, chain, kamba, nguvu nk vyote vinaruhusiwa.
Kwa utaalamu wako hapo nani ataibuka kidedea.
Natanguliza shukrani.
Hao maninja ni spiritual fighters na mpaka ufike hiyo level utatumia si chini ya miaka 20 ya mafunzo.

Wana balaa sana hao, kuwa komando ni uvumivu tu na maguvu
 
Wasikuite kubwa jinga mkuu mwenyewe naona kama makomando ni wazito wazito kwahiyo lazima wamwagwe mav*i,isitoshe ninja anaweza kupiga ngumi mia sehemu Moja,unaweza kudhani umevunjika mwili wote kumbe ni kidole tu,usiombeee kipigo Cha ninja mkuu.
 
Labda tuteme mate kwenye kiganja cha mkono kisha tupige yale mate na vidole viwili vya mkono mwingine mate yatakapoelekea ndo atakua ameshinda
 
Sasa mkuu😂😂😂😂😂





Dah mi niko upande wa maninja
Maninja unawajua unawasikia

Niambie ushaangalia muvi gani maninja wametumwa wamteke mtu wakashindwa

Bila ya maninja movie nyingi zingekua zinaishia katikati maana majambazi yanafeli sana kwenye kazi nzito😂😂

Yani hiyo vita makomando wanaweza wasipigwe wakatekwa tu
Na wakajikuta hawawajui wamewateka wakina nani😂😂😂
 
Maninja wana mwaga unga wanapotea kmmmk
Sema wale mataira (maninja)

makomando watapata shida kuwatuliza maana wangese wanaruka ruka sana hujakaa sawa moshi mara unga mara simenti mara mchanga ili mradi tu wapoteze focus yako😂😂😂🕺🏽
 
Back
Top Bottom