Suala la Yanga kumuadhibu Feisal ni la kwao wenyewe. Halihusiani kabisa na shauri lililòwasilishwa TFFSasa wewe una ufahamu wa mambo haya. Embu wanayanga watusaidie, kwa nini wanaendelea kumlipa mshahara na hawajamuadhibu mchezaji ambaye amegoma kucheza?
Halafu juzi juzi baada tu ya game, Hersi alizungumza na mchezaji wa TP Mazembe na kumwambia wangependa aje achezee Yanga.
Sidhani kama watumwa huwa wanalipwa mishahara, wana likizo, bonus, endorsements, transfer fee, singing fee.Mpira si biashara ya utumwa. Mchezaji wajibu wake unaambatana na nia ya kutimiza huo wajibu, ukiondoa nia basi ni sawa na huna huyo mchezaji hata kama utalazimisha awepo kikosini. Kuwa na wachezaji 20 wasio na nia ya kuipigania timu ni bora wasiwepo tu. Ni sawa na kufuga mbuzi wafukuze paka wezi wa kuku. Utasema una walinzi ila ni kama huna tu.
Kama wachezaji wana haki ya kuvunja mikataba wakati wowote, kuna uwezekano wa kutokea kitu cha ajabu sana. Swali ni je pale Yanga ikitokea wachezaji zaidi ya 20 wamepata deals nzuri na wameamua kuvunja mikataba yao (kama alivyojaribu Feisal), timu itaendelea na kushiriki mashinano?
Hatujui Fei katengeneza tsh ngapi kwa kutufanya mm na wewe tumjadili. Hizo taratibu kama aliamua kuzipuuza yeye ndo anajua madhara na faida ya kufanya hivyo.Na uvunjaji una taratibu zake, izi nguvu mgezitumia kumuimiza kufuata utaratibu mngekua mmemsaidia mno, tofauti ya hapo Hamna tofauti na wapotoshaji.
Sent from my Infinix X689C using JamiiForums mobile app
Ukiruhusu hii kitu itakua tabia ngoja apewe dose huyu itakua funzo kwa wengineMikataba lazima iheshimiwe. Ila kwa nature ya mikataba ya mpira, mchezaji akisusia timu ni sawa tu na mtu aliyejitoa mhanga, anapoteza ila pale anapolipukia panaharibika pia. Kumshinda mtu wa aina hii ni kumuwahi na kumuondoa asilipuke.
Hakuna manufaa yoyote utakayopata kwa kumng'ang'ania mchezaji kikosini asiyetaka kuwa kikosini. Unless unataka kumtumia kama mfano kwa wachezaji wengine, na ikiwa hivi in long run utamwachia tu. Huwezi mshikilia maana ni mzigo kwako.
Kwani JF ni yako?Nyuzi nyingine muwe munaishia kujianzishia huko huko kwenye magrupu yenu ya utopolo
Wala hajaongea hoja dhaifu, hiyo ndio ilikuwa plan yao tangu awali kwamba Feisal atapigwa fine kwa kuvunja mkataba kihuni halafu wapemba wenzake wangempa pesa awalipe Yanga.
Sasa TFF imewasuprise kwa kuangalia uhalali wa Feisal je ni mchezaji halali wa Yanga au siyo mchezaji halali?
Jibu ni moja tu, Feisal ni mchezaji halali wa Yanga.
Ila watu wana roho mbaya sana, wamemrubuni mtoto wa watu wakati hizi mechi za Makundi CAF ndio wachezaji wanaonesha uwezo wao na kupata soko.
Unaweza ukawa unapewa kila kitu ila ni mtumwa. Utumwa ni hali ya kulazimika kufanya jambo usilotaka kulifanya kwa malipo.Sidhani kama watumwa huwa wanalipwa mishahara, wana likizo, bonus, endorsements, transfer fee, singing fee.
Usipomlipa mshahara mtu ni sawa na kumfukuza.Fatma Karume na mpira wapi na wapi.
Hata hao wanasheria wa Yanga nao wanaonekana ovyo.
Kwanza kwa kanuni za FIFA ni illegal team nyingine kuongea na mchezaji aliye kwenye mkataba au mwakilishi wake; bila ya kuongea na club husika kwanza kama wapo interested kumuuza huyo mchezaji.
Yanga wangesema hawapo interest story inaishia hapo.
Yanga wangepeleka malalamiko yao kwenye shirikisho la mpira nchi ambayo club inayotaka kumsajili Fei Toto sasa hivi wangekuwa washalipwa hela ndefu, kwa kuingilia mkataba wa mchezaji na kuzuiwa kumsajili ata akinunua mkataba wake atoke yanga.
Mambo mengine ata sijui yanakuwaje mzozo wa muda mrefu Tanzania, kwengine sasa hivi kama Fei Toto ataki kucheza na kwa kuwa bado yupo chini ya Yanga wangeweza ata kutomlipa mshahara kama adhabu na hakuna kitu angeweza fanya.
Ndo maana nikasema nasubiri kuona Yanga watamuadhibu vipi kama nia ni kumfanya mfano.Ukiruhusu hii kitu itakua tabia ngoja apewe dose huyu itakua funzo kwa wengine
FIFA inakataa kuvunja mkataba katikati ya msimu usije na mambo yenu ya siasa kwenye mpiraNadhani ni uelewa mdogo tu ila kila binadamu anao uhuru wa kufanya maamuzi yake.
Huwezi lazimisha mtu kufanya jambo asilolitaka.
Kuvunja mkataba ni haki ya kimkataba na hicho kifungu lazima kiwepo.
Hapo hakuna siasa hizo ni haki za kimkataba tu.FIFA inakataa kuvunja mkataba katikati ya msimu usije na mambo yenu ya siasa kwenye mpira
Sijawahi kuona mtumwa analipwa mishahara hapa tuta keshaUnaweza ukawa unapewa kila kitu ila ni mtumwa. Utumwa ni hali ya kulazimika kufanya jambo usilotaka kulifanya kwa malipo.
Mikataba ya football ipo chini ya FIFA ambao hawaruhusu kuvunja mkataba katikati ya msimuHapo hakuna siasa hizo ni haki za kimkataba tu.
Mkataba upo kwa ajili ya kuvunjwa sio kifungo cha maisha.
Yanga na TFF ni malimbukeni tu wivu na uchawi tu wa kiafrika umejaa kwenye taasisi zetu.
Ndivyo mnavyodanganyana hapo TFF na Yanga??Mikataba ya football ipo chini ya FIFA ambao hawaruhusu kuvunja mkataba katikati ya msimu
Kama kwako wewe "Pesa" ikishahusika basi hakuna tena utumwa upo sahihi. Kwangu ni tofauti.Sijawahi kuona mtumwa analipwa mishahara hapa tuta kesha
Hilo mbona linaeleweka na liko wazi. Sijaelewa kwa nini umeona ulazima kulisema tena kwa kuninukuhu.Suala la Yanga kumuadhibu Feisal ni la kwao wenyewe. Halihusiani kabisa na shauri lililòwasilishwa TFF
You're missing the point, at this point Yanga haina shida na Fei ila inafuata matakwa ya mkataba na kumkomoa which I rightly support.
Yanga inaendelea na match zake kama kawaida ila Feisal haendi mbele wala kurudi nyuma. Kama alidhani kuna jambo litabadilika au atapewa mwanya wa kuchomoka ngoma imedinda. Anajimaliza mwenyewe na bush lawyers wake.
Ukifungua mwanya wa wachezaji kuondoka kiholela kila mtu ataanza kuondoka anavyotaka sio Yanga tu bali kila timu, Yanga na TFF wana wajibu wa kusimamia sheria.
Ila watu wana roho mbaya sana, wamemrubuni mtoto wa watu wakati hizi mechi za Makundi CAF ndio wachezaji wanaonesha uwezo wao na kupata soko.