Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Mwanasheria na Wakili msomi kashasema kijana ana haki ya kukataa kufanya kazi, jamani maajabu hayaishi kwenye hii nchi
Kazi sio utumwa ndugu. Kama unaona hakuna maslahi unaacha.
Unazijua sheria za kazi? Usipoenda kazini bila taarifa inatokea nini?
Ukigoma kufanya kazi inatokea nini?
Wewe housgirl/boy akiamua kusema anataka kuondoka huwa unamlazimisha kubaki?
Utakachomkomoa labda utamwambia ajitegemee nauli.
Kama mtu hawezi tekeleza mkataba, anaufidia huo mkataba.
Nyie uto mmewafanya nini sport pesa? Ila kwa fei mnakuwa wakali kama pilipili.