Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,159
- 2,844
Naomba ufafanuzi juu ya Hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu saizi wapo msibani...Naomba ufafanuzi juu ya Hilo.
Hili Kombe ni la Simba mkuuKombe lipi Yanga watachukua?mbona unaota mchana kweupe??
We uko wapi saiv!?Naomba ufafanuzi juu ya Hilo.
Umelewa wewe nenda kalale.....Naomba ufafanuzi juu ya Hilo.
Ok, kyahiyo litakosa bingwa mtetezi?Inavyoonesha wewe ni mgeni kwenye soka, kiufupi atashiriki klabu bingwa Afrika..
Hoja yangu ilikuwa endapo yanga akichukua, wakiti yanga atashiriki club bingwa, Nani atakuwa mtetezi was Hilo kombe?Kombe lipi Yanga watachukua? Mbona unaota mchana kweupe??
Na mie nimeshindwa kuelewaa hapa.Kombe la caf ndiyo lipi? Hii sampuli ya washangiliaji wa mpira Tanzania.
Mijitu haielewi mambo ya football lakini muda wote ni kubwabwaja tu.
Hovyo kabisa!
Endelea kufuatilia mpira wa miguu uelewe,Ok, kyahiyo litakosa bingwa mtetezi?
Nature ya washabiki wa utopolo isikupe tabu mkuuNa mie nimeshindwa kuelewaa hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kuandika ujinga. Shirikisho haliwezi kuamua tu Biashara ikashiriki champions league.. hili ni kombe la mabingwa wa nchi husika kwa mwaka huo. Na nchi zilizofanya vizuri zimepewa viwango ndo zina sifa ya kupeleka team 2, club bigwa na team 2 confederation. Wengine ni team bingwa 1 CL, na mshindi wa pili kwenda Confederation au bingwa wa FA kulingana sasa na taratibu za shirikisho husika.Nadhani uamuzi unabaki kwa timu na Shirikisho la soka la nchi husika.
Kama mwaka jana na mwaka fulani nyuma Yanga alikuwa bingwa wa nchi na ni bingwa wa FA Cup akamua kushiriki Champion League. Mwaka jana angalau kulikuwa na kanuni mwaka ule angeamua kushiriki Shirikisho na ingekuwa sawa tu.
Kumbuka CAF hawachagui timu ya kushiriki hayo mashindano mawili wao wanasuburi majina ya timu kutoka Shirikisho la soka la nchi.
Kanuni ni za ndani tu hizi, TFF inaweza kupeleka jina la IHEFU badala ya SeMBe na SeMBE wasiwe na pakwenda kulalamika.
Naona unawakumbuka ihefu walifanya kitu mbaya sana.Nadhani uamuzi unabaki kwa timu na Shirikisho la soka la nchi husika.
Kama mwaka jana na mwaka fulani nyuma Yanga alikuwa bingwa wa nchi na ni bingwa wa FA Cup akamua kushiriki Champion League. Mwaka jana angalau kulikuwa na kanuni mwaka ule angeamua kushiriki Shirikisho na ingekuwa sawa tu.
Kumbuka CAF hawachagui timu ya kushiriki hayo mashindano mawili wao wanasuburi majina ya timu kutoka Shirikisho la soka la nchi.
Kanuni ni za ndani tu hizi, TFF inaweza kupeleka jina la IHEFU badala ya SeMBe na SeMBE wasiwe na pakwenda kulalamika.