Ikitokea YANGA wakakubali kucheza derby SIMBA atachezea goli nyingi sana sababu ya HASIRA alizonazo YANGA

Ikitokea YANGA wakakubali kucheza derby SIMBA atachezea goli nyingi sana sababu ya HASIRA alizonazo YANGA

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Yaani hawa YANGA wana hasira sana. Kuna gazeti limeandika kwamba simu moja tu itairudisha YANGA kwenye gemu pamoja na msimamo wa sasa kwamba hawachezi tena dabi.

Sasa SIMBA wasiombee YANGA ikakubali maana watachabangwa goli zisizopungua 6. TAKE THIS FROM ME.
 
Hasira anacheza NAMBA ngapi?
KAZI ni kipimo cha utu
 
Yaani hawa YANGA wana hasira sana. Kuna gazeti limeandika kwamba simu moja tu itairudisha YANGA kwenye gemu pamoja na msimamo wa sasa kwamba hawachezi tena dabi.

Sasa SIMBA wasiombee YANGA ikakubali maana watachabangwa goli zisizopungua 6. TAKE THIS FROM ME.
Ddh SIDHANI YANGA amefikia level ya umalaya kiasi HIKO
Maana Malaya ndio anakataa anakubali unakojokewa imeisha hiioo
 
Ddh SIDHANI YANGA amefikia level ya umalaya kiasi HIKO
Maana Malaya ndio anakataa anakubali unakojokewa imeisha hiioo
Simba akikubali hiyo mechi ya dabi ichezwe atapigwa kama ngoma ya mavuno.
Niamini mimi yanga wana hasira sana hivi sasa.
 
Yaani hawa YANGA wana hasira sana. Kuna gazeti limeandika kwamba simu moja tu itairudisha YANGA kwenye gemu pamoja na msimamo wa sasa kwamba hawachezi tena dabi.

Sasa SIMBA wasiombee YANGA ikakubali maana watachabangwa goli zisizopungua 6. TAKE THIS FROM ME.
Yanga gani hata Ile cku wangecheza yanga angepigwa Tu za kutosha
 
Mmeanza kulainika, si mlikua mmekaza mishipa kua hamchezi kiko wapi sasa?
 
Back
Top Bottom