Ddh SIDHANI YANGA amefikia level ya umalaya kiasi HIKOYaani hawa YANGA wana hasira sana. Kuna gazeti limeandika kwamba simu moja tu itairudisha YANGA kwenye gemu pamoja na msimamo wa sasa kwamba hawachezi tena dabi.
Sasa SIMBA wasiombee YANGA ikakubali maana watachabangwa goli zisizopungua 6. TAKE THIS FROM ME.
Ngoja tuone.Ddh SIDHANI YANGA amefikia level ya umalaya kiasi HIKO
Maana Malaya ndio anakataa anakubali unakojokewa imeisha hiioo
Simba akikubali hiyo mechi ya dabi ichezwe atapigwa kama ngoma ya mavuno.Ddh SIDHANI YANGA amefikia level ya umalaya kiasi HIKO
Maana Malaya ndio anakataa anakubali unakojokewa imeisha hiioo
Yanga gani hata Ile cku wangecheza yanga angepigwa Tu za kutoshaYaani hawa YANGA wana hasira sana. Kuna gazeti limeandika kwamba simu moja tu itairudisha YANGA kwenye gemu pamoja na msimamo wa sasa kwamba hawachezi tena dabi.
Sasa SIMBA wasiombee YANGA ikakubali maana watachabangwa goli zisizopungua 6. TAKE THIS FROM ME.
Mechi iliahirishwa na tiefuefuSasa kwa nini simba walikimbia mechi na kuleta janjajanja chini ya utetezi wa wanachama wa koloz waliomo kwenye bodi
Inauzwa dola ngapi za US?Nchi inauzwa huko vijana bado akili zenu zipo simba na yanga, hii nchi wapuuzi ni wengi sana