Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hizi danadana za kuacha kuishughulikia Rwanda zinaletwa na nani na kwanini?
Nawapongeza Raia wa Congo kwa kuamua kupiga kiberiti balozi zote zilizo nchini humo, maana Inajua kila kitu kuhusu jambo hili lakini zimenyamaza.
Dunia isitupotezee muda, maana ni dhahiri inaunga mkono uvamizi wa Rwanda nchi Congo.
Ni wakati wa Wacongo wote walio kote dunia kuungana ili kuokoa Nchi yao kwa udi na Uvumba.
Nawapongeza Raia wa Congo kwa kuamua kupiga kiberiti balozi zote zilizo nchini humo, maana Inajua kila kitu kuhusu jambo hili lakini zimenyamaza.
Dunia isitupotezee muda, maana ni dhahiri inaunga mkono uvamizi wa Rwanda nchi Congo.
Ni wakati wa Wacongo wote walio kote dunia kuungana ili kuokoa Nchi yao kwa udi na Uvumba.