Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Go educate yourself kabla kuandika vitu usivyoelewa, Rwanda hajavamia Congo, wale M23 wanaopigana ni raia wa Congo sio wanywarwandaHizi danadana za kuacha kuishughulikia Rwanda zinaletwa na nani na kwanini?
Nawapongeza Raia wa Congo kwa kuamua kupiga kiberiti balozi zote zilizo nchini humo, maana Inajua kila kitu kuhusu jambo hili lakini zimenyamaza.
Dunia isitupotezee muda, maana ni dhahiri inaunga mkono uvamizi wa Rwanda nchi Congo.
Ni wakati wa Wacongo wote walio kote dunia kuungana ili kuokoa Nchi yao kwa udi na Uvumba.
UK, Germany, USA n UE wote wapo nyuma ya Rwanda haya sasa sijui mnasemaje na hapo wakulungwaNchi zote za SADC zikiungana ziishindwe Rwanda?? Labda kama Kuna taifa kubwa la Dunia ya kwanza lipo nyuma yake
Waambie waingie front,waone Moto wakeNchi zote za SADC zikiungana ziishindwe Rwanda?? Labda kama Kuna taifa kubwa la Dunia ya kwanza lipo nyuma yake
Pesa anazopewa km msaada na mataifa ya UK, Germany n USA bila kuwasahau UE kwa ujumla ndio zinamtia kiburi
Tusubiri tuoneWaambie waingie front,waone Moto wake
Na wote wanapokea misaada kutoka kwa hayo mataifa niliyataja hapo juu..makundi yote yenye silaha mashariki ya Congo yanajihusisha na biashara haramu ya madini.
..mapato ya biashara haramu ndio yanayofadhili na kuwezesha vita visivyokwisha vya DRC.
..viongozi wa vyombo vya ulinzi wa Rwanda na Uganda ni washirika wakubwa wa magenge yenye silaha nchini DRC. Na viongozi hao ni matajiri wakubwa.
Hiyo kauli yako ndio kauli ya Kagame, wavamizi hata wakizaliana ugenini hawawezi kujimilikisha Nchi ya watuGo educate yourself kabla kuandika vitu usivyoelewa, Rwanda hajavamia Congo, wale M23 wanaopigana ni raia wa Congo sio wanywarwanda
Basi ndo maana anajiaminiUK, Germany, USA n UE wote wapo nyuma ya Rwanda haya sasa sijui mnasemaje na hapo wakulungwa
Na hutaona wamesogeza pua zao,Moto wameuonaTusubiri tuone
Hizo ndio donor country zinazoipa jeuri Rwanda kila mwaka anaingiziwa mabilioni ya dollars utamwambia niniBasi ndo maana anajiamini
PAMOJA! 👊Hizi danadana za kuacha kuishughulikia Rwanda zinaletwa na nani na kwanini?
Nawapongeza Raia wa Congo kwa kuamua kupiga kiberiti balozi zote zilizo nchini humo, maana Inajua kila kitu kuhusu jambo hili lakini zimenyamaza.
Dunia isitupotezee muda, maana ni dhahiri inaunga mkono uvamizi wa Rwanda nchi Congo.
Ni wakati wa Wacongo wote walio kote dunia kuungana ili kuokoa Nchi yao kwa udi na Uvumba.
Haya yote yanayo endelea ni matokeo ya uchaguzi mkuu hii ni vita ya wa Congo mani wenyewe KAGAME wana msingizia tu …….. na kama kuna mtu ana ushahidi wa kagame kuhusika moja kwa moja aseme hapaHizi danadana za kuacha kuishughulikia Rwanda zinaletwa na nani na kwanini?
Nawapongeza Raia wa Congo kwa kuamua kupiga kiberiti balozi zote zilizo nchini humo, maana Inajua kila kitu kuhusu jambo hili lakini zimenyamaza.
Dunia isitupotezee muda, maana ni dhahiri inaunga mkono uvamizi wa Rwanda nchi Congo.
Ni wakati wa Wacongo wote walio kote dunia kuungana ili kuokoa Nchi yao kwa udi na Uvumba.
Na wote wanapokea misaada kutoka kwa hayo mataifa niliyataja hapo juu
Wakabila na wabaguzi hawajawahi kushinda vita , Banyamurenge wapo pale for hundreds of years leo unawaita wavamizi, nakushauri tena Educate yourself maana wewe ni msemaji wa Chadema sio vizuri kuonekana huna akiliHiyo kauli yako ndio kauli ya Kagame, wavamizi hata wakizaliana ugenini hawawezi kujimilikisha Nchi ya watu
Waambie jeshi lako waingie front Kama rahisi ivyo..msaada wa EU, USA, kwenda kwa Rwanda hauna tofauti na msaada tunaopokea Tanzania.
..misaada hiyo inapitia mikono na mikonda ya kiserikali na kibunge kwa hiyo ni lazima ionekane, na iweze kukaguliwa.
..kwa msingi huo serikali za EU, USA, hazihusiki ktk kufadhili vita vya DRC. Zingekuwa zinahusika wananchi wa nchi hizo wangefahamishwa, na dunia ingefahamu, kama ilivyo kwa vita vya UKRAINE.
..kinachoendelea mashariki ya DRC ni sawasawa na UMAFIA / CARTEL ambao unahusisha biashara haramu, makundi yenye silaha, na viongozi wa inteligensia na jeshi wa Rwanda na Uganda.
WAPIGWEEE!Hiyo kauli yako ndio kauli ya Kagame, wavamizi hata wakizaliana ugenini hawawezi kujimilikisha Nchi ya watu
Tutapigwa tuchakae
Sitaki ligi na Wajinga, Hakuna nisichokijua kuhusu Banyamulenge, lakini hawana asili ya Congo na wala hawatokuja kuwa nayo hata kama wamekaa miaka elfu moja, asili yao haikuwa Congo walikuwa wahamiaji haramu na watabaki kuwa haramu na ni wazi wanasaidiwa na Majeshi ya RwandaWakabila na wabaguzi hawajawahi kushinda vita , Banyamurenge wapo pale for hundreds of years leo unawaita wavamizi, nakushauri tena Educate yourself maana wewe ni msemaji wa Chadema sio vizuri kuonekana huna akili
... zamu hii tunamrudisha kwenye nchi nyingine waliyoiba zamani!Au
Tutapigwa tuchakae
Tutapoteza territories kiboya mno... zamu hii tunamrudisha kwenye nchi nyingine waliyoiba zamani!
💥 💥 💥 ☠️