Baelezee ikare mukichwaPole sana umelishwa Propaganda, sisi Wapinzani ambao hivi karibuni titachukua Dola lazima tutumie akili zetu kufukiri na sio kubeba Propaganda za Nchi za magharibi kupitia UN.
Msikilize Mhe.Thabo Mbeki
View: https://youtu.be/2_yRPzJgME0?si=un6Z72esvAir5ASI
Msikilize Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Si mawazo yangu binafsi na wala siandiki kwa niaba ya Chadema, Bali huu ndio ukweli unaofahamika kote duniani
Na ndivyo m23 wanapaswa kufanya.Waweke silaha chini halafu warudi Rwanda wakaongelee huko kwao.
Kongo inatakiwa kutekeleza makubaliano iliyotia saini na M23 kwanini Tishekedi anakuwa kigeugeu?!Na ndivyo m23 wanapaswa kufanya.
Kwa nini kagame alitaka vita na Tz baada ya kushauliwa na Kikwete afanye mazungumzo na wahutu?.Kongo inatakiwa kutekeleza makubaliano iliyotia saini na M23 kwanini Tishekedi anakuwa kigeugeu?!
Kagame alileta Majeshi yake Rusumo?! Naomba ushahidi.Kwa nini kagame alitaka vita na Tz baada ya kushauliwa na Kikwete afanye mazungumzo na wahutu?.
Kwani sasa anapotaka vita na SA kapeleka majeshi wapi?.Kagame alileta Majeshi yake Rusumo?! Naomba ushahidi.
Unafiki wa viongozi wa Afrika ni sehemu ya utamaduni wetu.Hizi danadana za kuacha kuishughulikia Rwanda zinaletwa na nani na kwanini?
Nawapongeza Raia wa Congo kwa kuamua kupiga kiberiti balozi zote zilizo nchini humo, maana Inajua kila kitu kuhusu jambo hili lakini zimenyamaza.
Dunia isitupotezee muda, maana ni dhahiri inaunga mkono uvamizi wa Rwanda nchi Congo.
Ni wakati wa Wacongo wote walio kote dunia kuungana ili kuokoa Nchi yao kwa udi na Uvumba.
Acha kupotosha.Kwani sasa anapotaka vita na SA kapeleka majeshi wapi?.
Acha majungu zayuni wa buza. DRC kuwa kwenye vita kabla ya kagame kuwa Rais hiyo haibatilishi kuwa kagame na Rwanda yake ndio Chanzo cha vita ya sasa hapo goma,, sababu ya vita ya maji maji na ile ya uganda dhidi ya amin ni tofauti kwa nyakati zake,, so huwezi kusema amini hana kosa kwa kuwa sisi tunapenda vita kwani before tulipigana vita ya majimaji ,, alafu kumbe we ni mnyarwanda ndo mana unajifanya mjuaji kenge wewe....DRC imekuwa katika vita kabla hata Kagame hajawa Rais
Mbona sasa Kagame yeye ndo anapiga kelele subiri watuguswa M23 utaona kelele zake KagameGo educate yourself kabla kuandika vitu usivyoelewa, Rwanda hajavamia Congo, wale M23 wanaopigana ni raia wa Congo sio wanywarwanda
Wewe ni Mtusi utafikiwa acha kujificha kwenye mwavuli wa chademaJe huu ndio msimamo wetu CHADEMA wa jumping on bandwagon ya kulaumu Rwanda?
Au sisi foreign policy yetu iwe ni Mazungumzo kati ya pande zote kwenye mgogoro huo?
Kwahiyo mtusi sio mtanzania? tuna bahati sana Tanzania maana wakabila kama wewe sio wengi na hamna nguvu la sivyo tungekuwa kama Congo, Somalia au Burundi etc, ogopa sana wafia dini, wakabila and ignorantWewe ni Mtusi utafikiwa acha kujificha kwenye mwavuli wa chadema
Mkuu siyo kweli. Kwake ndo anaogopwa kupita maelezo. Na huko kuogopwa Kwame ndio inafanya Rwanda kuchanja mbuga kwenye maendeleo amani utulivu na usalama.Kiburi cha Kagame kinampeleka kubaya. Naliona anguko lake sababu kwa sasa ameconcentrate na ishu ya Congo kwake ndani kuna moto akija kustuka itakuwa imekula kwake.
Kweni Ututsi ni dhambi je Watutsi hawajaumbwa na Mungu?!Wewe ni Mtusi utafikiwa acha kujificha kwenye mwavuli wa chadema